Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hata kam ila si kwambe heti nahodha alikta kona kwa ghaflaHebu nenda youtube katafute interview za waliosalimika utasikia wanasemaje.
rejea maneno ya yule sheikh siku ya ibada ya mazishiUnless otherwise it was a planned mission. ..
Kuna msemo mmoja unasema kwamba" Ukiona tukio lolote la maafa limetokea na serikali haijajihusisha ubruptly kwa kufanya juhudu zozote ,basi huenda a warning sign was directed kwa taasisi maalumu inayohusika na uokoaji isifanye juhudi zozote prior to the onset of the scenario...""
ni maneno ya mwana falsafa mmoja kutoka Mitchigan Forest...
Dah, haya mambo yanasikitisha! wazulu walikutana na bibi wa ziwani akawaambia wakome mara moja kuopoa la sivyo wawe tayari kubaki ujinini-wazulu wakatoka na kuandika report kwenda kwa aliyewaomba msaada wakapanda ndege makwaolakini mkuu i issue haikuzama kisa deiwaka alikuwa anaongea na simu ila ile haraka yetu yakutaka kushuka mapema kuwahi daladala na mwendo kasi hasa kwa wale wa hapa kwetu , nadhani itakuwa vilevile kwa ndugu zetu
MhDah, haya mambo yanasikitisha! wazulu walikutana na bibi wa ziwani akawaambia wakome mara moja kuopoa la sivyo wawe tayari kubaki ujinini-wazulu wakatoka na kuandika report kwenda kwa aliyewaomba msaada wakapanda ndege makwao
Hili limebeba 90% ya mawazo yangu juu ya hii ajaliKafara za kila muhula wa raisi
Kuna watu sijui mnalishwaga nini ,hivi mnakula chakula na kutafuna kama binadamu wengine ? Au unameza tu kama mamba ?Kwamba wewe ndiye unajua zaidi kuliko viongozi wa Jeshi, maana andiko limejaa shutuma tu!
Naamini kwa sasa utakuwa umepata taarifa JWT, Kikosi cha Wanamaji, ndicho kinafanya kazi hiyo. Hili ni baada ya kuandaa taritibu husika ili kazi ifanyike kwa umakini.
Tujifunze kuwa na subira katika mawazo yetu kabla ya kuyatoa nje ya vichwa vyetu.
Usiwe mpumbavu na wewe kujifanya unajua kwingi kumbe hamna lolote kwani unaskia kakuambia ingetumika Mig-21 ? Au ndege za kivita kwako ni hayo ma Bomber ? Hakuna fleet nyingine ya ndege inayoweza kubeba Wanajeshi ? Lile ndege wanalotumia kubeba Magari ya Rais lingeshindwa kuwapeleka wanajeshi eneo la tukio ??Kwani jeshi la ardhini huokoa kwenye ajali za mabasi? Be careful with your flawed logic. Pia jifunze namna vifaa vya kijeshi vinavyotumika kuliko kutoa maangalizo yasiyo na kichwa wala mguu. Unajua ndege ya kivita ina uwezo wa kubeba watu wangapi? Je, anayepanda ndege hiyo anatakiwa awe na vigezo gani? Kuchamba kwingi kuondoka na mavi!!
Mpumbavu wewe usiyekubali kujifunza. Tangu lini ndege ya mizigo ikawa ndege ya kivita? Ficha upumbavu wako. Pia mleta mada kaongea wazi kuwa jeshi lina ndege zinazoenda kasi sana, ndege za kivita, unafikiri ni zipi. Next time be prepared to learn.Usiwe mpumbavu na wewe kujifanya unajua kwingi kumbe hamna lolote kwani unaskia kakuambia ingetumika Mig-21 ? Au ndege za kivita kwako ni hayo ma Bomber ? Hakuna fleet nyingine ya ndege inayoweza kubeba Wanajeshi ? Lile ndege wanalotumia kubeba Magari ya Rais lingeshindwa kuwapeleka wanajeshi eneo la tukio ??
Chopper za Jeshi zingeshindwa kufanya hiyo kazi ?
