Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) lakataa vijana 8 kutokana na kujihusisha na vitendo vya Ushoga

Juan Manuel & Furushi la Chanjo mmejaa sana upepo, inaonekana ni mapunga na wote ni ID ya Mtu mmoja.

Poleni sana, hii ndiyo dunia.
 
Ushoga umekuponza jkt umekataliwa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nikafanye nini JKT sasa?

Mimi nawatetea nyie mabwabwa ili msionewe onewe hovyo.

Unapaswa kunishukuru hapa.
 
Ndio maana idadi kwenye sensa ilikuja pungufu
 
Juan Manuel & Furushi la Chanjo mmejaa sana upepo, inaonekana ni mapunga na wote ni ID ya Mtu mmoj.

Poleni sana, hii ndiyo dunia.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mimi nawatetea nyie mabwabwa.

Unapaswa kusema asante.
 
Mkuu wa wilaya ya Iramba Selemani Mwenda amesema vijana hao nane kati ya thelathini waliyokosa sifa ya kujiunga na mafunzo ya JKT ni kutokana na vipimo kubaini kwamba wanajihusisha na vitendo vya ushoga...
Angesema tu hawana sifa kusema wanajihusisha na vitendo vya ushoga si busara.
 
Sasa me na ww nani shoga!!??
Me nataka nikupe msaada usiendelee kuingiliwa kinyume na maumbile, maana hali kwako imekuwa mbaya mpaka unajidhihilisha hadharani
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Najidhalilishaje sasa?

Kuwatetea nyie mapunga ni jambo la heri. Sijuti wala sio aibu yoyote.

Natimiza wajibu wangu wa kuhakikisha watu wote wanalindiwa utu wao bila kujali ni mapunga au marijali.
 
[emoji1784]
 
Umeelewa uzi lakini? Acha kutetea ushenzi
Your browser is not able to display this video.
 
[emoji28]
 
Gay are born just like leaders not made, kweli mtu mla papuchi ataenda tu akainamishwe ? ,Mwanaume kamili akifika age ya 15+ anaanza kuwa busy na papuchi
P2 wanazotumia Ke wa siku hizi zimewekewa vichocheo vya hormones imbalances kwa Ke ikiwa wataacha tu kutumia, wakishika ujauzito tayari watoto wa kiume wataowazaa watakuwa na vinasaba vya ushoga.

Hili nalo likatazamwe ili tunusuru kizazi chetu cha Taifa la kesho.
 
Uvccm hao so ndio wanapeana ajira kwenye majeshi yetu mtamsingizia nani sasa
 
Nchi ya mataahira hii , sasa hii nayo ni mada na wapumbavu wanapoteza muda huku kujadili huu ujinga eti ,aisee
Tz ina vitu vya muhimu ambavyo vinaweza kujadiliwa kwa mustakabali wa nchi ,si kukaa mnajadili makalio na njia za haja kubwa ,au na nyie mnataka mshikishwe ukuta ? Maana inaonekana mnawaonea wivu hao mashoga
 
Na hapa wanasiasa huwa wanachukua credit za kutosha.

Wanawarushia mifupa mnabaki kubamizana kwa malumbano ya ajabu ajabu, huku wao wanazidi kutafuna minofu ya nchi.

Sijaona uhaba wa maji ukizua mjadala mpana wa watu kuonesha hawajaridhishwa au kukasirishwa.

Wako bize wanashangilia mipira na ujinga ujinga.

Na ukitaka uwakoge zaidi, wawekee mada za ushoga na kunyanduana. Hapo watakesha wanajadili na kutoa hisia zao za dhati.

Spinning is efficient. Unawarushia fupa majibwa yanaanza kuumana tu huku unapeta.
 
Ndio maana huwa namuamini aliyesema Tz asilimia 80 watu wana mtindio wa ubongo , idiots and retards kabisa.
Yaani kutawala taifa lenye mazumbukuku kama hili ni rahisi sana yaani majitu yameshasahau kila matatizo yanayosababishwa na serikali hii miaka 60 mpaka sasa ,yako yanahadili ujinga tu
Na hao wajinga serikalini walishajua jinsi ya kumanipulate thinking ya mijitu mipumbav ya nchi hii , ni kuibua vimbwanga vya kijinga kama hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…