Jeshi la Polisi lakana kuhusika kutekwa kwa msanii Roma Mkatoliki

Jeshi la Polisi lakana kuhusika kutekwa kwa msanii Roma Mkatoliki

Mkuu, unadhani ni kwanini Roma Mkatoliki ametekwa na siyo kukamatwa na polisi au vikosi vya usalama?

Je, kama ametekwa unadhani ni kwasababu gani za kisiasa au kimuziki au kimaslahi na watu fulani?

Je, unadhani kuna mkonoi wa serikali kwenye hili tukio?

Ushauri wa kitaalam:

Taarifa za kuhusu gari ilotumika kumteka huyu kijana yaani picha ya gari, na namba zake ziwekwe mitandaoni.

Namba ya usajili itafutwe ijulikane ni nani mmiliki wa gari hili na kwanini limetumika kuwateka Roma na wenzake.

Kuitafuta namba ya usajili ni pamoja na kuuiuliza TRA kuhusu umiliki wa gari hii.

Haya yote yanapaswa kufanywa kwa kuwa polisi wamekana kuhusika na utekaji huu ingawa umetaka kuonyesha hivyo kwamba voymbo vya ulinzi na usalama Tanzania vinajihusisha na utekaji raia wake.

Pia waziri wa mambo ya ndani hajatoa maelezo yoyote kuhusiana na hili.
Kama matukio ya wazi wazi hawajachukua hatua sembuse hili?Rejea Dk.Ulimboka, uvamizi clouds, mauaji Ruvu,Nape na bastola man,n.k. Rai yangu: Tuendeleeni tu kupongeza kwani nchi "inanyooshwa".
 
Kazi namba moja ya jeshi la polisi Tanzania ni kulinda RAIA na Mali zao...tulitegemea kumsikia Sirro akituambia ni jitihada gani jeshi limefanya ili Roma apatikane.

Kutuambia tu kuwa Mwenye taarifa awapelekee wakati wao Wapi ofisini wakisubiri Mwisho wa mwezi ufike wakalipwe kwa kodi Zetu si sahihi.

Ishu imesharipotiwa polisi...hakuna kitu polisi imefanya mnakuja na ngonjera za eti wananchi wapeleke taarifa.

Inasemekana mpaka Jana simu ya Roma ilikuwa hewani ila haipokelewi...kitengo chao cha uhalifu wa mtandao hawakuweza kutrack hyo namba wajue Roma yuko maeneo gani...wanakuja na talalila zao hapo...f******k the cops.
Sirro anatakiwa aelewe,wahalifu hawateki kwa uwazi hivyo mpaka wanaonekana!Wahalifu waende kumteka mtu wabebe TV na computer?Hell no,lazima mamlaka zinahusika!Wasituletee upuuzi
 
Jeshi la polisi Dar kupitia kwa kamanda Simon Sirro limekana kuhusika kwa lolote lile lililomtokea msanii Roma Mkatoliki na kwamba linafanya jitihada kumpata.

Jeshi hilo limeomba mtu mwenye taarifa zinazomhusu msanii huyo kupeleka taarifa kwao mara moja.

Msanii huyo alitekwa juzi jioni akiwa ndani ya studio za Tongwe records pamoja na wenzake na mpaka sasa hajulikani alipo na yupo katika hali gani.

Aidha upo uvumi unaoenezwa ndani ya mitandao na vijiweni kuwa huenda msanii huyo amefikwa na "mabaya" hali ambayo imezua taharuki kubwa miongoni mwa wasanii.
Nisingetegemea liseme tofauti
 
Sasa wewe unataka wasemeje iwapo kama hawajawachukua. Mbona chama mfu wana vikundi vya ugaidi na utekaji
EBU TUFAFANULIE KIDOGO, ao chama mfu ndyo nani? na kama wanakikundi cha ugaidi na utekaji inapaswa taarifa zao tuzifikishe polisi kwa msaada zaidi.....
 
eyes tell everything,some people look like real torturing psychos
hivi lile mwigulu nchemba bado lipo kwenye cheo chake!!!!!
read my signature cowards.
 
Hivi inakuwaje mpaka watu wanaingia ndani wanawachukua watu wapatao watano bila ya kuwaambia kuwa sisi ni akina nani na mnatakiwa kwenda wapi.
Hata aliemtolea bastola hadharani mh. Nape, hakujitambulisha. Tushukuru uwepo wa kamera nyingi bila hivyo huenda na yeye angepotea!
 
