Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Usiingilie uhuru wa watu kutoa maoni yao. Ni kinyume cha katiba ya JMT. Umetumwa na Bakita kuangalia maudhui humu JF?
Nasema hivi, watu huwa wanasema eti kuna watu wana id zaidi ya moja, mimi nasema haiwezekani kuwa na zaidi ya moja na zote zikawa zinachangia, maana maudhui yatakuwa ni yale yale. Hapa hatutaandikia mate, ngoja niangalie hii na ile zitachangia vipi hapa jukwaani. Hakuna anayekuzuia kuchangia, ila utajua kuwa sisi wengine ni next level.