Hannah
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 9,679
- 39,087
Upimzami❌Upimzami wanakwama sana,màana hata wafuasi wao hawajui kipi wadai,Mara nyeupe #77 sasa ndo nini?
Niko huku naona watu wamevaa kijani na njano kama ishara ya kuiunga mkono CCM
Upimzani tambueni kuwa mwaka huu msipokuwa makini hata wabunge wanne hampati,sasa hiyo nyeupe saba saba mliyoiasisi kwa lengo la kuichafua taswira ya nchi yetu hakika haitawasaidia
Kwa hili mjitathimini
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Upinzani.✔
Kingereza hakipandi na kiswahili nacho ni majanga.