Jeshi la Polisi lapekua nyumba ya Boniface Jacob, laenda na GJ Malisa Moshi kupekua nyumba yake

Jeshi la Polisi lapekua nyumba ya Boniface Jacob, laenda na GJ Malisa Moshi kupekua nyumba yake

Mnalaumu bure polisi kwanini wasiwahoji hao makamanda wa chama hao wazee wa kuzusha kila jambo? Ukifuatilia hata post zao hao majamaa ni uzushi, chuki na kejeli za kila aina kwa watu wasiofuata itikadi za chama chao.

Ifike mahala tuache kutetea mtu kisa yuko upande wa chama chako, kama kazingua acha sheria zimshughulikie, hili pia liwafikie wale wafuasi wa vyama vya kisiasa wasiojua kujenga hoja zaidi ya matusi na lugha chafu.

Sheria ifuate mkondo wake kwa yeyote anayeivunja

Hivi tumekwishasahau tuna Jeshi la Polisi la namna gani?

Kuna mstari mwembamba sana wa kuwatenganisha majambazi na polisi wa Tanzania.

Nani waliwaua wafanyabiashara wa madini, na kisha kupora pesa zao?

Nani walimwua yule mfanyabiashara ndugu yake PM kule Mtwara, na kisha kumpora pesa zao?

Tuna Jeshi la polisi lililojaa majambazi.
 
Gharama tu zizizo na tija kwa kesi za kijinga, Kodi ya mtanzania sijui Ina laana Gani maana inatumika kwa mambo ya kijinga sana
The thing is, who cares !!!?? Otherwise it shouldn't have been that way !!
 
Hata aibu huna?
Comment zote zinaliponda jeshi la polisi. Au wewe ndio Muliro? Malisa for your information is a force to recon with.
Nitafurahi Sana hii kesi wakiipeleka mahakamani ili kwa Mara ya pili polisi wa michongo waonyeshe ukilaza wao hadharani.
Mnakumbuka walisemaha Mbowe alitaka kupindua nchi kwa kukata miti na kuitupa barabarani.
Polisi hakikisheni Malisa anafika Moshi salama.
Malisa ni mpuuzi tu ndugu... Kalewa sifa
 
Jaribu kutumia akili kidogo kabla ya kusifia, tuhuma wanazotuhumiwa nazo Jeshi la la Polisi kuhusu suala hili ni nzito, kuua mtu. Hili siyo Jambo dogo hata kidogo, jaribu kufikiria huyo aliyeuawa angekuwa mtoto wako, baba yako, Kaka au mdogo wako, Je, ungejisikiaje? Ungemsifia Kamanda Muliro kws kutuhumiwa kumuua ndugu yako?

Unadhani naandika sijafikiri?

Nampongeza sana Kamanda Murillo Hawa wapuuzi wanadhani ushujaaa ni kuzusha upuuzi Kila siku
 
Ni kweli kama alivyosema Wakili Msomi, Peter Kibatala, "we need a Police, to Police the Police"
 
Bonifasi Jacob ni hazina kwa taifa kwa macho ya nyama.

Bonifasi Jacob ni mwanaCCM damu kwa macho ya rohoni,mimi sijalewa nipo timamu CCM ni chama ambacho kina mbinu nyingi za kucheza na wapinzani wa nchi hii
Unamainisha hapa Boni katumiwa ili kumnasa Malisa??
 
Nchi yetu bado ipo kwenye fikra potevu kwa kudhania kwamba sisi watanzania bado tupo vile vile siku zote.

Hii nchi ina wasomi wengi lakini hawajitambui kabisa maana ndo maana inaendeshwa kipumbavu sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jeshi la polisi kanda maalum ya Dar es Salaam bado linaendelea kuwashikilia Boniface Jacob na Godlisten Malisa. Wanatuhumiwa kwa makosa ya uchochezi na kuzua taharuki katika jamii.

Polisi wameondoka na Godlisten Malisa kwenda naye Moshi, Kilimanjaro usiku huu ili kufanya upekuzi nyumbani kwao wakitafuta simu ambayo polisi wamesema wanaitaka kwa ajili ya uchunguzi.

Polisi wamekwenda nyumbani kwa Boniface Jacob, Mbezi-Msakuzi, Dar es Salaam pia kufanya upekuzi ikiwa ni pamoja na kutafuta simu ambayo polisi wamesema wanahitaji ili kufanya uchunguzi.

Jeshi la polisi limesema kwamba wao ndiyo walalamikaji katika jambo hili, na kwamba Boniface Jacob na Godlisten Malisa wamefanya uchochezi na kuzua taharuki katika jamii dhidi ya Jeshi la Polisi.