Wajaribu kuwaangalia msitu wa pande... Kuna kila dalili za kung'olewa kucha etc.
 
Hivi mkono mrefu wa serikali tuliosimuliwaga tangu udogoni si ni polisi yenyewe kupitia upelelezi!?
Vipi, 'mkono' umekumbwa na kansa na kuanza kuwa mfupi au kulikoni. Maana najaribu kuwaza matukio mabaya kwa miaka ya karibuni na wale majambazi wa mbagala/vikindu then wananchi ndio wanaombwa kupeleka taarifa zinazohusiana na mtu aliyepotea mbali na hapo itatoka kama Ben Saanane?! Mbona kuna taarifa za wavamizi wa studio na wamiliki wa vyeti feki lakini hakuna taarifa!?
 
Hakuna mwenye haki ameachwa na mungu damu ya yesu itanena mema
 
Jeshi la polisi Dar kupitia kwa kamanda Simon Sirro limekana kuhusika kwa lolote lile lililomtokea msanii Roma Mkatoliki na kwamba linafanya jitihada kumpata.

Jeshi hilo limeomba mtu mwenye taarifa zinazomhusu msanii huyo kupeleka taarifa kwao mara moja.

Msanii huyo alitekwa juzi jioni akiwa ndani ya studio za Tongwe records pamoja na wenzake na mpaka sasa hajulikani alipo na yupo katika hali gani.

Aidha upo uvumi unaoenezwa ndani ya mitandao na vijiweni kuwa huenda msanii huyo amefikwa na "mabaya" hali ambayo imezua taharuki kubwa miongoni mwa wasanii.
ni lini waliwahi kukubali maana hata kwa NEY walikataa katu mpaka juma pondamali Mensah alipojibaraguza kutafuta kiki kuzima sekeseke la BASHITE academic credentials baada ya ile drama ya magari bandarini kubuma
 
Jeshi la polisi Dar kupitia kwa kamanda Simon Sirro limekana kuhusika kwa lolote lile lililomtokea msanii Roma Mkatoliki na kwamba linafanya jitihada kumpata.

Jeshi hilo limeomba mtu mwenye taarifa zinazomhusu msanii huyo kupeleka taarifa kwao mara moja.

Msanii huyo alitekwa juzi jioni akiwa ndani ya studio za Tongwe records pamoja na wenzake na mpaka sasa hajulikani alipo na yupo katika hali gani.

Aidha upo uvumi unaoenezwa ndani ya mitandao na vijiweni kuwa huenda msanii huyo amefikwa na "mabaya" hali ambayo imezua taharuki kubwa miongoni mwa wasanii.
Screenshot_20170407-181243.png
 
Jeshi la polisi Dar kupitia kwa kamanda Simon Sirro limekana kuhusika kwa lolote lile lililomtokea msanii Roma Mkatoliki na kwamba linafanya jitihada kumpata.

Jeshi hilo limeomba mtu mwenye taarifa zinazomhusu msanii huyo kupeleka taarifa kwao mara moja.

Msanii huyo alitekwa juzi jioni akiwa ndani ya studio za Tongwe records pamoja na wenzake na mpaka sasa hajulikani alipo na yupo katika hali gani.

Aidha upo uvumi unaoenezwa ndani ya mitandao na vijiweni kuwa huenda msanii huyo amefikwa na "mabaya" hali ambayo imezua taharuki kubwa miongoni mwa wasanii.

Tokea ' Uhuru ' Tanzania hatujawahi kuwa na bahati mbaya ya kuwa na Jeshi bovu la Police kama ambalo tuko nalo sasa. Logically tu ni bora hata huyo Sirro asingejitokeza na angekaa tu kimya kuliko ' kufyatuka ' hivi halafu anaonyesha ' udhaifu ' wake mkubwa na wa taasisi aliyopo. Acheni tu Wazungu watudharau Waafrika!
 
Tanzania now tunahitaji jeshi la police la kimataifa kutulinda...
 
bashite anajua alipo kawaficha muda muafaka aseme amewaokoa apate kiki. bashite kweli 0
 
Me nasema kuna jambo la kufanya.

Tume huru idaiwe mapema Tanzania.
 
Back
Top Bottom