Jeshi la Israel linaongozwa na watu wasiojitambua

Jeshi la Israel linaongozwa na watu wasiojitambua

Mto Songwe

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2023
Posts
6,683
Reaction score
14,060
Hili jeshi la Israel lina tilia shaka kubwa sana kama ni professional army au genge la wahalifu lililo kusanywa tu hovyo hovyo na kuanza kupigana na waarabu hapo mashariki ya kati.

Ukitazama namna ambavyo hata vita vyao vya Gaza wanavyo viendesha ni kama wendawazimu walio changanyikiwa sijui nini kinawasibu au overconfidence ya kuwa wana backup kubwa ya mataifa ya magharibi ?

Unajiuliza taifa lako lipo kwenye vita ambayo hata hamjaimaliza wala malengo yenu kutimia bado hapo hapo unashambulia balozi za taifa hasimu lako hawa watu wapo timamu ?

Hivi hata washauri wenye hekima kwenye jeshi lao wapo ? Au kwao kila kitu nguvu nyingi akili kisoda. Unaweza vipi kushambulia ubalozi wa taifa lengine kama kweli wewe ni nchi unayo jitambua.

Huyu Israel hapo mashariki ya kati hana tofauti na Japan wakati ule wa miaka ya vita vya dunia kule Asia.

Japan alikuwa kama amechanganyikiwa yeye kila jirani yake ni kuanzisha naye ugomvi pale anapoa jisikia bila kujali madhara ila baada ya kutulizwa katulia tuli hadi leo sawa tu na ujerumani.

Nae huyu Israel anaelekea kulekule kwenye kutulizwa.
 
Wamechanganyikiwa walijua Hamas ni wiki 1 tu watakua wamewamaliza wanashangaa wanaume bado wanawashughulikia . Kwa hasira wanaua raia , watoto na watoa missada.
Shida ya vita haina cha haki za watoto sijui wazee ama wanawake

Ndio maana wazee wetu wakahitimisha kwa neno moja 'vita haina macho'
 
Hili jeshi la Israel lina tilia shaka kubwa sana kama ni professional army au genge la wahalifu lililo kusanywa tu hovyo hovyo na kuanza kupigana na waarabu hapo mashariki ya kati.

Ukitazama namna ambavyo hata vita vyao vya Gaza wanavyo viendesha ni kama wendawazimu walio changanyikiwa sijui nini kinawasibu au overconfidence ya kuwa wana backup kubwa ya mataifa ya magharibi ?

Unajiuliza taifa lako lipo kwenye vita ambayo hata hamjaimaliza wala malengo yenu kutimia bado hapo hapo unashambulia balozi za taifa hasimu lako hawa watu wapo timamu ?

Hivi hata washauri wenye hekima kwenye jeshi lao wapo ? Au kwao kila kitu nguvu akili kisoda. Unaweza vipi kushambulia ubalozi wa taifa lengine kama kweli wewe ni nchi unayo jitambua.

Huyu Israel hapo mashariki ya kati hana tofauti na Japan wakati ule wa miaka ya vita vya dunia kule Asia.

Japan alikuwa kama amechanganyikiwa yeye kila jirani yake ni kuanzisha ugomvi pale anapoa jisikia bila kujali madhara ila baada kutulizwa katulia tuli hadi leo sawa tu na ujerumani.

Nae huyu Israel anaelekea kulekule kwenye kutulizwa.
Povu la nini au we ni mwarabu wa buza.
 
Hili jeshi la Israel lina tilia shaka kubwa sana kama ni professional army au genge la wahalifu lililo kusanywa tu hovyo hovyo na kuanza kupigana na waarabu hapo mashariki ya kati.

Ukitazama namna ambavyo hata vita vyao vya Gaza wanavyo viendesha ni kama wendawazimu walio changanyikiwa sijui nini kinawasibu au overconfidence ya kuwa wana backup kubwa ya mataifa ya magharibi ?

Unajiuliza taifa lako lipo kwenye vita ambayo hata hamjaimaliza wala malengo yenu kutimia bado hapo hapo unashambulia balozi za taifa hasimu lako hawa watu wapo timamu ?

Hivi hata washauri wenye hekima kwenye jeshi lao wapo ? Au kwao kila kitu nguvu akili kisoda. Unaweza vipi kushambulia ubalozi wa taifa lengine kama kweli wewe ni nchi unayo jitambua.

Huyu Israel hapo mashariki ya kati hana tofauti na Japan wakati ule wa miaka ya vita vya dunia kule Asia.

Japan alikuwa kama amechanganyikiwa yeye kila jirani yake ni kuanzisha ugomvi pale anapoa jisikia bila kujali madhara ila baada kutulizwa katulia tuli hadi leo sawa tu na ujerumani.

