Jeshi la Polisi lakana kuhusika kutekwa kwa msanii Roma Mkatoliki

Jeshi la Polisi lakana kuhusika kutekwa kwa msanii Roma Mkatoliki

Nashangaa upumbavu wa baadhi ya watz hasa wa jf,
Watu hasa wapinzani mnafanya matukio alafu mnaanza habar za kutupa lawama kwa serikali
 
usalama wa wananchi upo wapi.na hii tabia ya kuchukuwaa watu bila taarifa za ndugu na jamaa .si ngeni kwa mtindo huu.je wajibu wetu kama raia kujua sheria.
huyu ni roma leo kila mtu anataka kujua.je makapuku kama sisi..?

Subir wauza unga wanaanza kazi ila tutawamaliza wote na kundi lao
 
Haya yanayoendelea kesho wananchi wakilianzisha na aina ya watekaji kama hawa ndipo Jeshi la Polisi litakapo baini kuna tatizo mahali. Haishangazi kama watu wanafikia kumtolea Bastola aliyepata kuwa Waziri mchana kweupe mbele ya Kadamnasi . Hivyo kumteka mtu yoyote yule haiwezi kuwa jamabo la kushanga. Chakushangaa ni Wananchi tumechukua hatua gani ili hili kutogeuka kuwa sehemu ya Maisha na utamaduni wa kawaida?
Ni hatar sana!
Sio mda dogodogo wakiisha watahamia kwa wabunge, madiwani na wenyevit wa mitaa!
 
Jeshi la polisi Dar kupitia kwa kamanda Simon Sirro limekana kuhusika kwa lolote lile lililomtokea msanii Roma Mkatoliki na kwamba linafanya jitihada kumpata.

Jeshi hilo limeomba mtu mwenye taarifa zinazomhusu msanii huyo kupeleka taarifa kwao mara moja.

Msanii huyo alitekwa juzi jioni akiwa ndani ya studio za Tongwe records pamoja na wenzake na mpaka sasa hajulikani alipo na yupo katika hali gani.

Aidha upo uvumi unaoenezwa ndani ya mitandao na vijiweni kuwa huenda msanii huyo amefikwa na "mabaya" hali ambayo imezua taharuki kubwa miongoni mwa wasanii.
Subirini kuokota maiti kwenye viroba mto ruvu
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kati yako wewe na yeye ni nani katukana?
Wote tumetukana, but I have a cause to do so! Nalipa deni. Tunahimizwa kulipa madeni yetu!
 
simu yake ipo online whatsapp na ikipigiwa inaita..
ile technologia inayotumika kuwakamata wanaowatukana viongozi si itumike kutrack yuko wapi??
au hako ka technologia ni kwaajili ya kuwalinda wakubwa tu
Ushauri wako ni mzuri mkuu. Lakini elewa ili akamatwe mtu lazima awe anaitumia hiyo cm. Kama imetelekezwa tu huwezi kumkamata mtu.
 
Kama Ney wa mitego asipost kuwa kakamatwa na Polisi na yeye angepotezwa kama Ben Saa 8.
 
Ngoja nipite kusoma comments tu ukichangia tofauti na mawazo yao utaoga matusi bure.
 
Sasa wewe unataka wasemeje iwapo kama hawajawachukua. Mbona chama mfu wana vikundi vya ugaidi na utekaji
Mwambieni huyo Bosi wenu, Kesho kabla jua halijazama, ROMA awe ameshaachiwa huru, La sivyo wananchi tutajua cha kumfanya!
 
Sasa wewe unataka wasemeje iwapo kama hawajawachukua. Mbona chama mfu wana vikundi vya ugaidi na utekaji
ni wajibubwa polisi kulinda usalama wetu
inabidi watupe taarifa inayoeleweka sio mpaka mtu mwenye taarifa ndo aktoe
wanavowakamataga wasanii wanaotunga nyimbo za kuikashfu serkali nan hua ana wapa taarifa??
 
ni wajibubwa polisi kulinda usalama wetu
inabidi watupe taarifa inayoeleweka sio mpaka mtu mwenye taarifa ndo aktoe
wanavowakamataga wasanii wanaotunga nyimbo za kuikashfu serkali nan hua ana wapa taarifa??
Ni wajibu wa rais kuwa na adabu!
 
Yaani, nimejiuliza mkuu bila ya kupata jibu kiongozi.

Kwa sababu mpaka vitu vinapandishwa kwenye gari walikuwa wanajua wanapelekwa wapi, sasa katika hali kama hiyo nafkiri walipaswa kujua wale waliowakamata ni wakina nani na wanawapeleka wapi wangeweza kuwajulisha hata ndugu na jamaa kuwa wanelekea sehemu gani ingekuwa rahisi kufaham.

Mimi siamini kama mtu unaweza kuchukuliwa tu pamoja na mizigo yako ukapelekwa sehemu usiyoijua na afadhali angekuwa peke yake kulikuwapo watano kisha msihoji na msitoe taarifa kwa ndugu na jamaa.

Inaleta kizungumkuti unajua.
Watu wakijiuliza maswali kama hayo huenda tutajua mapema kilichowapata. Lakini nionavyo wamekwisha fanya hitimisho hasa upande wa kisiasa wamekwisha amua kulaumu vyombo vya usalama.
 
Back
Top Bottom