Mnaleta utani kwenye uhai wa binadamu
Hopeless kabisa wewe
Malabuk
Wewe takataka umeskia wanajeshi wanahitaji kukaa kwenye first class ? Ndege ya mizigo inawabeba vizuriMpumbavu wewe usiyekubali kujifunza. Tangu lini ndege ya mizigo ikawa ndege ya kivita? Ficha upumbavu wako. Pia mleta mada kaongea wazi kuwa jeshi lina ndege zinazoenda kasi sana, ndege za kivita, unafikiri ni zipi. Next time be prepared to learn.
Wewe takataka umeskia wanajeshi wanahitaji kukaa kwenye first class ? Ndege ya mizigo inawabeba vizuri
Unifundishe nini kwenye mambo ya jeshi we nanga ,kwata umepiga mwenyewe sio ?
Lofa mama yakoWewe lofa, rudi tena usome mtoa mada alitaka nini. Unakurupuka tu
kwahyo ikitokea vita nayo tutaandaa taratibu kwanza wakati tunapigwa ambush...kwaio jeshi letu halijajiandaa kwa dharura yoyote ile?Kwamba wewe ndiye unajua zaidi kuliko viongozi wa Jeshi, maana andiko limejaa shutuma tu!
Naamini kwa sasa utakuwa umepata taarifa JWT, Kikosi cha Wanamaji, ndicho kinafanya kazi hiyo. Hili ni baada ya kuandaa taritibu husika ili kazi ifanyike kwa umakini.
Tujifunze kuwa na subira katika mawazo yetu kabla ya kuyatoa nje ya vichwa vyetu.
Hatuna ila kilicho baki saivi tuna watu wanao weza kuvunja tofali za mchanga tu.Mkuu ivi unaamin kwa sasa kuna jeshi kwel?
Na mkuu wao kageuka katibu mwenezi wa ccm, WTF!Hatuna ila kilicho baki saivi tuna watu wanao weza kuvunja tofali za mchanga tu.
[emoji23][emoji23][emoji23]Na mkuu wao kageuka katibu mwenezi wa ccm, WTF!
Hahahah! Jeshi la majini???katika nchi yetu kuna mgawanyo wa majeshi yetu. kuna jeshi la anga, la nchi kavu na jeshi la majini.
hiki kikosi maalumu cha majini makao makuu yake kipo kigamboni hapa Dar es salaam.
hivi kazi yake hiki kikosi ni kupigana vita ya kumwokoa nani au kumlinda nani kama kwenye ajali za majini hawawezi kufanya uokoaji??
sitaki kuamin kwamba hawa hawana vifaa. yaan nawafaham vizur wana kila aina ya vifaa vya majini. iwe usiku mvua jua wako tayari muda wote kukabiliana ndani ya maji. imekuaje tuko kimya kuhoji kazi ya kikosi hiki??
kazi ya jeshi sio kuchimba makabuli . kazi yao kubwa kuokoa, kukomboa, kulinda, kurejesha palipo bomoka. tumeona mara kadhaa wakijenga usiku na mchana madaraja.
yaan katika hili nitahoji kila nitakupopata nafasi ya kuliongelea. sitak kuongelea sijui ya waziri mkuu na mfuko wake wa majanga. hawa huwa siwajadili maana wamejaa bla bla tu. sitak kuamini na jeshi liingie kwenye utendaji wa wanasiasa. wao wakisikia sehem kimenuka wanapaswa kuamsha popo na sio kusubiri hawa wanasiasa.
angalizo kwa wale wanaodhan muda ulikua sio rafiki. yaan jeshi letu lina ndege za kivita. kufika mwanza hata dak 40 wanaweza kufika. kama wataalam wangekua hapa dar wangeweza kufika mwanza hata kuwazid walio hapo mwanza lakn wanatumia magari kutoka wilayani. ila ni kwamba inaonekana kazi ya jeshi ni kurusha ndege kututisha tukitaka kuandamana na siku ya uhuru. yaan napata hasira nikifikiria. sijui nani katuloga!!!