Jeshi la Polisi lakana kuhusika kutekwa kwa msanii Roma Mkatoliki

Jeshi la Polisi lakana kuhusika kutekwa kwa msanii Roma Mkatoliki

mimi nawajali sana watanzania, naomba mniombeee........fisi aliyejivika ngozi ya kondooo
 
Huyu Sirro atuondolee bra bra zake...yeye ndo mhalifu no.1 akishirikiana na Bashite wanatakiwa waseme alipo Roma!
 
Jeshi la polisi Dar kupitia kwa kamanda Simon Sirro limekana kuhusika kwa lolote lile lililomtokea msanii Roma Mkatoliki na kwamba linafanya jitihada kumpata.

Jeshi hilo limeomba mtu mwenye taarifa zinazomhusu msanii huyo kupeleka taarifa kwao mara moja.

Msanii huyo alitekwa juzi jioni akiwa ndani ya studio za Tongwe records pamoja na wenzake na mpaka sasa hajulikani alipo na yupo katika hali gani.

Aidha upo uvumi unaoenezwa ndani ya mitandao na vijiweni kuwa huenda msanii huyo amefikwa na "mabaya" hali ambayo imezua taharuki kubwa miongoni mwa wasanii.

Tunajiuliza Watanzania angetekwa xxxx ardhi ingefukuliwa lakini kwa sababu ni mshabiki wa chama fulani na mtoto wa maskini asiye na nguvu. Basi unaombwa ushirikiano wa raia wasio na namna wala mbinu zozote. Ni aibu kwa jeshi letu. Mwenyezi Mungu alipize kisasi kwa wote waliohusika katika jambo hili aidha moja kwa moja au kwa kupanga
 
Mambo haya tumezoea kuyasikia Rwanda congo sudani nk now yapo kwetu.
Round hii mtaisoma mmempa kichaa rungu.


Makonda aeleze amempeleka wapi Roma.?

#Madaraka_yakulevya
 
Jeshi la polisi Dar kupitia kwa kamanda Simon Sirro limekana kuhusika kwa lolote lile lililomtokea msanii Roma Mkatoliki na kwamba linafanya jitihada kumpata.

Jeshi hilo limeomba mtu mwenye taarifa zinazomhusu msanii huyo kupeleka taarifa kwao mara moja.

Msanii huyo alitekwa juzi jioni akiwa ndani ya studio za Tongwe records pamoja na wenzake na mpaka sasa hajulikani alipo na yupo katika hali gani.

Aidha upo uvumi unaoenezwa ndani ya mitandao na vijiweni kuwa huenda msanii huyo amefikwa na "mabaya" hali ambayo imezua taharuki kubwa miongoni mwa wasanii.
Mark my WORDS Makonda ndie aliemtemka ROMA na ROMA atapatikana ili kupata nafasi ya Kwenye VYOMBO VYA HABARI!!"Babu TALE "analifahamu hili deal!INSANE PEOPLE DOING IT IN INSANE WAYS
 
Sasa wewe unataka wasemeje iwapo kama hawajawachukua. Mbona chama mfu wana vikundi vya ugaidi na utekaji
Chama Cha Majambazi CCM kinahusika na kupotea kwa watu katika nchi hii wanaoonekana wanaipinga serikali ya kibabe ya mzee kipara.
 
Acha upumbavu kwenye maisha na uhai wa mtu.
Huyu mwanamke ni zaidi ya shetani. Yani hana utu kabisa akisikia mtanzania kauwawa na serikali kwake ni sherehe. Hawa ndo wahamiaji wanaotuletea shida katika nchi hii watanzania hatuna roho ngumu kiasi hiki.
 
Hivi inakuwaje mpaka watu wanaingia ndani wanawachukua watu wapatao watano bila ya kuwaambia kuwa sisi ni akina nani na mnatakiwa kwenda wapi.
Bora wewe umejiulia swali hilo. Mara nyingi nimewahi kushuhudia polisi wakiwa na sare zao watu wakiwahoji sababu za kukamatwa kwao na kituo wanachopelekwa. Leo kompyuta zinachukuliwa bila kuandikishwa wala bila jirani kujua. Je hao watu wengine aliokuwa nao simu zao nazo hazipatikani?
 
Mussa kuwa na akili kidogo tu, na angalia usumbue chadema

umekaa unastarehe wakati Ben kapotea?? all these days ad you guys are relaxing??? seriously??

mmejaa woga, kulalamika na hauna uwezo wa kusema tuandamane Ben aje

akili na hoja za kwako, mbowe na chadema wengi ni kama mwanamke yuko kwenye heat! hamfanyi lolote you just talk talk talk!!
Tufanye nini na nyie ndo wenye nguvu?
 
Mark my WORDS Makonda ndie aliemtemka ROMA na ROMA atapatikana ili kupata nafasi ya Kwenye VYOMBO VYA HABARI!!"Babu TALE "analifahamu hili deal!INSANE PEOPLE DOING IT IN INSANE WAYS
Kuna kitu unataka kutuambia lakini naona bado unavuta sema tu nini kipo nyuma ya pazia naomba uwe reference
 
Sasa wewe unataka wasemeje iwapo kama hawajawachukua. Mbona chama mfu wana vikundi vya ugaidi na utekaji
Mnangoja nini nyie kama chama tawala kuwadhibiti hao magaidi na watekaji wa chama mfu? Nyie si ndio umewakabidhi serikali yenye vyombo vyote vya ulinzi na usalama!! Wenye kuijua Leo kesho na keshokutwa yetu, porojo za uvyama hazitatusaidia kwenye mambo ya kuumiza kama haya
 
Bora wewe umejiulia swali hilo. Mara nyingi nimewahi kushuhudia polisi wakiwa na sare zao watu wakiwahoji sababu za kukamatwa kwao na kituo wanachopelekwa. Leo kompyuta zinachukuliwa bila kuandikishwa wala bila jirani kujua. Je hao watu wengine aliokuwa nao simu zao nazo hazipatikani?
Yaani, nimejiuliza mkuu bila ya kupata jibu kiongozi.

Kwa sababu mpaka vitu vinapandishwa kwenye gari walikuwa wanajua wanapelekwa wapi, sasa katika hali kama hiyo nafkiri walipaswa kujua wale waliowakamata ni wakina nani na wanawapeleka wapi wangeweza kuwajulisha hata ndugu na jamaa kuwa wanelekea sehemu gani ingekuwa rahisi kufaham.

Mimi siamini kama mtu unaweza kuchukuliwa tu pamoja na mizigo yako ukapelekwa sehemu usiyoijua na afadhali angekuwa peke yake kulikuwapo watano kisha msihoji na msitoe taarifa kwa ndugu na jamaa.

Inaleta kizungumkuti unajua.
 
Jeshi la polisi Dar kupitia kwa kamanda Simon Sirro limekana kuhusika kwa lolote lile lililomtokea msanii Roma Mkatoliki na kwamba linafanya jitihada kumpata.

Jeshi hilo limeomba mtu mwenye taarifa zinazomhusu msanii huyo kupeleka taarifa kwao mara moja.

Msanii huyo alitekwa juzi jioni akiwa ndani ya studio za Tongwe records pamoja na wenzake na mpaka sasa hajulikani alipo na yupo katika hali gani.

Aidha upo uvumi unaoenezwa ndani ya mitandao na vijiweni kuwa huenda msanii huyo amefikwa na "mabaya" hali ambayo imezua taharuki kubwa miongoni mwa wasanii.
Umenikumbusha mbio za Hamorapa
 
Back
Top Bottom