Nae huyu Israel anaelekea kulekule kwenye kutulizwa.
Israel hajashambulia ubarozi kwa bahati mbaya kafanya makusudi kwa sababu nyuma ya vikindi vyote vinavyo mshambulia yupo Iran akipigana vita na Israel kutumia proxies Sasa hili Israel ka m Provoke Iran direct ili aingie kwenye battlefield yeye na sio kutumia proxies ( chawa) Wake hapa inatafutwa justification ya kupigana direct sio kutumia vikundi

Remember October 7 Hamas walisheherekea kuipa adabu Israel Lakini bahati mbaya hawakujua ni Kama waliwapa justification WA Israel kuipiga Gaza mfano mmoja "ni Kama Kuna mbwa kila siku anavizia kuku zako anakula anakimbia siku Moja unaamua kumfungulia Banda aingie ale vizuri harafu uite majirani mumuue"

Huu ndio mtego Iran kila siku anauruka tunasubili this time tuone ataingia vitani au nae atajibu kwa kushambulia MOSSAD warehouse ( blacksite )uko iraq au nchi nyingine na si Israel au atatumia proxies wake kushambulia ardhi ya Israel
 
Hili jeshi la Israel lina tilia shaka kubwa sana kama ni professional army au genge la wahalifu lililo kusanywa tu hovyo hovyo na kuanza kupigana na waarabu hapo mashariki ya kati.

Ukitazama namna ambavyo hata vita vyao vya Gaza wanavyo viendesha ni kama wendawazimu walio changanyikiwa sijui nini kinawasibu au overconfidence ya kuwa wana backup kubwa ya mataifa ya magharibi ?

Unajiuliza taifa lako lipo kwenye vita ambayo hata hamjaimaliza wala malengo yenu kutimia bado hapo hapo unashambulia balozi za taifa hasimu lako hawa watu wapo timamu ?

Hivi hata washauri wenye hekima kwenye jeshi lao wapo ? Au kwao kila kitu nguvu akili kisoda. Unaweza vipi kushambulia ubalozi wa taifa lengine kama kweli wewe ni nchi unayo jitambua.

Huyu Israel hapo mashariki ya kati hana tofauti na Japan wakati ule wa miaka ya vita vya dunia kule Asia.

Japan alikuwa kama amechanganyikiwa yeye kila jirani yake ni kuanzisha ugomvi pale anapoa jisikia bila kujali madhara ila baada kutulizwa katulia tuli hadi leo sawa tu na ujerumani.

Nae huyu Israel anaelekea kulekule kwenye kutulizwa.
Umekaa kwenye kochi la shemeji yako hapo umeshiba daku la alfajiri unajifanya mwerevu kuliko IDF, Ina maana hujui kwann huo ubalozi umeshambuliwa?

Israel huko Gaza alishamaliza kazi sasa hivi anahitimisha tu kwa taarifa Yako Irani ndio aliowajaza upepo Hamas kufanya tukio la Oct 7.
Islamic jihad ambao wapo Gaza wapo pia west bank na Lebanon na ndugu zao Hizbullah ambao wote wanafadhiliwa na Irani kwa Kila kitu kwahiyo unataka IDF watulie tu wakat Irani anaendelea kuwapa silaha, kuwapa mikakati hivyo vikundi ili viendelee kuishambulia Israel?
 
Umekaa kwenye kochi la shemeji yako hapo umeshiba daku la alafajiri unajifanya mwerevu kuliko IDF, Ina maana hujui kwann huo ubalozi umeshambuliwa?

Israel huko Gaza alishamaliza kazi sasa hivi anahitimisha tu kwa taarifa Yako Irani ndio aliowajaza upepo Hamas kufanya tukio la Oct 7, Islamic jihad ambao wapo Gaza wapo pia west bank na Lebanon na ndugu zao Hizbullah ambao wote wanafadhiliwa na Irani kwa Kila kitu kwahiyo unataka IDF watulie tu wakat Irani anaendelea kuwapa silaha, kuwapa mikakati hivyo vikundi ili viendelee kuishambulia Israel?
Una miaka mingapi dogo ?
 
Israel hajashambulia ubarozi kwa bahati mbaya kafanya makusudi kwa sababu nyuma ya vikindi vyote vinavyo mshambulia yupo Iran akipigana vita na Israel kutumia proxies Sasa hili Israel ka m Provoke Iran direct ili aingie kwenye battlefield yeye na sio kutumia proxies ( chawa) Wake hapa inatafutwa justification ya kupigana direct sio kutumia vikundi

Remember October 7 Hamas walisheherekea kuipa adabu Israel Lakini bahati mbaya hawakujua ni Kama waliwapa justification WA Israel kuipiga Gaza mfano mmoja "ni Kama Kuna mbwa kila siku anavizia kuku zako anakula anakimbia siku Moja unaamua kumfungulia Banda aingie ale vizuri harafu uite majirani mumuue"

Huu ndio mtego Iran kila siku anauruka tunasubili this time tuone ataingia vitani au nae atajibu kwa kushambulia MOSSAD warehouse ( blacksite )uko iraq au nchi nyingine na si Israel au atatumia proxies wake kushambulia ardhi ya Israel
Kushambulia balozi za taifa lengine zina thibitisha kuwa jeshi lina ongozwa na vichaa sio watu wenye akili timamu
 
Israel keshasema anaweza piga middle east yote wewe ka tulia enjoy the moment wew si unafurahia downfall ya Israel hutakiwi kuwaonea huruma Wala kuwakosoa subria Iran ipige tukio uje kifua mbele netanyau anajua achofanya
Hata Japan na Ujerumani nao walikuwa na mienendo hiyo hiyo katika maeneo yao.
 
Back
Top Bottom