Jeshi la Israel laua magaidi 560 wa Hezbollah

Jeshi la Israel laua magaidi 560 wa Hezbollah

Wanaomtukana Mtume s.a.w, sisi waislamu hatuko pamoja nao
Kipele kinakuwasha nini sisi tukiunga mkono Israel dhidi ya magaidi kwani Kuna mtu anakula kwako mpaka umpangie ngedere wewe
 
Hakuna yahudi mkiristo, mayahudi dini yao ni Judaism, yesu wanamtukana na kumtemea mate na kumwita mtoto wa haramu.,
Bora ujielewe., usitumiliwe ni LGBTQ

Usichanganye uwongo na ukweli, utadharaulika.

Wayahudi wengi ni wafuasi wa Judaism. Hawa hawana uadui na Yesu bali hawaamini kuwa Yesu ndiye masiha aliyetabiriwa na nabii Isaya na manabii wengine. Hawa bado wanamsubiria masiha.

lakini wapo wayahudi ambao ni wakristo, hawa wanaitwa Messianic Jews.

Messianic Jews adhere to conventional Christian beliefs, including the concept of salvation through faith in Jesus (referred to by the Hebrew-language name Yeshua among adherents) as the Jewish Messiah and Savior from sin, and the spiritual authority of the Bible (including the Old and New Testaments).
 
Yesu sio myahudi, na sio kila muisrael ni myahudi.. Tofautisha Uisrael(Ucaanan) na uyahudi (Jewish).. Uyahudi ni dini na utamaduni, kuna waisrael wakristo, Waislamu, wayahudi.. Ila kwakuwa nimeona una dalili za kuwa kichwa ngumu na shule huna utabisha hili. Yesu kazaliwa Bethlehem ambapo ni Palestina
Wewe mwenyewe umepuyanga ...
Kipindi yesu anazaliwa hapakuwa na kitu kinaitwa palestina pale palikuwa na Judea na samaria.
Ndiyo yesu ni myahudi. (Wayahudi wametokana na kabila la Yuda na Benjamini na Walawi kwa mbali ambao waliendelea kupractice torah ya Musa)
Ni kweli kuna wayahudi kwa asili yao lakini ni wakristo na wengine waislam ila majority ni Judaism.
 
Unapoteza muda tu kumjibu mtu asiyetumia akili kufikiri na kujiendeleza kimaarifa badala ya kutumia mahaba na kufuata upepo
Tunaiunga mkono Israel dhidi ya magaidi lazima magaidi yafutwe kwenye uso wa dunia
 
Huu Uzi ni wakitoto ..jamaa anajua kila kitu ila kaamua kuanzisha ubishi usio na maana aya endelea kuwaombea wakristo wakiyahudi ,,alafu uwalaani waislam Roma
 
Huu Uzi ni wakitoto ..jamaa anajua kila kitu ila kaamua kuanzisha ubishi usio na maana aya endelea kuwaombea wakristo wakiyahudi ,,alafu uwalaani waislam Roma
Tunawaombea wakristo wenzetu wa Israel dhidi ya magaidi lengo ni Moja kufuta ugaidi kwenye ramani ya dunia
 
Mnawaombea waisrael kwa Yesu waliyemkataa?

Yesu alishindwa kuwa na ushawishi kwa jamaa zake huko.
Watu kibao walimkataa, hata wakamchoka na kumsulubisha.

Kimsingi, bila dola la kirumi, hizo habari za Yesu zisingekufikia wewe mnyalukolo.

NB: Magaidi ya pedophile Muddy yaangamizwe tu.
Kwani Muddy bila vita wangemkubali? Macca walimkataa Hadi akatoka nduki. Bila kutumia nguvu angefeli. YESU wetu hakutaka huo upuuzi wa vita. Ni mfalme wa amani, ukitaka unamfuata hutaki unaacha.
 
Mpaka kufikia siku ya Jana jeshi la Israel lilishatokomeza magaidi wa HEZBOLLAH 560 tunaendelea kuwaombea wakristo wenzetu Israel waendelee kufuta magaidi kwenye uso wa dunia kifuatacho ni kuifanya Iran iwe majivu sababu ndio nchi inayoongozwa na magaidi endapo ikitokea gaidi kajificha Kwa raia lazima alipuliwe atakua kawaponza raia sababu lengo la taifa teule la Israel ni kutokomeza ugaidi
Tatizo tanzania ni poor education ndio maana watu wanaamini kwenye vitu kama mafuta ya upako na kiboko ya wachawi
Hivi kweli hadi leo bado kuna mtu hajui kwamba israel siyo wakristo na taifa la israel lina waislamu wengi zaidi ya mara kumi ya wakristo waliok israel,
Israel ni wayahudi na kitabu chao ni torah hawaamini biblia kama wewe mleta hoja ,na hawali nguruwe kama wewe, ila wanakula halal food kama waislamu ,wao wanaita kosher, na wanaamini kwenye mungu mmoja ambaye hakuzaa wala hakuzaliwa, hawaamini kwwnye miungu watatu kama wewe
 
Usichanganye uwongo na ukweli, utadharaulika.

