Jeshi la Israel laua magaidi 560 wa Hezbollah

Jeshi la Israel laua magaidi 560 wa Hezbollah

Mwamba ngoma huvutia kwake! Upande wa pili wakikupa data za wanajeshi wa Israel waliouawa ni zaidi ya hayo magaidi yaliyouawa!
 
Usichokijua ni kuwa bomu halichagui dini kabila au rangi. Lebanon wako na WAKRISTO japo wavamizi waarabu wamekuwa wengi.kuliko wenyeji.
Utajua mwenyewe sisi tunajua waarabu ni kobazi hivyo tunafurahia kazi ya Israel kumaliza magaidi
 
Hivi waarabu Ni ma coward kiasi gani. Wayahudi wanaua ndugu zao Gaza, West Bank na Lebanon, miarabu imekaa tu, hawajui kwamba myahudi akimaliza na Lebanon atakwenda kupiga Syria halafu Iran na Yemen.
Hivi waarabu au tuseme waislamu wanaungana kwenye hijja tu?
FaizaFoxy hivi unadhani kwanini wote wanaolaani mauwaji ya Gaza na Lebanon hawawezi kuungana na kuwatetea wanyonge?
 
Mpaka kufikia siku ya Jana jeshi la Israel lilishatokomeza magaidi wa HEZBOLLAH 560 tunaendelea kuwaombea wakristo wenzetu Israel waendelee kufuta magaidi kwenye uso wa dunia kifuatacho ni kuifanya Iran iwe majivu sababu ndio nchi inayoongozwa na magaidi endapo ikitokea gaidi kajificha Kwa raia lazima alipuliwe atakua kawaponza raia sababu lengo la taifa teule la Israel ni kutokomeza ugaidi
Hao magaidi wa Israel,walimpiga,wakamtemea mate,wakamdhihaki,wakamchoma mkuki,wakamsulubu,wakamuua Yesu,aliyekuja kuwakomboa,itakuwa hao HezbAllah,chama cha siasa.
 
Hao magaidi wa Israel,walimpiga,wakamtemea mate,wakamdhihaki,wakamchoma mkuki,wakamsulubu,wakamuua Yesu,aliyekuja kuwakomboa,itakuwa hao HezbAllah,chama cha siasa.
Tunaiunga mkono Israel taifa teule dhidi ya magaidi God bless Israel
 
Tunaiunga mkono Israel dhidi ya magaidi
Na pia tuwaunge mkono magaidi wa Israel na Yuda ikariote,kwa kumpiga,kumdhihaki,kumchoma mikuki,kumvalisha napi,kumsulubu na kumuua Yesu,aliyekuja kuwakomboa hso magaidi ya Israel,na mpaka leo wanamuita mtoto wa nje ya ndoa.
 
Na pia tuwaunge mkono magaidi wa Israel na Yuda ikariote,kwa kumpiga,kumdhihaki,kumchoma mikuki,kumvalisha napi,kumsulubu na kumuua Yesu,aliyekuja kuwakomboa hso magaidi ya Israel,na mpaka leo wanamuita mtoto wa nje ya ndoa.
Tunaiunga mkono Israel dhidi ya magaidi sababu inafanya kazi nzuri sana god bless Israel
 
Hivi waarabu Ni ma coward kiasi gani. Wayahudi wanaua ndugu zao Gaza, West Bank na Lebanon, miarabu imekaa tu, hawajui kwamba myahudi akimaliza na Lebanon atakwenda kupiga Syria halafu Iran na Yemen.
Hivi waarabu au tuseme waislamu wanaungana kwenye hijja tu?
FaizaFoxy hivi unadhani kwanini wote wanaolaani mauwaji ya Gaza na Lebanon hawawezi kuungana na kuwatetea wanyonge?

Mwarabu yupi unaemwongelea?

Mbona tunaona mama wa Waarabu wote yupo mstari wa mbele anaisimamisha dunia? Yemen.
 
Mpaka kufikia siku ya Jana jeshi la Israel lilishatokomeza magaidi wa HEZBOLLAH 560 tunaendelea kuwaombea wakristo wenzetu Israel waendelee kufuta magaidi kwenye uso wa dunia kifuatacho ni kuifanya Iran iwe majivu sababu ndio nchi inayoongozwa na magaidi endapo ikitokea gaidi kajificha Kwa raia lazima alipuliwe atakua kawaponza raia sababu lengo la taifa teule la Israel ni kutokomeza ugaidi
Una hakika wale ni wa kristo wenzenu?
 
Myahudi lakini hakuwa mkiristo wala Judaism, soma vizuri bibilia yako usilete porojo
Wakristu ni wafuasi wa Kristu (ambaye ni Myahudi). Kwa hiyo Wakristu ni wafuasi wa Myahudi.
Bado na hapo hujaelewa?
 
Dunia ya magaidi wa msikitini ila dunia ya sisi wakristo tukiongozwa na mbabe wa dunia USA tunafurahia magaidi yakiuwawa mungu saidia Israel dhidi ya magaidi wayamalize yote
Kumbe unaongozwa na US wakati yesu alitokea middle east? au US umefuata yale mambo yenu ya upinde na LGBTQ
 
Kumbe unaongozwa na US wakati yesu alitokea middle east? au US umefuata yale mambo yenu ya upinde na LGBTQ
Tunafurahia nchi yetu ya Israeli ambayo inatembeza vichapo vya mbwa Koko Kwa magaidi Israel ni taifa teule god bless Israel
 
Yesu si mtu wa kwetu, hana faida yoyote maishani mwangu.

So sioni haja ya kusumbuka na mtu ambaye hata watu wa kwao tu walimkataa.
Kama Yesu alishindwa kuwashawishi wayahudi wenzie wamfuate, kwanini mmakonde mmoja hapa aje anishawishi niachane na tamaduni za kwetu, nifuate falsafa za huyo Yesu?
Ila sasa mkuu, kwa nini huwa unajificha unapofanya ibada ya kitamaduni?
 
Back
Top Bottom