Jeshi la Polisi lakana kuhusika kutekwa kwa msanii Roma Mkatoliki

Jeshi la Polisi lakana kuhusika kutekwa kwa msanii Roma Mkatoliki

Mafia wa CCM chini ya Bashite ipo kazini.Ni kazi maalum amekadhiwa na mwandani wake.Idd Amin ndivyo alivyoanza kama mlikuwa mnasikia kwa watu sasa yapo kwetu.Nina hakika Roma namba mbili baada ya Ben.
 
Usalama wa Taifa wana kitengo kwa sasa kinaongozwa na Bashite ndio wale waliovamia Clouds na kumdhalilisha Nape kwa bastola..Cha msingi subirini viroba vyenye miili ya watu mto Ruvu
 
Msanii huyo alitekwa juzi jioni akiwa ndani ya studio za Tongwe records pamoja na wenzake na mpaka sasa hajulikani alipo na yupo katika hali gani.

Hiyo studio haina CCTV?
 
Sasa wewe unataka wasemeje iwapo kama hawajawachukua. Mbona chama mfu wana vikundi vya ugaidi na utekaji
Na serikali ya uchwara eti haina uwezo wa kukabiliana na vikundi hivi vya ugaidi na utekaji
 
Hapana, alitekwa na majambazi ya CCM, hata ROMA hajapotea bali ametekwa na yale majambazi yaliyovamia CLOUDS MEDIA usiku na bunduki za kivita.

Mussa kuwa na akili kidogo tu, na angalia usumbue chadema

umekaa unastarehe wakati Ben kapotea?? all these days ad you guys are relaxing??? seriously??

mmejaa woga, kulalamika na hauna uwezo wa kusema tuandamane Ben aje

akili na hoja za kwako, mbowe na chadema wengi ni kama mwanamke yuko kwenye heat! hamfanyi lolote you just talk talk talk!!
 
simu yake ipo online whatsapp na ikipigiwa inaita..
ile technologia inayotumika kuwakamata wanaowatukana viongozi si itumike kutrack yuko wapi??
au hako ka technologia ni kwaajili ya kuwalinda wakubwa tu
Mh, sa si rahisi sana kumpata. Ikiwa hivo maana yake hajapotea bado
 
Jeshi la polisi tunalibebesha mzigo ambao ni mzito kwao, kama aliyemtishia Nape mchana kweupe wakiwepo wandishi wa habari wa kutosha mwisho wa siku tunaambiwa hajulikani unafikiri kwa hili itakuweje
 
Sasa wewe unataka wasemeje iwapo kama hawajawachukua. Mbona chama mfu wana vikundi vya ugaidi na utekaji
We mwenzetu kichwa chako kina ubongo au kimejaa maji? Waona inawezekana kuwe na vikundi vya kigaidi tena vya chama mfu halafu serkali isijue wala kuchukua hatua?
 
Kuna mambo ukiyatafakali kwa kina yanakupa hamu ya kuingia msituni kila baya lina hukumu yake.
 
Back
Top Bottom