Wayahudi wengi ni wafuasi wa Judaism. Hawa hawana uadui na Yesu bali hawaamini kuwa Yesu ndiye masiha aliyetabiriwa na nabii Isaya na manabii wengine. Hawa bado wanamsubiria masiha.

lakini wapo wayahudi ambao ni wakristo, hawa wanaitwa Messianic Jews.

Messianic Jews adhere to conventional Christian beliefs, including the concept of salvation through faith in Jesus (referred to by the Hebrew-language name Yeshua among adherents) as the Jewish Messiah and Savior from sin, and the spiritual authority of the Bible (including the Old and New Testaments).
Hizo ni kamba Za wasaka tonge
 
Mpaka kufikia siku ya Jana jeshi la Israel lilishatokomeza magaidi wa HEZBOLLAH 560 tunaendelea kuwaombea wakristo wenzetu Israel waendelee kufuta magaidi kwenye uso wa dunia kifuatacho ni kuifanya Iran iwe majivu sababu ndio nchi inayoongozwa na magaidi endapo ikitokea gaidi kajificha Kwa raia lazima alipuliwe atakua kawaponza raia sababu lengo la taifa teule la Israel ni kutokomeza ugaidi
Praise to JESUS
 
Kwani Muddy bila vita wangemkubali? Macca walimkataa Hadi akatoka nduki. Bila kutumia nguvu angefeli. YESU wetu hakutaka huo upuuzi wa vita. Ni mfalme wa amani, ukitaka unamfuata hutaki unaacha.
Muddy ni warlord na muuaji.
Muddy ni pedophile.
Muddy ni mpenda wanawake, na mjanjamjanja (Kushawishi watu wazima waamini ahadi za mabikra 72 na vijito vya pombe si rahisi).

Haiondoi ukweli kwamba Yesu alifeli kwao.

Warumi walitumia tu falsafa zake za upole na kusamehe wanaokuonea ili watawaliwa wa dola la kirumi wawe kama makondoo. Watawaliwe vizuri.
 
Muddy ni warlord na muuaji.
Muddy ni pedophile.
Muddy ni mpenda wanawake, na mjanjamjanja (Kushawishi watu wazima waamini ahadi za mabikra 72 na vijito vya pombe si rahisi).

Haiondoi ukweli kwamba Yesu alifeli kwao.

Warumi walitumia tu falsafa zake za upole na kusamehe wanaokuonea ili watawaliwa wa dola la kirumi wawe kama makondoo. Watawaliwe vizuri.
Tunaiunga mkono Israel dhidi ya magaidi sababu Israel ni taifa teule
 
Tatizo tanzania ni poor education ndio maana watu wanaamini kwenye vitu kama mafuta ya upako na kiboko ya wachawi
Hivi kweli hadi leo bado kuna mtu hajui kwamba israel siyo wakristo na taifa la israel lina waislamu wengi zaidi ya mara kumi ya wakristo waliok israel,
Israel ni wayahudi na kitabu chao ni torah hawaamini biblia kama wewe mleta hoja ,na hawali nguruwe kama wewe, ila wanakula halal food kama waislamu ,wao wanaita kosher, na wanaamini kwenye mungu mmoja ambaye hakuzaa wala hakuzaliwa, hawaamini kwwnye miungu watatu kama wewe
Usiwafananishe wayahudi na wasilamu koma kabisa wayahudi wanamuamini YEHOVA wasilamu sijui nani usipoteshe watoto
 
Tunaiunga mkono Israel dhidi ya magaidi sababu Israel ni taifa teule
Labda kama limeteuliwa na mataifa ya magharibi kuwasaidia kumaintain influence yao hapo mashariki ya kati.
Tofauti na hapo, Israel haina uteule wowote.
 
Labda kama limeteuliwa na mataifa ya magharibi kuwasaidia kumaintain influence yao hapo mashariki ya kati.
Tofauti na hapo, Israel haina uteule wowote.
Tunaiunga mkono Israel dhidi ya magaidi sababu Israel ni taifa teule mungu msaidie netanyahu apate afya njema aendelee kuyaondoa magaidi duniani
 
Back
Top Bottom