Jeshi la Israel linasema kuwa litaondoa vikosi vitano vya kijeshi vilivyoshiriki katika uvamizi wa ardhini wa Gaza

Israel bila US ni sawa na kumpa kibogoyo karanga atafune
Na ndio ukweli wenyewe na huo ndio mwanzo wa kuikimbia ghaza
Wanajifanya wajanja ila tushajua kama wanaikimbia ghaza wameshindwa kuikalia kama walivyokua wanataka
Maana vifo kwao vimekua vingi sana kinyume na matarajio yao
Vilema wamekua wakutosha kinyume na matarajio yao
 
Wewe kiongozi wa tawi la LGBTQ Tel aviv kwani ulitakaje? nenda kwa Papa ukabarikiwe,sasa hivi ni ruksa.
Wew unafanya jihad humu jf nenda gaza ukafumulie kinyeo uwahishwe aliko Osama bin laden ukapige mi.ti dada zenu(bikra 72)wanaosadikika Mudy kawaandalia
 
Zeifullah Al-Shami , Minister of Information and Yemeni Spokesperson:

“Yemeni blood is no more precious than Palestinian blood, and our people and army will remain with Palestine until victory.”
 
⚡️Vikosi vya Al-Qassam na Vikosi vya Mujahidina vinalenga helikopta ya Apache ya #Israel kusini mwa kitongoji cha Zaytoun katika Jiji la #Gaza kwa kombora la SAM 7.

Apache moja dola milioni 13🤣
 
Kikosi kingine hatari zaidi cha Wapalestina kimeibuka huko Ghaza kutowa sapoti kwa Hamas.

Hicho ndiyo kikosi kilichoanzishwa zamani na bingwa wa mapigano ya kimkakati "George Habash", kinaitwa PFLP lakini kilijulikana sana kama The Black September kwa utekaji wao wa ndege nne za abiria za mataifa makubwa kwa wakati mmoja. Pia kiliwahi kuteka kijiji kizima cha Olimpiki. Kiliwashirikisha vichwa vikali kama Carlos The Jackal na Lutif Afif na mwana dada wa shoka Leila Khaled.

Kikosi hicho ni hatari sana kwa kuwa kinahusisha siyo Wapalestina tu bali watu kutoka vikundi vyote vikali vinavyotetea wanyonge duniani, vikiwemo Red Brigades wa Italy IRA ya Ireland na vikundi vingine vya Amerika kusini

Kikundi hicho ndicho kilichoibuwa miamba maarufu duniani kama Carlos The Jackal kilikuwa kimya sana miaka mingi sana, kuibuka kwake kunasadikika kuwa kipo hai na kina operate middle east nzima kimya kimya. Kuibuka kwake kunaashiria kuwa hii vita haitoishia Ghaza tu, sasa hivi wakubwa wa nchi zote za Kiarabu zinazishirikiana na mazayuni, kama Saudi Arabia, Jordan, UAE saa hizi mavi debe. Kikundi hicho huwa kinalenga zaidi kwenye shina na mizizi, siyo matawi.
 
Wewe unaongea fikra zako na mahaba kinachowakimbiza ni kipigo.

Leaked information 💥
The real number of enemy deaths in Gaza:
8435 Israeli dead
902 French killed
1,385 Americans killed
79 Britons killed
48 Italians killed
62 Indian mercenaries and others
 
Wew unafanya jihad humu jf nenda gaza ukafumulie kinyeo uwahishwe aliko Osama bin laden ukapige mi.ti dada zenu(bikra 72)wanaosadikika Mudy kawaandalia
Wewe bikra yako ulitolewa lini unakumbuka mwaka?
 
Deep sana hii watoto wadogo ambao wanaendekeza ushabiki mandazi hawati kusomeshwa historia ya Mashariki ya Kati hawawezi kufahamu.
 
kwa wale ambao watapendelea kumfahamu zaidi Leila Khaled, ni huyu hapa:


View: https://youtu.be/EkyWoXE2eVQ?si=l4RIc8HkZWx1Oh_K
Hawa ndiyo watu ambao majina yao yanaandikwa kwa wino wa dhahabu kwenye mioyo ya wapenda haki wote duniani.

Hao ndiyo watu ambao hata Nyerere wa Tanznia alikubali kuwaunga mkono kwa ushujaa wao wa kuipigania haki kwa hali na mali. Walimwambia SArafat wewe pida siasa sisi tunapiga risasi, mazayuni hawana lugha wanayoielewa isipokuwa ya risasi tu.

Waliungwa mkono na wapigania uhuru na hali wa dunia nzima kama vile Fidel Castro, Che Guevera, kina IRA, ANC na TANU, miamba yote ya haki ilikuwa upande wao.
 
Vikosi vyetu vya kijeshi vya Yemen vinatangaza kuuawa shahidi kwa wanajeshi 10 kutoka kwa vikosi vya wanamaji vya Yemen katika Bahari Nyekundu baada ya makabiliano na uingiliaji wa moja kwa moja wa Amerika katika vita dhidi ya Yemen. Kutakuwa na vita ambavyo havijawahi kushuhudiwa na adui wa Kizayuni na Marekani kuanzia leo na kuendelea. Kambi na maslahi ya Marekani yatakuwa chini ya rehema ya majeshi yetu ya Yemen.
 

Attachments

  • IMG_8682.jpeg
    90.5 KB · Views: 1
Mwanzo hawakujua kama uwepo wa majeshi wengi kuna hatarisha pia uwepo wao
Wamemaliza vipi kazi wakat jana tu kabla ya kuondoka rockets zilirushwa kupiga tel aviv na lengo lao moja nihili kuhakikisha hamas hawawezi tena kuipiga israhell
Au kumaliza kwako unakuongelea namna gani
Israhell kaishaanza kuikimbia ghaza nisuala la muda tu
 
kama hufuatilii, juzi accidentally, wamepiga bom likauwa wanajeshi wao 20. uwe unakuwa updated sio unakaa tu huko mbagala na kuchati hapa.
 
kama hufuatilii, juzi accidentally, wamepiga bom likauwa wanajeshi wao 20. uwe unakuwa updated sio unakaa tu huko mbagala na kuchati hapa.
Heheeeeee pole kijana
Shida ya israhell wamechanganyikiwa hata raia wao walojisalimisha c waliwaua
Hapo mazayuni wameona kipigo kimekolea wameamua ku withdraw mdogo mdogo
Suala la israhell kua imechemka ghaza baada ya miezi mitatu wala halina ubishi
Hizo nyengine ngonjera tu
 
Wew unafanya jihad humu jf nenda gaza ukafumulie kinyeo uwahishwe aliko Osama bin laden ukapige mi.ti dada zenu(bikra 72)wanaosadikika Mudy kawaandalia
Wewe bikra yako uliipoteza katika mazingira gani? coz naona unawaonea wivu wenye bikra zao,

Gaza wanafumuliwa wayahudi ila wewe kafiri uliyopo tandahimba huko ndio unapata maumivu,
 
Utakuwa una ujauzito jaribu kupima mkojo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…