Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu umeona bandiko la kafulila nimekuita kule? Au tag haijakupata.Mbunge mmoja? Nafikiri fanya utafiti ujue kuna irrigation schemes ngapi na zimecover eneo la ukubwa gani? Pia tafuta data za WB uone zilivyoleta tija kwenye kilimo hapa Tanzania.
Tanzani ni nchi ambayo inakuwa kiuchumi kusema kwa mara moja kila mkulima atatumia tractor inawezekana? Na hata kusambaza hizo schemes lazima utekelezaji uwe wa mara moja? Maendeleo ni hatua hayaji kwa mara moja.
Hiyo export levy ilipelekwa hazina kwa manufaa ya hao hao watu wa huko. Kwa nini wasichague wabunge wa Ccm!
Ngoja nilitafute najua atakuwa ameshusha nondo kuliko za Kaka yako.Mkuu umeona bandiko la kafulila nimekuita kule? Au tag haijakupata.
Huo mkwara tu.Kwa taarifa yako, hata hapa nilipo leo nimevaa shati jeupe.
I see. Indeed it's futile for me to try and understand anything from your writing!You can't understand anything My language is very effectiveness.
😂😂Mkuu Wewe naye ni mzigo pamoja na chadema yako,must be take place ulimaanisha nini?
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
7/7 ni siku ya mapumziko, Maandamano ni haki ya kikatiba, Fatma Karume na Maria Sarungi hawajaema maanddamano ila kudai tume huru ya Uchaguzi.
Jeshi la Polisi kanda Maalum Dar es salaam linatoa onyo kali kwa kikundi au mtu yeyote atakayeshiriki maandamano hayo batili tarehe 07/07/2020 kwa madai ya kudai Tume huru ya uchaguzi waaache mara moja vinginevyo watashughulikiwa kwa mujibu wa sheria.
LAZARO B. MAMBOSASA- SACP KAMANDA WA POLISI KANDA MAALUM DAR ES SALAM.
06/07/2020
wewe ni "mpumbavu" yaani mtu ambaye amefika kikome cha kuelewa.Hongera Mambo sasa kwa Kukionya kikundi cha wahuni wachache
Nani kasema uandamane kinachotakiwa uvae nguo nyeupe hata chupi ikiwezekanaUNA MAANISHA NINI KUSEMA ((WATANZANIA WOTE!!)) SISI HATUNA MAANDAMANO MZEE.
Mda si mrefu JWTz itachukuwa uwamuzi kama wa Malawi Army. Utawatawanya police wote na kuwatia mahabusu then wananchi wawe huru kutoka ccm
Jeshi la Polisi kanda Maalum Dar es salaam linatoa onyo kali kwa kikundi au mtu yeyote atakayeshiriki maandamano hayo batili tarehe 07/07/2020 kwa madai ya kudai Tume huru ya uchaguzi waaache mara moja vinginevyo watashughulikiwa kwa mujibu wa sheria.
LAZARO B. MAMBOSASA- SACP KAMANDA WA POLISI KANDA MAALUM DAR ES SALAM.
06/07/2020
Usisingizie katiba wakati hata katiba yenyewe hujui inasemaje kuhusu maandamano. Ujuaji mwingi.
Kwanini uwaachie wapinzani Tu kudai haki ya wanao na wajukuu zako ?!. WaTz tumerogwa mahali fulani si bure !!.Nimetoka leo natembea tembea nilisikia habari kwamba Vyama vya upinzani leo watavaa nguo nyeupe kuashiria kudai tume huru
Lakini mtaani sioni kitu kama hicho sijaona yoyote yule aliyavaa nyeupe au chochote kile
Walisema hawatoandamana wala kuingia mtaani bali watatoka tu wamevaa nyeupe kuashiria mioyo yao inaishi katika kudai tume huru
Lakini mtaani sioni chochote[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwa hali hii mtawezana mweli kwenye kudai haki?