Xaxa hpo umejenga hoja au umetukana?Mfu mama yako, acha matusi jenga hoja. Matusi ya nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Xaxa hpo umejenga hoja au umetukana?Mfu mama yako, acha matusi jenga hoja. Matusi ya nini?
Jeshi la polisi Dar kupitia kwa kamanda Simon Sirro limekana kuhusika kwa lolote lile lililomtokea msanii Roma Mkatoliki na kwamba linafanya jitihada kumpata.
Jeshi hilo limeomba mtu mwenye taarifa zinazomhusu msanii huyo kupeleka taarifa kwao mara moja.
Msanii huyo alitekwa juzi jioni akiwa ndani ya studio za Tongwe records pamoja na wenzake na mpaka sasa hajulikani alipo na yupo katika hali gani.
Aidha upo uvumi unaoenezwa ndani ya mitandao na vijiweni kuwa huenda msanii huyo amefikwa na "mabaya" hali ambayo imezua taharuki kubwa miongoni mwa wasanii.
mimi naona wasanii uchwara wasioelewa thamani ya kua msanii na kuimba nyimbo zisizokua na maadili na heshima kwa jamii washitakiwe kwa mujibu wa sheria. upinzani siku hizi wamechanganyikiwa wanaporomosha mitusi ya nguoni hadi kwaJeshi la polisi Dar kupitia kwa kamanda Simon Sirro limekana kuhusika kwa lolote lile lililomtokea msanii Roma Mkatoliki na kwamba linafanya jitihada kumpata.
Jeshi hilo limeomba mtu mwenye taarifa zinazomhusu msanii huyo kupeleka taarifa kwao mara moja.
Msanii huyo alitekwa juzi jioni akiwa ndani ya studio za Tongwe records pamoja na wenzake na mpaka sasa hajulikani alipo na yupo katika hali gani.
Aidha upo uvumi unaoenezwa ndani ya mitandao na vijiweni kuwa huenda msanii huyo amefikwa na "mabaya" hali ambayo imezua taharuki kubwa miongoni mwa wasanii.
Naona ww unaweza isaidia police kumbe unajua kuna vikundi vya kigaidi na vya kuteka watu .police kamateni mtu huyu awasaidie kutokomeza ugaidiSasa wewe unataka wasemeje iwapo kama hawajawachukua. Mbona chama mfu wana vikundi vya ugaidi na utekaji
Alitekwa Dar ndani ya studio za Tongwe recordsHIVI ROMA ALITEKWA TANGA AU DSM?
inawezekana waliambiwa lakini hakuna wa kutuambia sisiHivi inakuwaje mpaka watu wanaingia ndani wanawachukua watu wapatao watano bila ya kuwaambia kuwa sisi ni akina nani na mnatakiwa kwenda wapi.
Mudawote ana matusi sana haoni kama wapinzani ni watu! Anastahili kutukanwa! Tumechoka sasa, si ajabu ndiye amemteka Roma, chuki aliyonayo ni kubwa kupitiliza. Muda mwingine unatoka nje ya msitari kwa watu kama hao!Xaxa hpo umejenga hoja au umetukana?
Basi vyema mkuu tutaambiwa tu.inawezekana waliambiwa lakini hakuna wa kutuambia sisi
Naona umesema kweli, kuwa chama mfu ccm kina kikundi cha ugaidi na utekaji!Sasa wewe unataka wasemeje iwapo kama hawajawachukua. Mbona chama mfu wana vikundi vya ugaidi na utekaji
Acha upumbavu kwenye maisha na uhai wa mtu.Sasa wewe unataka wasemeje iwapo kama hawajawachukua. Mbona chama mfu wana vikundi vya ugaidi na utekaji
Na mama yakoUnadhani ben katekwa na nani??
how dare you blurt such false testimony you bastard whoreSasa wewe unataka wasemeje iwapo kama hawajawachukua. Mbona chama mfu wana vikundi vya ugaidi na utekaji
Na mama yako
Mkuu, unadhani ni kwanini Roma Mkatoliki ametekwa na siyo kukamatwa na polisi au vikosi vya usalama?
Je, kama ametekwa unadhani ni kwasababu gani za kisiasa au kimuziki au kimaslahi na watu fulani?
Je, unadhani kuna mkonoi wa serikali kwenye hili tukio?
Ushauri wa kitaalam:
Taarifa za kuhusu gari ilotumika kumteka huyu kijana yaani picha ya gari, na namba zake ziwekwe mitandaoni.
Namba ya usajili itafutwe ijulikane ni nani mmiliki wa gari hili na kwanini limetumika kuwateka Roma na wenzake.
Kuitafuta namba ya usajili ni pamoja na kuuiuliza TRA kuhusu umiliki wa gari hii.
Haya yote yanapaswa kufanywa kwa kuwa polisi wamekana kuhusika na utekaji huu ingawa umetaka kuonyesha hivyo kwamba voymbo vya ulinzi na usalama Tanzania vinajihusisha na utekaji raia wake.
Pia waziri wa mambo ya ndani hajatoa maelezo yoyote kuhusiana na hili.
Mkuu unafikir ata ikiwekwa video hpa kuna litakalotokea? Kama tukio la clouds ambalo mpk footage zliwekwa,majibu yaliyotoka kuwa huo ni udaku wa mitandaoni,zkaletetwa zile pcha za magar pamoja na anaezmilik kuwa yale magar ni ya watuhumiwa wa madawa ya kulevya,no action taken,je hili ndo iwe rahis ivo?? Muulze NapeMkuu, unadhani ni kwanini Roma Mkatoliki ametekwa na siyo kukamatwa na polisi au vikosi vya usalama?
Je, kama ametekwa unadhani ni kwasababu gani za kisiasa au kimuziki au kimaslahi na watu fulani?
Je, unadhani kuna mkonoi wa serikali kwenye hili tukio?
Ushauri wa kitaalam:
Taarifa za kuhusu gari ilotumika kumteka huyu kijana yaani picha ya gari, na namba zake ziwekwe mitandaoni.
Namba ya usajili itafutwe ijulikane ni nani mmiliki wa gari hili na kwanini limetumika kuwateka Roma na wenzake.
Kuitafuta namba ya usajili ni pamoja na kuuiuliza TRA kuhusu umiliki wa gari hii.
Haya yote yanapaswa kufanywa kwa kuwa polisi wamekana kuhusika na utekaji huu ingawa umetaka kuonyesha hivyo kwamba voymbo vya ulinzi na usalama Tanzania vinajihusisha na utekaji raia wake.
Pia waziri wa mambo ya ndani hajatoa maelezo yoyote kuhusiana na hili.
Sasa wewe unataka wasemeje iwapo kama hawajawachukua. Mbona chama mfu wana vikundi vya ugaidi na utekaji