Pole kwa mama yako aliyekuzaaNashangaa upumbavu wa baadhi ya watz hasa wa jf,
Watu hasa wapinzani mnafanya matukio alafu mnaanza habar za kutupa lawama kwa serikali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole kwa mama yako aliyekuzaaNashangaa upumbavu wa baadhi ya watz hasa wa jf,
Watu hasa wapinzani mnafanya matukio alafu mnaanza habar za kutupa lawama kwa serikali
Chama mfu chadema kilishakufa siku kibaoChama mfu ni kile chenye matahira?
polee mke mdogo,inasikitisha.Inasikitisha sana... kwa hali ilivyo hata hao watekaji hawatawaachia kwasababu watu wata question zaidi tofauti na ilivyokua kwa Nay wa mitego. what happened kwa Ben Saanane ndio kinachoenda kuwatokea hao wenzetu. INATISHA JAMANIII... nimemsikiliza mke wake uwiii hadi tumbo limenikata
Chama mfu chadema kilishakufa siku kibao
Yaani vichaa kabisa ni wale wa chama kilichokufa cha chadema. Yaani ni wehu kwa sababu walinaaniwa baada ya kupokea mviVipi kile cha matahira kule Lumumba??
Tatizo lenu mmejawa na siasa mnashindwa kutenganisha siasa na mambo ya kijamii watu wamepotea badala ya kuweka vichwa pamoja Kama ndugu tutafakari approach mnaanza kuleta mambo ya vyama hapa? Ngoja likufike mwanao mkeo mumeo au ndugu wa karibu atoweke Kama Ben au Roma tuone Kama utaandika upuuzi Kama huuSasa wewe unataka wasemeje iwapo kama hawajawachukua. Mbona chama mfu wana vikundi vya ugaidi na utekaji
Mkuu mbona kama unahusika na utekaji?mimi naona wasanii uchwara wasioelewa thamani ya kua msanii na kuimba nyimbo zisizokua na maadili na heshima kwa jamii washitakiwe kwa mujibu wa sheria. upinzani siku hizi wamechanganyikiwa wanaporomosha mitusi ya nguoni hadi kwa
rais wa jamhuri. wasanii wapinzani nao kadhalika. wasanii kama kioo cha jamii bila maadili ni hatari kwani wanaweza hata wenyewe kwa wenyewe kutekana nyara.
kama hawahusiki unataka wasemaje sasa acha hizo bana.Hata BEN SAANANE si walisema hivi hivi?
Mazingira yanaonyesha wanahusika...Lazima.kama hawahusiki unataka wasemaje sasa acha hizo bana.
Ndio maana mmepewa dola kulinda watu na mali zao!Hatujawapa ridhaa mje kulalamika,we want answers!Kama mmeshindwa kaeni kando,period!Sasa wewe unataka wasemeje iwapo kama hawajawachukua. Mbona chama mfu wana vikundi vya ugaidi na utekaji
Msiokuwa na mama kwa maana mliokotwa kwa rambo, huwa hamjuagi muongee juu ya mama za wenzenu, mbwaPole kwa mama yako aliyekuzaa