Just go with a technologies? Bora uwe unaandika kiswahili tu. Alafu kwa akili yako kati ya ushahidi wa binadamu na Cctv video footage upi una nguvu mahakani? Maana Cctv video footage lazima wataalamu waje wathibitishe kitalaamu kama kweli mlevi anadondoka. Binandu mwenye akili timamu ana sense kwa sensory organs na anatoa direct evidence.Kama hawakusikia mtu akishambuliwa Cctv ndio zitarekodi?
Weka wazi Yaliyomo kwenye CCT camera hapo polisi mutaelewekaNdugu zangu polisi just simple and cleal fungueni CCTV camera ZA nyumba ya Mbowe over.
Ni jambo la aibu polisi unatoa matokeao ya uchunguzi wako alafu unasema kama kuna mtu Ana taarifa akupe ulizo toa wewe nu USHUZI?.
Ni aibu wewe mtaalamu wetu unasema tukio bado mnalichuguza unachunguza nini wakti umeisha toa taarifa?
Mimi nimeandika kiswahili na hiyo ni typing error. Tofautisha na makosa ya mtoa mada. Naomba niishie hapo. Binadamu ndio nilimaanisha.Na wewe ni yale yale tu unamcheka mwenzio nini sasa! Wewe bingwa wa Kiswahili “Binandu” ndio mdudu gani?
Binadamu,ulimi hauna mfupa.
Huoni support yangu imekuletea traffic?,uzi wako ulidoda bila boost ujumbe ungemfikia nani sasa?Support ya nini? Jambo la muhimu ujumbe uingie. Kwani lazima uchangie? Na sasa mna kipindi kigumu sana.Bora uhame mapema.
Polisi haina muda wa kugangaika na DJ mzoefu alitebobea kwenye usanii,polisi wanapaswa kudili na mambo yenye tija kwa taifa letu sio haya maigizo ya mbowe
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Mimi nimeandika kiswahili na hiyo ni typing error. Tofautisha na makosa ya mtoa mada. Naomba niishie hapo. Binadamu ndio nilimaanisha.
Tofautisha kukosea kuandika neno na kutokujua lugha.Sasa kama unalijua hilo kulikoni kumcheka mwenzio akikosea?
Dah....vipande vipande mkuu [emoji2960]Nakuwmbia mke wa ndoa wa Mbowe alivyo mzuri ukiiweka picha na ya Joyce Mukya sura ya Mukya takataka Hadi mtu unajiuliza hivi wanaume wanataka Nini hasa kwa wanawake?
Maaana kwa sasa hata ambaye alikuwa hajui kuwa mbowe ana mchepuka sasa kajua, na sasa malalamiko ya wabunge kuombwa mapenzi ni ya ukweli maana tayali kianzio kipo.
Pole sana Mr F Mbowe.
Jikite kwenye madaHarbinder sethi yuko wapi? Na unaleta unafiki baada ya kusema kuwa Mbowe hakukanyagwajnyagwa? Kwa nini huzungumzii ufisadi wa Bil 8 zilizokwapuliwa Chadema?
HakikaKuwa na Jeshi la aina hii ni aibu kwa Taifa!
Unaiamini taarifa ya Ndugai&co+Muroto+Sirro dhidi ya Mh Mbowe?Mbona inaonekana imekaa tenge kwa wenye macho na masikio?
Mukya naye mnamhesabu miongoni mwa wakosefu wasiosikilizwa katika sakata hili?Mnaposema CDM wanatukana,matusi haya mnayoyatoa hadharani na Bungeni yamehalalishwa kisheria?
Lini mbowe alisema alipiga kelele sana?Alipiga kelele sana lakini majirani hawakusikia, Dereva wake aliyekuwa kwake ndiye alisikia akaja kumchukua na kumpeleka kwa... badala ya Polisi. Na kisha kwenda kituo cha afya zaidi ya km 5 nje ya mji. Duuuh!!
Usishangae kesho tukasikia dereva wa Mbowe naye hajulikani alipo.