Jeshi la Israel limeanza kuingia Gaza

Jeshi la Israel limeanza kuingia Gaza

Hamas wakubali wanawatesa wapalestina sana
Wapalestina wameanza kuteseka hata kabla ya Hamas haijafikiliwa kuanzishwa.

Kwa hiyo ukingo wa Magharibi ambapo wapalestina wana uliwa kila siku na kunyanganywa nyumba zao na kuwapa wayahudi napo kuna Hamas?
 
NILIPOKUA MDOGO MIAKA YA SITINI WAKATI HUO TANGANYIKA NDIO IMEUNGANA NA ZANZBAR NILIBAHATIKA KUONA HARAKATI ZA WARAABU PALE CAIRO NA DAMASCUS WAKATI WANAJIANDAA NA KUIVAMIA ISRAEL MWAKA 1967.
KILICHONIFURAHISHA NI ZILE NYIMBO ZAO ZA KISHUJAA KWENYE MIHADHARA.
"""" TUTAFIKA TEL AVIV KESHO"""
""""HAIFA TUTAFIKA JIONI"""
"NA JERUSALEM TUTAICHUKUA ASUBUHI"
NB : KILICHOWAKUTA MPAKA LEO HIZO NYIMBO WAMEZIFUTA KWENYE KUMBUKUMBU.NITAANDIKA HUU UZI KUELEZEA MADHARA YA KUONGEA SANA BILA VITENDO ILIVYOWAGHARIMU WAARABU 1967.
Waarabu hawana tofauti na vibwengo, ujue vibwengo nikiwa skull viliwatisha watu bila matokeo yoyote chanya.
 
Mkuu hiyo historia ya mayahudi na maarabu kuhusu mikataba umeisoma wapi na sisi tupate elimu kuwahusu hao mayahudi na maarabu.
SOMA wikipedia utafahamu.
Katika moja ya pafagrafu inasomeka hivi

In 2002, the Arab League offered recognition of Israel by Arab countries as part of the resolution of the Palestine–Israel conflict in the Arab Peace Initiative.[9] The initiative, which has been reconfirmed since, calls for normalizing relations between the Arab League and Israel, in exchange for a full withdrawal by Israel from the occupied territories (including East Jerusalem) and a "just settlement" of the Palestinian refugee problem based on UN Resolution 194.

Sasa angalia hali ilivyo huko Jerusalem.Badala ya kuondosha majeshi ndio wameongeza na wameteka maeneo muhimu yaliyobaki na kuwafungia wapalestina kwenye vizuizi baina ya familia moja na nyengine.
 
Hivi we unawamini Israel? Israel aingize jeshi Lake Gaza, labda wameota.

Ikiwa America special force walijaribu kwenda kuwaokoa matekwa walirudi wote maiti, na Israel hawezi sogeza jeshi Lake Gaza ataishia kuvunja majumba tu na kuwauwa watoto, wanawake. Wazee na badhi ya vijana wasio na hatia.
 
Naomba kuwauliza waisraeli wa Kiabakari na wapalestina wa Mbagala Mtongani, hivi Israel wakishawaondoa hao raia pale Gaza kwenda kwenye hizo nchi zingine ,wao wataingia pale kufanya Nini Kama raia wote watakuwa wameondoka?
 
SOMA wikipedia utafahamu.
Katika moja ya pafagrafu inasomeka hivi

In 2002, the Arab League offered recognition of Israel by Arab countries as part of the resolution of the Palestine–Israel conflict in the Arab Peace Initiative.[9] The initiative, which has been reconfirmed since, calls for normalizing relations between the Arab League and Israel, in exchange for a full withdrawal by Israel from the occupied territories (including East Jerusalem) and a "just settlement" of the Palestinian refugee problem based on UN Resolution 194.

Sasa angalia hali ilivyo huko Jerusalem.Badala ya kuondosha majeshi ndio wameongeza na wameteka maeneo muhimu yaliyobaki na kuwafungia wapalestina kwenye vizuizi baina ya familia moja na nyengine.
Wikipedia imeandaliwa na kampuni gani mkuu na mmliki wake ni raia wa nchi gani?
 
Hivi we unawamini Israel? Israel aingize jeshi Lake Gaza, labda wameota.

Ikiwa America special force walijaribu kwenda kuwaokoa matekwa walirudi wote maiti, na Israel hawezi sogeza jeshi Lake Gaza ataishia kuvunja majumba tu na kuwauwa watoto, wanawake. Wazee na badhi ya vijana wasio na hatia.
Mkuu hiyo habari ya american special force,s umeipata wapi na sisi tupate kuifuatilia kwa weledi zaidi?
 
SOMA wikipedia utafahamu.
Katika moja ya pafagrafu inasomeka hivi

In 2002, the Arab League offered recognition of Israel by Arab countries as part of the resolution of the Palestine–Israel conflict in the Arab Peace Initiative.[9] The initiative, which has been reconfirmed since, calls for normalizing relations between the Arab League and Israel, in exchange for a full withdrawal by Israel from the occupied territories (including East Jerusalem) and a "just settlement" of the Palestinian refugee problem based on UN Resolution 194.

Sasa angalia hali ilivyo huko Jerusalem.Badala ya kuondosha majeshi ndio wameongeza na wameteka maeneo muhimu yaliyobaki na kuwafungia wapalestina kwenye vizuizi baina ya familia moja na nyengine.
Mkuu hivi nipe elimu kidogo,,,kabla ya warumi kuwaondoa wayahudi wale wamakabayo Jerusalem,,,,Huo mji ulikua unakaliwa na nani??
Maana wipotoka warumi wakaja wasyria na macrusader na baadae makhalifa wa kiarabu na baadae waturuki.
Kabla ya wote hao huo mji ulikua unakaliwa na himaya ya watu gani???
 
Wapalestina wameanza kuteseka hata kabla ya Hamas haijafikiliwa kuanzishwa.

Kwa hiyo ukingo wa Magharibi ambapo wapalestina wana uliwa kila siku na kunyanganywa nyumba zao na kuwapa wayahudi napo kuna Hamas?
Na wayahudi mkuu hapo mashariki ya kati walianza kuteseka kabla hata hilo jina la palestina halijabuniwa na warumi mkuu.
 
Sasa watoto wanaohusika Nini,si wamfuate mwenyewe wamalizane nae?


hayaa mambo hayaendi hivyoo ndo maana wanaojihusisha na hayoo mambo huwa wanaficha familia sana na majina huwa wanabadilisha. familia ni sehemu inayoweza kukupa maumivu mpaka unaingia kaburini.
 
SOMA wikipedia utafahamu.
Katika moja ya pafagrafu inasomeka hivi

In 2002, the Arab League offered recognition of Israel by Arab countries as part of the resolution of the Palestine–Israel conflict in the Arab Peace Initiative.[9] The initiative, which has been reconfirmed since, calls for normalizing relations between the Arab League and Israel, in exchange for a full withdrawal by Israel from the occupied territories (including East Jerusalem) and a "just settlement" of the Palestinian refugee problem based on UN Resolution 194.

Sasa angalia hali ilivyo huko Jerusalem.Badala ya kuondosha majeshi ndio wameongeza na wameteka maeneo muhimu yaliyobaki na kuwafungia wapalestina kwenye vizuizi baina ya familia moja na nyengine.
Mkuu kumbe historia ya MAARABU NA MAYAHUDI umeitoa Wikipedia mkuu??
Nilidhani umefika huko
 
Back
Top Bottom