Jeshi la Israel laua magaidi 560 wa Hezbollah

Jeshi la Israel laua magaidi 560 wa Hezbollah

Tunafurahia nchi yetu ya Israeli ambayo inatembeza vichapo vya mbwa Koko Kwa magaidi Israel ni taifa teule god bless Israel
utajutia unachoshabikia, take my word
 
Israel ni Wayahudi


Jesus Christ


He was born of a Jewish mother, in Galilee, a Jewish part of the world. All of his friends, associates, colleagues, disciples, all of them were Jews. He regularly worshipped in Jewish communal worship, what we call synagogues. He preached from Jewish text, from the Bible.

Ayatollaah ajiandae ndugu zake Yesu wanamsaka sana..!! 🤔
 
Ila sasa mkuu, kwa nini huwa unajificha unapofanya ibada ya kitamaduni?
Sifanyi ibada yoyote mimi.
Mimi naishi tu, nafanya kazi zangu.

Naheshimiana na watu na nina utu, upendo na huruma. Sihitaji kufanya ibada yoyote.
 
Jesus Christ


He was born of a Jewish mother, in Galilee, a Jewish part of the world. All of his friends, associates, colleagues, disciples, all of them were Jews. He regularly worshipped in Jewish communal worship, what we call synagogues. He preached from Jewish text, from the Bible.

Ayatollaah ajiandae ndugu zake Yesu wanamsaka sana..!! 🤔

Yesu anasema nani walio ndugu zake

Matthew 12:48-50 King James Version (KJV)

But he answered and said unto him that told him, Who is my mother? and who are my brethren? And he stretched forth his hand toward his disciples, and said, Behold my mother and my brethren! For whosoever shall do the will of my Father which is in heaven, the same is my brother, and sister, and mother.
 
Hata mkisemaje sisi wakristo tunaiunga mkono Israel dhidi ya magaidi tena tumewapa baraka zote Ili waweze kuyaua magaidi
Wewe si mkristo hata yesu humjui wala hufuati alivyosema usijipakazie

Wayahudi ni nyoka kama alivyosema yesu

Mayahudi waliitwa: “Kizazi cha zinaa.” (Mathayo 12:40,, 16:4).

Mayahudi waliitwa “Wazinifu na wakosefu.” (Marko 8:38).

“Ole wenu waandishi na wafarisayo, wanafiki,” (Mathayo 23:16).

“Ole wenu viongozi vipofu.” (Mathayo 23:16).

“Enyi nyoka, wana wa majoka” (Mathayo 23:33).

“Watu wengine waliitwa mbwa.” (Mathayo 15:27).

Aliwaita wanafunzi wake: ”Enyi kizazi kisicho amini, kilichopotoka.” (Mathayo 17:17).

Akamwambia Petro “Nenda nyuma yangu Shetani.” (Mathayo 16:23).
 
Utawafanya waumini wauddy wapasuke kwa hasira. Mungu wao Alla anatumia majini ndio malaika zake. Kifupi Allah ni shetani
Ndiyo mafundisho ya Mchungaji wako Nabii Tito?
 
Sifanyi ibada yoyote mimi.
Mimi naishi tu, nafanya kazi zangu.

Naheshimiana na watu na nina utu, upendo na huruma. Sihitaji kufanya ibada yoyote.
Mara nyingi huwa nasikia, watu aina yenu, siku unakufa, neema ya Mungu huwa inawajia papo kabla hujafa na utasema mwenyewe ungehitaji mchungaji akuongoze sala ya toba, hii ni bada ya kuoneshwa mahali utakapokuwa kama hutatubu

Nakuombea Chief, Ikawe siku ya kuitwa kwako, ili mwisho wa siku usije kuwa kuni wa kuzimu
 
Mara nyingi huwa nasikia, watu aina yenu, siku unakufa, neema ya Mungu huwa inawajia papo kabla hujafa na utasema mwenyewe ungehitaji mchungaji akuongoze sala ya toba, hii ni bada ya kuoneshwa mahali utakapokuwa kama hutatubu

Nakuombea Chief, Ikawe siku ya kuitwa kwako, ili mwisho wa siku usije kuwa kuni wa kuzimu
Shukrani kwa kuonesha kujali.

Ishu ni wewe unaamini uwepo wa mbingu na kuzimu.
Hayo mambo hayapo kwenye dunia yangu.

Hamna mbingu wala kuzimu. Ni ngano tu.
 
Israel hakuna wakristo wenzako kule waislam ni wengi kuliko wakristo huyo Yesu mwenyewe alichezea kichapo hadi akauwawa
 
Back
Top Bottom