Pia, jeshi la polisi kanda maalum ya Dar es Saalam limesema kwamba, kuna makachero wa jeshi la Polisi kutoka mkoa wa Arusha ambao wanatoka Arusha kuja Dar es Saalam ili kumuhoji Boniface Jacob.

Tuteendelea kuwajulisha kwa ambayo yanaendelea. MSIOGOPE. MSIOGOPE. MSIOGOPE. MSIOGOPE.

MMM, Mtikila.

PIA SOMA
- Kamanda Muliro: Malisa GJ, Boniface Jacob wakamatwe kwa tuhuma za kupotosha taarifa za kifo cha Robart Mushi

- Boniface Jackob afika kituo cha Polisi cha Oysterbay ili akamatwe kama alivyoagiza RPC
Tena huyo pipa wambinye sana zile golori aseme ukweli, unaweza kuta wao ndiyi walimgonga
 
Kukamata sawa lakini Kwa Nini muibe na mayai ya kuku?.polisi mjitathimini.leo majirani wa Bonifasi mmetufanya tushinde njaa maana tumezoea kula mayai
😂😂😂jaman,wamechukua mayai kweli aisee police watu wa ajabu sana.
 
Jeshi la polisi kanda maalum ya Dar es Salaam bado linaendelea kuwashikilia Boniface Jacob na Godlisten Malisa. Wanatuhumiwa kwa makosa ya uchochezi na kuzua taharuki katika jamii.

Polisi wameondoka na Godlisten Malisa kwenda naye Moshi, Kilimanjaro usiku huu ili kufanya upekuzi nyumbani kwao wakitafuta simu ambayo polisi wamesema wanaitaka kwa ajili ya uchunguzi.

Polisi wamekwenda nyumbani kwa Boniface Jacob, Mbezi-Msakuzi, Dar es Salaam pia kufanya upekuzi ikiwa ni pamoja na kutafuta simu ambayo polisi wamesema wanahitaji ili kufanya uchunguzi.

Jeshi la polisi limesema kwamba wao ndiyo walalamikaji katika jambo hili, na kwamba Boniface Jacob na Godlisten Malisa wamefanya uchochezi na kuzua taharuki katika jamii dhidi ya Jeshi la Polisi.

Pia, jeshi la polisi kanda maalum ya Dar es Saalam limesema kwamba, kuna makachero wa jeshi la Polisi kutoka mkoa wa Arusha ambao wanatoka Arusha kuja Dar es Saalam ili kumuhoji Boniface Jacob.

Tuteendelea kuwajulisha kwa ambayo yanaendelea. MSIOGOPE. MSIOGOPE. MSIOGOPE. MSIOGOPE.

MMM, Mtikila.

PIA SOMA
- Kamanda Muliro: Malisa GJ, Boniface Jacob wakamatwe kwa tuhuma za kupotosha taarifa za kifo cha Robart Mushi

- Boniface Jackob afika kituo cha Polisi cha Oysterbay ili akamatwe kama alivyoagiza RPC
Sijawahi kuona jeshi la polisi lenye akili za kiquma, kitutusa na kizombi kama hili la Tanzania. Nguvu hizi walipaswa wazielekeze kwenye upelelezi wa kufahamu polisi waliomuua Mushi ni akina nani badala ya kuwaficha na kuanza kuleta sarkasiza kupoteza muda.

Anyway, Mungu ni hakimu mzuri. Hata yule polisi aliyemuua Mwangosi sasa hivi amegeuka chizi kama adhabu kutoka kwa Mungu. Hawawezi kumuua kijana asiyekuwa na hatia na kuwaacha mke na watoto wake wanatseka, halafu Mungu akawaacha salama.
 
Bonifasi Jacob ni hazina kwa taifa kwa macho ya nyama.

Bonifasi Jacob ni mwanaCCM damu kwa macho ya rohoni,mimi sijalewa nipo timamu CCM ni chama ambacho kina mbinu nyingi za kucheza na wapinzani wa nchi hii
Utakuwa unaumwa mafindofindo ya ubongo
 
Hakuna kazi ngumu dunia kama kupambana na jinai au uhalofu wowote.

Nadhani ndiyo SHUGHULI ambayo inafanya watu waonekane wajinga na wasiofa katika jamii au taifa

Mahakama ndio shughuli nyingine ambayo nayo ni tete. Mtu kabaka na anatoka kutokana na kukosewa kwa kitu kidogo. Ka procedure/utaratibu.

Mungu ndo anatoa haki na stahiki zetu. Mengne tuyaache tu maana hata sisi tukiwekwa huko tunakokandia mifumo na taratibu za huko itatuongoza tu
 
Back
Top Bottom