Jeshi la majini kazi yake ni ipi? kwanini hawakuenda kuokoa mwanza??

Hata zile ndege za kasi za jeshi zilishindwa kuwahisha vifaa? Kazi kututisha tu na ndege zisizofanya wajibu wake
 
rejea maneno ya yule sheikh siku ya ibada ya mazishi
 
lakini mkuu i issue haikuzama kisa deiwaka alikuwa anaongea na simu ila ile haraka yetu yakutaka kushuka mapema kuwahi daladala na mwendo kasi hasa kwa wale wa hapa kwetu , nadhani itakuwa vilevile kwa ndugu zetu
Dah, haya mambo yanasikitisha! wazulu walikutana na bibi wa ziwani akawaambia wakome mara moja kuopoa la sivyo wawe tayari kubaki ujinini-wazulu wakatoka na kuandika report kwenda kwa aliyewaomba msaada wakapanda ndege makwao
 
Kuna watu sijui mnalishwaga nini ,hivi mnakula chakula na kutafuna kama binadamu wengine ? Au unameza tu kama mamba ?
Unaongelea taratibu zipi zifuatwe kwenye crisis inayo hitaji real time response ?

Hiyo subira na hizo taratibu muda waliopoteza ungetosha kuokoa wangapi ?

Salalee!
 
Usiwe mpumbavu na wewe kujifanya unajua kwingi kumbe hamna lolote kwani unaskia kakuambia ingetumika Mig-21 ? Au ndege za kivita kwako ni hayo ma Bomber ? Hakuna fleet nyingine ya ndege inayoweza kubeba Wanajeshi ? Lile ndege wanalotumia kubeba Magari ya Rais lingeshindwa kuwapeleka wanajeshi eneo la tukio ??

Chopper za Jeshi zingeshindwa kufanya hiyo kazi ?
Mnaleta utani kwenye uhai wa binadamu
Hopeless kabisa wewe

Malabuk
 
Mpumbavu wewe usiyekubali kujifunza. Tangu lini ndege ya mizigo ikawa ndege ya kivita? Ficha upumbavu wako. Pia mleta mada kaongea wazi kuwa jeshi lina ndege zinazoenda kasi sana, ndege za kivita, unafikiri ni zipi. Next time be prepared to learn.
 
Mpumbavu wewe usiyekubali kujifunza. Tangu lini ndege ya mizigo ikawa ndege ya kivita? Ficha upumbavu wako. Pia mleta mada kaongea wazi kuwa jeshi lina ndege zinazoenda kasi sana, ndege za kivita, unafikiri ni zipi. Next time be prepared to learn.
Wewe takataka umeskia wanajeshi wanahitaji kukaa kwenye first class ? Ndege ya mizigo inawabeba vizuri

Unifundishe nini kwenye mambo ya jeshi we nanga ,kwata umepiga mwenyewe sio ?
 
Wewe lofa, rudi tena usome mtoa mada alitaka nini. Unakurupuka tu
Wewe takataka umeskia wanajeshi wanahitaji kukaa kwenye first class ? Ndege ya mizigo inawabeba vizuri

Unifundishe nini kwenye mambo ya jeshi we nanga ,kwata umepiga mwenyewe sio ?
 
kwahyo ikitokea vita nayo tutaandaa taratibu kwanza wakati tunapigwa ambush...kwaio jeshi letu halijajiandaa kwa dharura yoyote ile?
 
mkuu, wale uliowaona ndio navy yetu
 
Kazi ya jeshai nikulinda mipaka ya nchi
kazi ya jeshi la majini ni kulinda miaka ya nchi inayohusisha maji ili nchi iwe salama na wavamizi
 
Hahahah! Jeshi la majini???

Sasa majini yanafurahia damu za watu litoe jeshi tena kuoa watu.???

Au umemanisha jeshi la wanamaji (marine/army/force)??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…