Jeshi la Polisi: Hakuna ushahidi kuwa Freeman Mbowe alishambuliwa. Alikuwa ametoka kwa Joyce Mukya. Alikuwa amelewa chakari

Yanaondelea juu ya sakata hili yanatutia aibu kama taifa. Wakati mwingine unawaza kama tunafikiri sawa sawa. Unasikia kauli za viongozi unaishia kusikitika. Na sasa wanaopaswa kutumia weledi kutupa majibu ya nini kilijiri wanachoripoti kwa mtu unayefikiri sawa sawa unabaki kinywa wazi! Ni kama msisitizo wa taarifa hii ni mtu anaitwa Joyce Mukya!!
 


Polisi wenye weledi hawawezi kupokea misaada ya Mafisadi , hawawezi kung'arisha majengo ya jeshi lao kwa kutegemea misaada ya watu wasiofahamika wanakotokea wala wanachokifanya , mnakenua hadi jino la mwisho kwa mambo msiyoyajua !

ukishakuwa na polisi wa namna hii huwezi kuwaamini katika jambo lolote , ni aibu kubwa sana kuwa na polisi wa namna hii , mnamteka mfanyabiashara mnamrejesha baada ya mayowe kwa kuwasingizia wazungu wawili ambao ni porojo tu ! camera zipo lakini suala la Mbowe mnatunga hadithi kibao zisizo na ushahidi , kuna weledi hapo ?

 
Mi kinachoniuma mkuu, kwanini katibu mkuu atumie taasisi yetu kuficha personal weakneses...yani mtu alewe afu dah, yani nakosa chakuandika bora nkae kimya
Nadhani bado ujaelewa mantiki yangu!! Kwanza kulewa sio kosa? Je mbowe kapigwa wapi ( mtaani, nje ya nyumba yake au ndani ya nyumba yake)?
 
Mwenyekiti wenu mbona chizi fresh mpka kwenye familia yao kuna vichaa,mdogo wake chizi fresh kitambo
 
Unategemea mjinga kama huyu aseme mazuri kuliko sura yake,meno utafikiria chainsaw ya kupasua mbao
 
Comrade ngoja nami nichangie uzi wako kukupa support
 
Nami nilimjibu Mkuu Paskali nikiamini amechangia mjadala kiusanii tu.

Toka mwanzo nilionesha wasiwasi kuhusu taarifa za tukio kama zilivyotolewa na viongozi wa CHADEMA. Kimsingi wamefanya hivyo kumlinda Boss wao, kama wafanyavyo siku zote, pamoja na tuhuma nyingi za kiuongozi dhidi yake.

Narejea hisia zangu hapa:
Nyumba ya KUB Mbowe ina CCTV, zinaweza kutoa ushahidi kama alianguka au alivamiwa
 
Kwa hiyo ulitaka waseme kapigwa hata hajapigwa. Kama unahakika kapigwa unaweza kuthibitishia umma pia. Maana hao majirani hawawezi kudanganya.
Majirani kama hao hawakusikia pia kushambuliwa kwa mh Tundu Lissu 2017 Kwa milio ya Bunduki ya kivita? Umbali wa nyumba zao toka kwa Lissu ni upi? Walitoa msaada wowote kuzuia shambulizi? !!!!!!!!
 
Mara paaap video ya mbowe akishambuliwa yavuja....kudadadadeki



Au paap mbowe akidondoka kwa ulevi ktk ngazi.....dadadadeki
 
Nakuwmbia mke wa ndoa wa Mbowe alivyo mzuri ukiiweka picha na ya Joyce Mukya sura ya Mukya takataka Hadi mtu unajiuliza hivi wanaume wanataka Nini hasa kwa wanawake?
sura sio kila kitu...
 
Duh...!.
P
I never thought you could be this coward!
I remember "kitimoto" back then
Though i was in my very early teenage but your bravery to demand answers to some community burning issues inspired me.
But today this uncle pasco ain't the same bold dude i used to know
Old age has caught up witchu maaaan.
 
Pombe haina m'babe,ukiinywa bila ustaarabu itakuumbua.Sasa mambo hadharani KUB umeumbuka Mkubwa.
Haya Sasa mambo wazi kabisa ni aibu hii kwa chadema kusema uongo sijui wataficha wapi sura zao chadema [emoji23][emoji1787][emoji2960]
 
Acha kutete mlevi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…