Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Nchi inakwenda kama gari bovu-Mwinyi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata BEN SAANANE si walisema hivi hivi?
Hapana, alitekwa na majambazi ya CCM, hata ROMA hajapotea bali ametekwa na yale majambazi yaliyovamia CLOUDS MEDIA usiku na bunduki za kivita.kwani Ben naye kapotea??
Msanii huyo alitekwa juzi jioni akiwa ndani ya studio za Tongwe records pamoja na wenzake na mpaka sasa hajulikani alipo na yupo katika hali gani.
Hawa jamaa wanajitekaHaya maisha kutekwa nyara yanatuhuzunisha sana
Na serikali ya uchwara eti haina uwezo wa kukabiliana na vikundi hivi vya ugaidi na utekajiSasa wewe unataka wasemeje iwapo kama hawajawachukua. Mbona chama mfu wana vikundi vya ugaidi na utekaji
Hapana, alitekwa na majambazi ya CCM, hata ROMA hajapotea bali ametekwa na yale majambazi yaliyovamia CLOUDS MEDIA usiku na bunduki za kivita.
Mh, sa si rahisi sana kumpata. Ikiwa hivo maana yake hajapotea badosimu yake ipo online whatsapp na ikipigiwa inaita..
ile technologia inayotumika kuwakamata wanaowatukana viongozi si itumike kutrack yuko wapi??
au hako ka technologia ni kwaajili ya kuwalinda wakubwa tu
sasa mbona polisi wanabwabwaja,,,,,.....au amechukuliwa na muhimili uliojichimbia chini zaidi????Mh, sa si rahisi sana kumpata. Ikiwa hivo maana yake hajapotea bado
We mwenzetu kichwa chako kina ubongo au kimejaa maji? Waona inawezekana kuwe na vikundi vya kigaidi tena vya chama mfu halafu serkali isijue wala kuchukua hatua?Sasa wewe unataka wasemeje iwapo kama hawajawachukua. Mbona chama mfu wana vikundi vya ugaidi na utekaji
Mkuu inaezekana hkuna CCTV lkn clouds zlikuepo,je hatua gani zlichukuliwa? Ukiungansha dots utapata majibuHiyo studio haina CCTV?
Sasa wewe unataka wasemeje iwapo kama hawajawachukua. Mbona chama mfu wana vikundi vya ugaidi na utekaji