Wakati mnaliomba jeshi la polisi lifanye uchunguzi mlikuwa mmelewa pia auUnategemea ripoti gani toka policcm? The expected!
Cctv ziko ndani kwako unakosaje access au amewekewa Za SERIKALI NDANI KWAKEHana access na control room
Nakuwmbia mke wa ndoa wa Mbowe alivyo mzuri ukiiweka picha na ya Joyce Mukya sura ya Mukya takataka Hadi mtu unajiuliza hivi wanaume wanataka Nini hasa kwa wanawake?Tupia picha yake tuthaminishe
Ripoti iko wazi Ni kilaza na mdumavu wa akili ndio atapingana na ripotiMnavyomtafuta mtatoa ripoti zaidi ya hiyo? Chuki ya wazi kwake mliyonayo hatuoni ajabu!
Kumwita Joyce Mukya mzazi mwenzie wa Mbowe si kweli alimbaka kavu kavu akazaliwa mtoto zao la ubakaji
Tuhuma za ngono za Mbowe kwa wabunge viti maalumu moja ya ushahidi Ni huyo Joyce Mukya
Joyce Mukya akilipa jeshi la polisi ushirikiano aweza lipwa na Mbowe fidia ya mabilioni kwa ubakaji na kumuambukiza maradhi kwa ngono zembe ya kibakaji iliyotumika
Joyce Mukya kakamaa ungana na wanawake wenzio chadema waathirika wa ngono za Mbowe
Balozi za Sasa hivi wanaishi kwa majungu tofauti na zamaniAlafu Mnyika na ubalozi wa USA waache vihelehele sasa
Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
Wafanye Kama msigwa alivyoomba radhi kwa kudanganya kuhusu kinanaJeshi la Polisi Jijini Dodoma kupitia kwa Kamanda wa Polisi MUROTO limeeleza hakuna shahidi yeyote aliyesikia kelele wala kuona MBOWE akishambuliwa kama alivyodai. Mbowe alitokea kwa mzazi mwenzake JOYCE MUKYA ambae ni mbunge wa viti maalum Chadema.
Baada ya kuteguka hakumjulisha Mwanae aliyekuwa ndani anayeishi. Kabla ya kwenda Hospitali alipita kwa Mzazi mwenzake JOYCE na Hospitalini ilibainika alikuwa amelewa chakari kiasi cha kushindwa kutamka baadhi ya maneno. Siku anayodaiwa kushambuliwa alionekana katika maeneo ya starehe.
MY TAKE.
1. Chadema inapaswa kujitokeza hadharani kuomba radhi wananchi kwa kuwadanganya ili warudishe imani dhidi ya chama hicho
InasikitishaJames Mbowe, vp mzee hakuamini? Anashindwa kukupa taarifa anatoa kwa nyumba ndogo
Mwambie Mbowe aache sanaa, oktoba inakaribia!Kuna watu wawili hapo wametajwa ambao ni
1. Joyce Nkya
2. Joyce Mukya.
Hili document takataka lililotoka Jeshi la hovyo kabisa la Polisi Tanzania limekosa uhalali.
Jeshi la kipumbavu!
Nilkuwa nakutafta mkuu upo.Ukiwa polisi Tanzania ni raha sana !
Mtoto wa Mbowe na CCTV Nani mkweli zaidi?.Mwanawe wa kumzaa alikuwepo hapo eneo la tukio hakuona Wala kusikia keleleHaya maelezo marefu lengo lake ni kupotosha ukweli halisi wa kile kilichotokea. CCTV Cameras footage pekee ndio zitasema ukweli. Hizo nyingine zote ni mbwembwe.