Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ni kauli ya netanyagu kwakuwa yeye haingii uwanja wa vitaNETANYAHU amesema kuwa "tunapenda vita kuliko chakula"
Hii kauli ni ngumu Sana
Moja ya kauli ngumu zaidi za kimedani kuwahi kutolewa katika historia ya dunia; hata maandiko hayana anywhere those words in that context - kupenda Vita kuliko chakula!NETANYAHU amesema kuwa "tunapenda vita kuliko chakula"
Hii kauli ni ngumu Sana
Mkuu ushabiki wa kidini hauna tija! Kama wewe ni mkristo ombea Amani mashariki ya Kati,na wala usifikiri hapo Mungu yupo katikati ya Vita hivyo! Mungu wetu ni Mungu wa Amani siyo Mungu wa Machafuko,(1Wakori.14:33)Israel iko tayari kumaliza huu ugomvi wa muda mrefu, ifahamike moja kuwa nani mbabe ukanda huo, nani anayemuabudu Mungu wa kweli, hamna haja ya mikwara oohh masaa 48, yaani fanyeni kweli, mlipigwa tena kwenye unalozi.
IDF Spokesman Rear Adm. Daniel Hagari in a press statement says Israel is taking every threat against it seriously, and that fighter jets are ready for “a variety of scenarios.”
“In the past six months, we have been in a multi-front war. We are on heightened alert in all the arenas. We are looking at the threats and foiling them all the time, on several fronts, and are at a high level of readiness for defense and offense. We are constantly carrying out assessments, and take seriously any statement and all enemies,” he says.
“We have strengthened alertness in combat units, bolstered [air] defense systems, and we have planes prepared for defense, and ready for attack,” Hagari says.
Hao watu wanaokimbia wako wapi?View attachment 2953927
Watu wanakimbia haifa muda huu
Mkuu ushabiki wa kidini hauna tija! Kama wewe ni mkristo ombea Amani mashariki ya Kati,na wala usifikiri hapo Mungu yupo katikati ya Vita hivyo! Mungu wetu ni Mungu wa Amani siyo Mungu wa Machafuko,(1Wakori.14:33)
Anapenda vita kuliko kufanyiwa upasuaji wa busha.Moja ya kauli ngumu zaidi za kimedani kuwahi kutolewa katika historia ya dunia; hata maandiko hayana anywhere those words in that context - kupenda Vita kuliko chakula!
Those words will be quoted in military studies and researches many generations to come.
Sasa wewe kama Mkristo unashabikia nini?Tunaiombea amani ila fahamu Wayahudi hufuata sheria za Musa, jicho kwa jicho, ukiwapiga wanapiga, wao hawajui kuombea amani.
Israel inajua Iran ikijibu(Ikishambulia Israel) basi marekani/Nato lazima waingie, sasa wakiingia hao yeye hana haja ya kupeleka majeshi yake vitani. Think big mkuuIsrael iko tayari kumaliza huu ugomvi wa muda mrefu, ifahamike moja kuwa nani mbabe ukanda huo, nani anayemuabudu Mungu wa kweli, hamna haja ya mikwara oohh masaa 48, yaani fanyeni kweli, mlipigwa tena kwenye unalozi.
Sasa wewe kama Mkristo unashabikia nini?
Unafurahia vifo vya Wapalestina mfano mpaka kufikia sasa hivi wamekufa takribani 33,000 wengi wao wakiwa Wanawake,Watoto na Wazee! Eti kwa kuwa Wayahudi wanashika Torati?
Israel inajua Iran ikijibu(Ikishambulia Israel) basi marekani/Nato lazima waingie, sasa wakiingia hao yeye hana haja ya kupeleka majeshi yake vitani. Think big mkuu
Aliueshambuliwa balozi yake ni Iran, kiongozi wao mkuu Ayatollah akasema ata retaliate in 48hrs against Israel na hajafanya hivyo mpaka dakika hii, sasa utasemaje wanatunishiana misuli?!Dah huu mtanange tunausubili kwa hamu, maana kila siku wanatunishiana misuli tu
Muisael mweusi wa Maji matitu kakasirika😂Israel atumie timing tu. haya mambo ya kusubiria adui akushambulie ndio yale maswala ya gaza baada kuuwawa raia wasio kuwa na hatia hapo ndio akapata hasira wakati Israel lileswala analolifanya gaza ilitakiwa alifanye miaka 20 iliyopita.
Israel hawa mbwa wa iran anavyozidi kuwachelewesha ndio anavyozidi kufuga ubovu.
Mimi ni Mkristo siyo Muislamu! Hakuna Mcha Mungu wa kweli anayeweza kushabikia vita! Vita vina gharimu maisha ya watu! Waisrael na Wapalestina wote mbele za Mungu ni sawa! Mungu hana upendeleo.Nyie mnapaswa muendelee kuchinja Wakristo ila acheni shobo na Wayahudi, mtakufa sana....wale wanafuata sheria za Musa, hawajui kugeuza uso upande wa pili ukiwapiga, wanakushukia mazima mazima na wanafyeka kila chenye pumzi.
Msingewaua au kuua watoto wao, mtapigwa sana nyie, poleni.
Hivi kweli unaona Iran akiwapa kichapo hao Israel marekani atakaa tu bila ya kuingia?.Hivi vijisababu mumekua mkivitumia sana, kwa hiyo Iran ni mnyonge wa kuendelea kupigwa tu....
Nato wapi hao wako hoi kiuchumi na hawaprint pesa kama usa anavyoprint usa lazima wakusanye kodi ndo wapate hizo pesa za kwenda kumlinda usraeliIsrael inajua Iran ikijibu(Ikishambulia Israel) basi marekani/Nato lazima waingie, sasa wakiingia hao yeye hana haja ya kupele majeshi yake vitani. Think big mkuu
Iran, uwezo wa akili yake umeishia kuweza kuilaghai Syria ikubali ardhi yake igeuke kuwa uwanja wa vita (front line) baina ya Israeli na Iran.Vita siyo mchezo, wameweka wazi kabisa kuwa ndege zao ziko tayari kushambulia adui yoyote atakaye rusha boom ndani ya Israel, wako tayari kujilinda na kushambulia, kazi iko kwa Iran sasa.
