Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hvyo hvyo namim nimeweza haiwezekano katu Hilo likafanikiwa ikiwatu jeshi la Uganda limo ndani ya operation hyo ,kwanin tunasema hvyo Ni kwamba wale waasi wa m23 wanna vinasaba kbsa na jsehi la Uganda Ni ngumu sna hyo Operation kufanikiwa kwani limejah mamluki wengi ktk jeshi Hilo hvyo Kenya wategemee kupokeaa maiti nyingi mno watako dedishwa na wanajeshi wa UgandaKama hilo Jeshi kuna Uganda hakuna watakachofanikiwa.
Ndani ya jeshi la Uganda hao tutsi wamejaa na information zote lazima zifike kwa baba yao.
Sahih kbsaa kosa kubwa sna walilolifanya congo Ni kuwashirikisha waganda ktk Operation hyoGen. Muhozi ana support M23 so Uganda army watakuwa wanatoa siri kwa M23 na kufanya kazi kuwa ngumu
Ilinishangaza San hiloSerikali ya Congo ilikakaa kushirikiana na Rwanda, lakini imekubali kushirikiana na Uganda. Sasa sijui Tshisekedi hajui kuwa Rwanda na Uganda ni kama vile Tanganyika na Zanzibar kwamba ni nchi moja tofauti kila upande ina mtawala wake.
Muhozi ameshatoa onyo kwa Kenya, sasa ngoja tusubiri kuona kitachotokea huko Congo.Hvyo hvyo namim nimeweza haiwezekano katu Hilo likafanikiwa ikiwatu jeshi la Uganda limo ndani ya operation hyo ,kwanin tunasema hvyo Ni kwamba wale waasi wa m23 wanna vinasaba kbsa na jsehi la Uganda Ni ngumu sna hyo Operation kufanikiwa kwani limejah mamluki wengi ktk jeshi Hilo hvyo Kenya wategemee kupokeaa maiti nyingi mno watako dedishwa na wanajeshi wa Uganda
Vipi mziki ndo umeshaanza au?Well speaking
Vipi tayari bm zishaanza kuunguruma nini?Vimondo huku....
Hao unaowasifia wameshaanza kula kipondo kitakatifu wanalainishwa kwanza kwa mabomu ya anganiM23 sio wepesi kama unavyofikiria. Hao vijana 3000 nafikiri wataelekezwa wakapambane na yale makundi ya wahutu waliokimbia Rwanda. Ila kwa M23 hakuna kijana atakaekuwa tayari kuweka pua yake mbele yao.
Uganda aliwapa hifadhi waasi mwaka 2015, leo anakwenda kupambana nao aliowapa hifadhi, kwanini hakuwamaliza kipindi amewahifadhi? Au hili ni igizo?Na oparation hiyo itahusisha majeshi ya Afrika mashariki kutoka Burundi, Congo, Uganda na Kenya huku Kenya ikionekana kuongoza...
Usisahau tulikwenda kuokoa kisiwa kimoja huko karibu na MtwaraPia tulienda Congo tukafanya oparation ya muda mfupi ambayo ilileta matokeo mazuri kwa jeshi letu.
Sasa ni muda wa kuwaachia na wengine nao wafanye yale tuliyoyafanya, ikishindikana dakika za mwisho watatuita tukasafishe pori.
Muda uliopangwa kwa waasi kujisalimisha umeshaisha jana, lakini waasi wa M23 wamekataa katakata kujisalimisha wao wala silaha zao.Vipi mziki ndo umeshaanza au?
Mpaka sasa M23 wametulia katika ngome zao wanakunywa, kula na kufurahia maisha, hakuna jeshi la Kenya, Burundi wala Uganda lililoenda kuwabughudhi.Vipi tayari bm zishaanza kuunguruma nini?
Hizo habari ni za muda mrefu, na yale mabom ya angani hayajaleta ahueni yoyote kwa jeshi la Congo maana maeneo yaliotekwa na M23 bado yanakaliwa na waasi hao.Hao unaowasifia wameshaanza kula kipondo kitakatifu wanalainishwa kwanza kwa mabomu ya angani