Mbowe si aliwaambia mkae kimya?hujahoji kwa nini Tanapa mmeambiwa mkae kimya?Hata BEN SAANANE si walisema hivi hivi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbowe si aliwaambia mkae kimya?hujahoji kwa nini Tanapa mmeambiwa mkae kimya?Hata BEN SAANANE si walisema hivi hivi?
Ben Saanane muulizeni MboweHata BEN SAANANE si walisema hivi hivi?
Jeshi la polisi Dar kupitia kwa kamanda Simon Sirro limekana kuhusika kwa lolote lile lililomtokea msanii Roma Mkatoliki na kwamba linafanya jitihada kumpata.
Jeshi hilo limeomba mtu mwenye taarifa zinazomhusu msanii huyo kupeleka taarifa kwao mara moja.
Msanii huyo alitekwa juzi jioni akiwa ndani ya studio za Tongwe records pamoja na wenzake na mpaka sasa hajulikani alipo na yupo katika hali gani.
Aidha upo uvumi unaoenezwa ndani ya mitandao na vijiweni kuwa huenda msanii huyo amefikwa na "mabaya" hali ambayo imezua taharuki kubwa miongoni mwa wasanii.
Mark my WORDS Makonda ndie aliemtemka ROMA na ROMA atapatikana ili kupata nafasi ya Kwenye VYOMBO VYA HABARI!!"Babu TALE "analifahamu hili deal!INSANE PEOPLE DOING IT IN INSANE WAYSJeshi la polisi Dar kupitia kwa kamanda Simon Sirro limekana kuhusika kwa lolote lile lililomtokea msanii Roma Mkatoliki na kwamba linafanya jitihada kumpata.
Jeshi hilo limeomba mtu mwenye taarifa zinazomhusu msanii huyo kupeleka taarifa kwao mara moja.
Msanii huyo alitekwa juzi jioni akiwa ndani ya studio za Tongwe records pamoja na wenzake na mpaka sasa hajulikani alipo na yupo katika hali gani.
Aidha upo uvumi unaoenezwa ndani ya mitandao na vijiweni kuwa huenda msanii huyo amefikwa na "mabaya" hali ambayo imezua taharuki kubwa miongoni mwa wasanii.
Chama Cha Majambazi CCM kinahusika na kupotea kwa watu katika nchi hii wanaoonekana wanaipinga serikali ya kibabe ya mzee kipara.Sasa wewe unataka wasemeje iwapo kama hawajawachukua. Mbona chama mfu wana vikundi vya ugaidi na utekaji
Babu kipara anataka kutunyamazisha lakini amekosea .patachimbikaNi mwendo wa kuteka nyara tu kwa kila mpaza sauti
Huyu mwanamke ni zaidi ya shetani. Yani hana utu kabisa akisikia mtanzania kauwawa na serikali kwake ni sherehe. Hawa ndo wahamiaji wanaotuletea shida katika nchi hii watanzania hatuna roho ngumu kiasi hiki.Acha upumbavu kwenye maisha na uhai wa mtu.
Bora wewe umejiulia swali hilo. Mara nyingi nimewahi kushuhudia polisi wakiwa na sare zao watu wakiwahoji sababu za kukamatwa kwao na kituo wanachopelekwa. Leo kompyuta zinachukuliwa bila kuandikishwa wala bila jirani kujua. Je hao watu wengine aliokuwa nao simu zao nazo hazipatikani?Hivi inakuwaje mpaka watu wanaingia ndani wanawachukua watu wapatao watano bila ya kuwaambia kuwa sisi ni akina nani na mnatakiwa kwenda wapi.
Tufanye nini na nyie ndo wenye nguvu?Mussa kuwa na akili kidogo tu, na angalia usumbue chadema
umekaa unastarehe wakati Ben kapotea?? all these days ad you guys are relaxing??? seriously??
mmejaa woga, kulalamika na hauna uwezo wa kusema tuandamane Ben aje
akili na hoja za kwako, mbowe na chadema wengi ni kama mwanamke yuko kwenye heat! hamfanyi lolote you just talk talk talk!!
Siyo mtanzania huyu.fuatlia post zake hizi roho hazipo Tanzania.We mwanamke nahis Hajawahi zaa hujui uchungu wa Mtoto
Kuna kitu unataka kutuambia lakini naona bado unavuta sema tu nini kipo nyuma ya pazia naomba uwe referenceMark my WORDS Makonda ndie aliemtemka ROMA na ROMA atapatikana ili kupata nafasi ya Kwenye VYOMBO VYA HABARI!!"Babu TALE "analifahamu hili deal!INSANE PEOPLE DOING IT IN INSANE WAYS
Mnangoja nini nyie kama chama tawala kuwadhibiti hao magaidi na watekaji wa chama mfu? Nyie si ndio umewakabidhi serikali yenye vyombo vyote vya ulinzi na usalama!! Wenye kuijua Leo kesho na keshokutwa yetu, porojo za uvyama hazitatusaidia kwenye mambo ya kuumiza kama hayaSasa wewe unataka wasemeje iwapo kama hawajawachukua. Mbona chama mfu wana vikundi vya ugaidi na utekaji
Bashite anahusika hapo.Unadhani ben katekwa na nani??
Yaani, nimejiuliza mkuu bila ya kupata jibu kiongozi.Bora wewe umejiulia swali hilo. Mara nyingi nimewahi kushuhudia polisi wakiwa na sare zao watu wakiwahoji sababu za kukamatwa kwao na kituo wanachopelekwa. Leo kompyuta zinachukuliwa bila kuandikishwa wala bila jirani kujua. Je hao watu wengine aliokuwa nao simu zao nazo hazipatikani?
Umenikumbusha mbio za HamorapaJeshi la polisi Dar kupitia kwa kamanda Simon Sirro limekana kuhusika kwa lolote lile lililomtokea msanii Roma Mkatoliki na kwamba linafanya jitihada kumpata.
Jeshi hilo limeomba mtu mwenye taarifa zinazomhusu msanii huyo kupeleka taarifa kwao mara moja.
Msanii huyo alitekwa juzi jioni akiwa ndani ya studio za Tongwe records pamoja na wenzake na mpaka sasa hajulikani alipo na yupo katika hali gani.
Aidha upo uvumi unaoenezwa ndani ya mitandao na vijiweni kuwa huenda msanii huyo amefikwa na "mabaya" hali ambayo imezua taharuki kubwa miongoni mwa wasanii.
Hawawezi kukubali hadi wapate kibali toka kwa Rais na Mwakyembe.Hata BEN SAANANE si walisema hivi hivi?