Jeshi la Israel limeanza kuingia Gaza

Umeomba reference ukapewa, sasa leta hoja yako na wewe tuone kama iko na mashiko. Hizo nyingine ni porojo.

Wewe mbona unajadili kuhusu mateka walioshikiliwa na Hamas pamoja na historia ya Israel, ulikuwepo?
Anajua nilichomaanisha na amenielewa swali nililomuuliza kuhusu reference yake.
NB:Kitu chochote kile ulimwenguni kinaweza kua source ya information au reference ila sasa je kipo sahii?
 
Anajua nilichomaanisha na amenielewa swali nililomuuliza kuhusu reference yake.
NB:Kitu chochote kile ulimwenguni kinaweza kua source ya information au reference ila sasa je kipo sahii?
Kama unaona kitu fulani hakina usahihi, basi hauna budi kuonyesha ni kwa namna gani hakina usahihi. Na je, usahihi ni upi?

Peace be upon you!
 
Kama unaona kitu fulani hakina usahihi, basi hauna budi kuonyesha ni kwa namna gani hakina usahihi. Na je, usahihi ni upi?

Peace be upon you!
Mkuu tatizo unaleta mrengo flani wa kiimani kwenye masuala ya wekedi katika uandishi wa habari.
Ebu fuatilia majadiliano yangu na ndugu yangu @ Alwaz hapo juu tokea mwanzo.
Peace be upon you (Shalom)
 
Nionavyo kuna shida kubwa katika udhaifu wa UN. Kuliwahi kuwa na mjadala wa "Two state solution" ambapo UN ingekuwa na meno ingeshinikiza, ili Palestina na Israeli waishi kama mataifa jirani, hata kwa kulazimishwa ikibidi.

Lakini UN haina uwezo wa kuwa neutral, kwa vile kuna wanaoichangia zaidi. Na wameweka uozo unaitwa kura ya VETO, ili mkubwa asipotaka kitu, kura za wote wengine hazijalishi.

Kwa mazingira haya logic haitaamua huu ugomvi bali maguvu. Ndicho kinachoendelea.
 
Hamasi wanatumia watu/raia kama Kinga na huku wanaendeleza mashambulizi kwa Israel. Kwa njia hii suala la kudhuru raia haliepikiki. Huwezi ukatuma kombora au Bomu halafu likaenda kuchagua raia ni yupi na Hamasi ni yupi.

Wapalestina wanakosea sana kuwakumbatia hamasi ambao Wala sio Taasisi yenye wakilishi ya Wapalestina Bali kikundi Cha wahuni.
 
Waarabu kwann sioni taifa linaloliunga mkono Israel?.kwaiyo shida ya Israel sio Waislam hapo mashariki ya kati, US, NATO, China, na nchi zinazo chukia Ubaguzi hazitawaunga mikono. Kama tu mnawachukia ndugu zenu kisa sio dini yenu vip tukiaja waafrikaa hapo mtafanyia nini. DUNIA haitavumili Ubaguzi wa Dini kamwe
 
Hoja zako zina utata mwingi.iwapo wameshindwa kuwatofautisha Hamas na watu wengine basi wakubali tu yaishe sio kupiga makanisa,hospitali,misikiti na bakery.
Katika kuikalia Palestina walipaswa wajuwe mwanzo kuwa ukandamizaji wake umewageuza raia wote kuwa askari. na hivyo katika kupanga vita waujue ugumu huo kabla.
 
Tupe chanzo Cha hii habari yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…