Jeshi la Polisi: Hakuna ushahidi kuwa Freeman Mbowe alishambuliwa. Alikuwa ametoka kwa Joyce Mukya. Alikuwa amelewa chakari

Wametumia maneno yale yale aliyoyasema spika "alilewa chakari" hivi Police walikosa maneno ya kuandika hadi waseme kile alichokisema spika?
Ndugai ndie kafanya uchunguzi...
 
Unadhani walishindwa kumuuguza kimya kimya bila mtu kujua kama kuna issues kama hizo? ? Nani angelijua hayo ya ulevi?
Ila wewe ni tofauti na wenzako Lumumba/Mataga, umejaribu kujenga hoja.
Halafu Lumumba wana sahau kama umalaya viongozi wao ndio wana ongoza maana hupatanishwa na wake zao wa ndoa kipindi cha uchaguzi. Waangalie records za viongozi wao ndipo wamseme Mbowe alie pigwa na wapambe wa Ccm
 
Ile press conference haikuwa na mantiki hata kidogo maana hakuna la maana alilosema. ajathibitisha kama mbowe alianguka kwa ulevi, hajathibitisha kama alipigwa.
Assume ni kweli alikuwa kalewa, is it a crime kunywa pombe Tanzania? Assume alikuwa kumbi za starehe kama alivyosema is it a crime?
Yani ile alifanya makusudi kuwafurahisha akina Ndungai badala ya kutoa maelezo ya kujitosheleza. Sema ndiyo hivyo watanzania wengi wanaamini wanachokisikia.
 

Key anazo mbowe, subili apone atawafungulia waone,
 

Binandu, ndio nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…