wasubiri utaratibu wakati watu wanaendelea kufa khah......nn maana ya dharura sasa du...........unatetea uzembe daKwamba wewe ndiye unajua zaidi kuliko viongozi wa Jeshi, maana andiko limejaa shutuma tu!
Naamini kwa sasa utakuwa umepata taarifa JWT, Kikosi cha Wanamaji, ndicho kinafanya kazi hiyo. Hili ni baada ya kuandaa taritibu husika ili kazi ifanyike kwa umakini.
Tujifunze kuwa na subira katika mawazo yetu kabla ya kuyatoa nje ya vichwa vyetu.
nipe dondooo kidogo maana niliwahi sikia interview moja na wale waokozi wa kibongo wakiwashutumu wale wa bondeni kuwa hawakuweza kufanya kitu zaidi wabongo ndo kutoa watu ila wao walishindwa kutokana na lile vumbi chini ya ziwaJamaa aliyapanda ndege kwenda Bondeni kwa Madiba kuazima wazamiaji kufuatia MV BK kuzama atakuwa na majibu sahihi japo kuna watu walimlaumu kwa kwenda Sauzi
lakini mkuu i issue haikuzama kisa deiwaka alikuwa anaongea na simu ila ile haraka yetu yakutaka kushuka mapema kuwahi daladala na mwendo kasi hasa kwa wale wa hapa kwetu , nadhani itakuwa vilevile kwa ndugu zetuHii inapatana akili maana kuna maswali mengi sana ya kujiuliza katika hili tukio... Design kama titanic hivi..
Huenda captain mkuu alijua kitakachotokea akaamua kubaki nchi kavu na kumpa deiwaka?
Wakati deiwaka anaongea na simu, alikua anaongea nini na alikua anaongea na nani?
Kwani jeshi la ardhini huokoa kwenye ajali za mabasi? Be careful with your flawed logic. Pia jifunze namna vifaa vya kijeshi vinavyotumika kuliko kutoa maangalizo yasiyo na kichwa wala mguu. Unajua ndege ya kivita ina uwezo wa kubeba watu wangapi? Je, anayepanda ndege hiyo anatakiwa awe na vigezo gani? Kuchamba kwingi kuondoka na mavi!!katika nchi yetu kuna mgawanyo wa majeshi yetu. kuna jeshi la anga, la nchi kavu na jeshi la majini.
hiki kikosi maalumu cha majini makao makuu yake kipo kigamboni hapa Dar es salaam.
hivi kazi yake hiki kikosi ni kupigana vita ya kumwokoa nani au kumlinda nani kama kwenye ajali za majini hawawezi kufanya uokoaji??
sitaki kuamin kwamba hawa hawana vifaa. yaan nawafaham vizur wana kila aina ya vifaa vya majini. iwe usiku mvua jua wako tayari muda wote kukabiliana ndani ya maji. imekuaje tuko kimya kuhoji kazi ya kikosi hiki??
kazi ya jeshi sio kuchimba makabuli . kazi yao kubwa kuokoa, kukomboa, kulinda, kurejesha palipo bomoka. tumeona mara kadhaa wakijenga usiku na mchana madaraja.
yaan katika hili nitahoji kila nitakupopata nafasi ya kuliongelea. sitak kuongelea sijui ya waziri mkuu na mfuko wake wa majanga. hawa huwa siwajadili maana wamejaa bla bla tu. sitak kuamini na jeshi liingie kwenye utendaji wa wanasiasa. wao wakisikia sehem kimenuka wanapaswa kuamsha popo na sio kusubiri hawa wanasiasa.
angalizo kwa wale wanaodhan muda ulikua sio rafiki. yaan jeshi letu lina ndege za kivita. kufika mwanza hata dak 40 wanaweza kufika. kama wataalam wangekua hapa dar wangeweza kufika mwanza hata kuwazid walio hapo mwanza lakn wanatumia magari kutoka wilayani. ila ni kwamba inaonekana kazi ya jeshi ni kurusha ndege kututisha tukitaka kuandamana na siku ya uhuru. yaan napata hasira nikifikiria. sijui nani katuloga!!!
