Jeshi la majini kazi yake ni ipi? kwanini hawakuenda kuokoa mwanza??

wasubiri utaratibu wakati watu wanaendelea kufa khah......nn maana ya dharura sasa du...........unatetea uzembe da
 
Jamaa aliyapanda ndege kwenda Bondeni kwa Madiba kuazima wazamiaji kufuatia MV BK kuzama atakuwa na majibu sahihi japo kuna watu walimlaumu kwa kwenda Sauzi
nipe dondooo kidogo maana niliwahi sikia interview moja na wale waokozi wa kibongo wakiwashutumu wale wa bondeni kuwa hawakuweza kufanya kitu zaidi wabongo ndo kutoa watu ila wao walishindwa kutokana na lile vumbi chini ya ziwa
 
lakini mkuu i issue haikuzama kisa deiwaka alikuwa anaongea na simu ila ile haraka yetu yakutaka kushuka mapema kuwahi daladala na mwendo kasi hasa kwa wale wa hapa kwetu , nadhani itakuwa vilevile kwa ndugu zetu
 
Kwani jeshi la ardhini huokoa kwenye ajali za mabasi? Be careful with your flawed logic. Pia jifunze namna vifaa vya kijeshi vinavyotumika kuliko kutoa maangalizo yasiyo na kichwa wala mguu. Unajua ndege ya kivita ina uwezo wa kubeba watu wangapi? Je, anayepanda ndege hiyo anatakiwa awe na vigezo gani? Kuchamba kwingi kuondoka na mavi!!
 
Aiseeee,unaweza kumuumiza mtu kwa hasira unajua,.kuna vingine vinafanywa na serikali hii mbuzi hata kwenye giza nene lakini kwenye kuokoa maisha ya watu hawawezi sababu ya giza seriously,?!manyoko zao mfyuuuuuu😏😏
 
Hii inaleta walakini pale itakapotokea tukavamiwa na vikosi vya adui zetu kupitia njia ya majini,tutakwisha.

Eti giza,are we serious?Wananchi tujilinde wenyewe wallah dhidi ya majanga yoyote yale.
Mkuu umenena.
 
Nikweli mkuu ila sidhani Kama tuna hizo taa za kumulika chini ya maji
 
Sidhani ka wale wapo kwa ajili ya uokoaji.... Hi Kazi ilibidi ifanywe na fire wao ndo wahusika 100% Hawa wengine tunawaonea unless Kama waliombwa MSAADA wakazembea.....
 
Hivi Navy ndio kile kikosi cha wavunjiana tofali sio!! Mi kidhungu mwenzenu sijui.
 
Sidhani ka wale wapo kwa ajili ya uokoaji.... Hi Kazi ilibidi ifanywe na fire wao ndo wahusika 100% Hawa wengine tunawaonea unless Kama waliombwa MSAADA wakazembea.....
Acha kupotosha umma mkuu hivi mbaka leo hujui kuwa hao wavunja tofari(jwtz) jukumu lao kushiriki kwenye majanga.
 
Labda tupate mtu atuainishie majukumu halisi ya JWTZ.... Kabla ya kufika huko je majukumu ya jeshi la zimamoto na uokoaji n yapi??? Niyupi anaepaswa kuwa na vifaaa vya uokozi Kati ya JWTZ na zimamoto??? Jeshi la wananchi nadhani wanaombwa pale inapohitajika na Kama sikosei walikuepo au shida ilikua kuwaona watu wa navy??? Je nn tofauti Kati ya mwanajeshi kitengo Cha maji na mzamiaji (diver)?
 
Acha kupotosha umma mkuu hivi mbaka leo hujui kuwa hao wavunja tofari(jwtz) jukumu lao kushiriki kwenye majanga.
Je walishiriki au hawakushiriki????
 
Subira wakati watu wanakufa shwain kabsa wewe
 
lakini mkuu i issue haikuzama kisa deiwaka alikuwa anaongea na simu ila ile haraka yetu yakutaka kushuka mapema kuwahi daladala na mwendo kasi hasa kwa wale wa hapa kwetu , nadhani itakuwa vilevile kwa ndugu zetu
Hebu nenda youtube katafute interview za waliosalimika utasikia wanasemaje.
 
Kafara za kila muhula wa raisi
Nimeanza kufuatilia ziara za jiwe Nimeshtuka, katoka ziara lake zone kivuko kimeua, kule Singida askari wetu walipata ajali kwenye ziara yake wakafa Manyoni ,kule Mara Chupuchupu watu wafe.
 
Acha kutokujielewa mtoa maana upo sahihi sana
 
Jiwee uchawii hakosiii kabisaa...!! Yani alikubalii kabisaa Uokoaji usitishwee kisaa Gizaa??? Kwenda kuokoa watu mpaka kamati ikaee mama....eee yulee mzee uchawii hakosiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…