Aiseeee,unaweza kumuumiza mtu kwa hasira unajua,.kuna vingine vinafanywa na serikali hii mbuzi hata kwenye giza nene lakini kwenye kuokoa maisha ya watu hawawezi sababu ya giza seriously,?!manyoko zao mfyuuuuuu😏😏Binafsi huu msiba umenifanya nijiulize maswali mengi sana juu ya Serikali. Eti Mkuu wa Mkoa anatangazia Umma wamestisha uokoaji sababu giza kimeingua. Really [emoji24][emoji24] Nadhani kwenye list ya wanaotakiwa kuondoka huyu naye anastahili. Wavuvi wanawezaje kuokoa watu arobaini Serikali ikaokoa mmoja. What a Shame!!
Mkuu umenena.Hii inaleta walakini pale itakapotokea tukavamiwa na vikosi vya adui zetu kupitia njia ya majini,tutakwisha.
Eti giza,are we serious?Wananchi tujilinde wenyewe wallah dhidi ya majanga yoyote yale.
Nikweli mkuu ila sidhani Kama tuna hizo taa za kumulika chini ya majikweli mkuu ila hata ka taa zilikuwa dar zingeweza kusafirishwa kwa ndege hata ya kukodi au helkopta maana ni maisha tunaoko, tena ya watu na si mtu mmoja,ila kunauzembe toka kutokea kwa ajali mpaka wokozi, mtu aliyesema zoezi limesitishwa ingelikuwa ni uwezo wangu ningeanza nae ka mfano kwa wengine ili wawe wanajiongeza
Kwenye maonyesho wako vizuri sana ila kwenye uhalisia duhhhWalikua wanajiandaa na maonesho ya siku ya Uhuru!....over!
Acha kupotosha umma mkuu hivi mbaka leo hujui kuwa hao wavunja tofari(jwtz) jukumu lao kushiriki kwenye majanga.Sidhani ka wale wapo kwa ajili ya uokoaji.... Hi Kazi ilibidi ifanywe na fire wao ndo wahusika 100% Hawa wengine tunawaonea unless Kama waliombwa MSAADA wakazembea.....
Je walishiriki au hawakushiriki????Acha kupotosha umma mkuu hivi mbaka leo hujui kuwa hao wavunja tofari(jwtz) jukumu lao kushiriki kwenye majanga.
Subira wakati watu wanakufa shwain kabsa weweKwamba wewe ndiye unajua zaidi kuliko viongozi wa Jeshi, maana andiko limejaa shutuma tu!
Naamini kwa sasa utakuwa umepata taarifa JWT, Kikosi cha Wanamaji, ndicho kinafanya kazi hiyo. Hili ni baada ya kuandaa taritibu husika ili kazi ifanyike kwa umakini.
Tujifunze kuwa na subira katika mawazo yetu kabla ya kuyatoa nje ya vichwa vyetu.
Hebu nenda youtube katafute interview za waliosalimika utasikia wanasemaje.lakini mkuu i issue haikuzama kisa deiwaka alikuwa anaongea na simu ila ile haraka yetu yakutaka kushuka mapema kuwahi daladala na mwendo kasi hasa kwa wale wa hapa kwetu , nadhani itakuwa vilevile kwa ndugu zetu
Nimeanza kufuatilia ziara za jiwe Nimeshtuka, katoka ziara lake zone kivuko kimeua, kule Singida askari wetu walipata ajali kwenye ziara yake wakafa Manyoni ,kule Mara Chupuchupu watu wafe.Kafara za kila muhula wa raisi
Acha kutokujielewa mtoa maana upo sahihi sanaKwamba wewe ndiye unajua zaidi kuliko viongozi wa Jeshi, maana andiko limejaa shutuma tu!
Naamini kwa sasa utakuwa umepata taarifa JWT, Kikosi cha Wanamaji, ndicho kinafanya kazi hiyo. Hili ni baada ya kuandaa taritibu husika ili kazi ifanyike kwa umakini.
Tujifunze kuwa na subira katika mawazo yetu kabla ya kuyatoa nje ya vichwa vyetu.