Jeshi la Polisi lapiga marufuku maandamano ya #77Nyeupe kudai Tume Huru ya Uchaguzi

Jeshi la Polisi lapiga marufuku maandamano ya #77Nyeupe kudai Tume Huru ya Uchaguzi

Hakuna mwenye akili zake timamu atakae fanya upuuzi huo
 
Usishangae chap chap waraka ukachapishwa wafanyakazi wa umma huko nchini PORTLAND kuanzia sasa ni marufuku kuvaa nguo Nyeupe umtil further notice.
 
1. Kma mlijua hamtoi ajira kwanini mliahidi kwenye ilani yenu page ya 4 kuwa mtatengeneza ajira mamilion? Vijana wakieleweshwa kuwa waliingizwa mkenge sioni wapi mkipenya.

2. Kuhusu kilimo ilani yenu page 14 mliahidi hektw zaidi ya 1 million kuwa za umwagiliaji na kwamba wakulima wataacha rasmi kutegemea mvua alafu hapa unasema eti programu endelevu. Ilihi 93% ya wakulima wanategemea mvua bado!! Mtadanganyaje wakulima wawape kura?

3. JNHPP 80% inaenda nje sababu material na technology/ experts wanatolewa huko so ajira ni vibarua tu. Spillover effect ni chini ya 20% kwahiyo sio kweli itasolve tatizo la ajira ambapo vijana laki 9 wanaingia soko la ajira.

Ajira + Kilimo ndio kifo chenu. Hapo kumbuka vijana ndio wengi nchi hii na Wakulima ndio labor force kubwa. Sioni mkitoboa kma watu wakichagua kwa hoja sio ushabiki.
Hizo ajira mamilioni unataka zitengenezwe vipi? Maana kuna viwanda ,kilimo na sekta ya madini imeajiri direct na indirect employment.
Hizo irrigation schemes kama Kapunga ulitaka ziwe kila sehemu?
 
U

Ukweli ni kwamba mwaka huu upinzani umejua unaenda kushindwa. Maana hamna hoja yoyote ya msingi itayowabeba. Hili la tume huru ni kisingizio tu. Mwaka 2015 mbona hakumleta hiki kisingizio?
Yesu wa Burigi na wenzake wanaogopa sana tume huru. Wanajuwa vizuri kuwa pamoja kushika dola, hawana mvuto. Mengine ni visingizio vyako.
 
Huko kujiingiza wazi wazi kwenye uchaguzi kupo vipi? Maana sikuelewi unataka kusema JPM huwa anawashika mikono wananchi waichague Ccm?

Usitake kuwachanganya wananchi, matokeo yanayotangazwa na maafisa wa tume ndio huwa sio sahihi.
 
Hawa si wajifunze hata Malawi hapo?

Maguvu hayajawahi kuwa suluhisho.

Kazi ya polisi ni kulinda maandamano sio kukataza.
 
Hizo ajira mamilioni unataka zitengenezwe vipi? Maana kuna viwanda ,kilimo na sekta ya madini imeajiri direct na indirect employment.
Hizo irrigation schemes kama Kapunga ulitaka ziwe kila sehemu?
Mkuu ilani uk 14 imesema Hekta Million 1 ssa kma mlijua haziwezi kuwa mahala pote kwanni mliahidi?

Ajira mlisema kwa kutoa mikopo wapate mitaji ilihali zile10% za vijana zimepatikana kwa less than 5% ya mahitaji yaliyopo maana halmashauri hazitengi hizo pesa. Sasa kwanini mnaahidi vitu msivyotekeleza.

Nasema hvi Lissu akichambua ilani yenu hampati kura za vijana na wakulima. Na nitashauri agenda kuu iwe Ajira kwa vijana na Kuinua kilimo ili maendeleo yashuke kwa watz walio wengi.

Nasema hivi CCM kaburi lenu ni ahadi hewa kwa Vijana (70% ya waTz na wapiga kura) na Wakulima 70% ya labor force!! Tukutane oktoba
 
Mkuu ilani uk 14 imesema Hekta Million 1 ssa kma mlijua haziwezi kuwa mahala pote kwanni mliahidi?

Ajira mlisema kwa kutoa mikopo wapate mitaji ilihali zile10% za vijana zimepatikana kwa less than 5% ya mahitaji yaliyopo maana halmashauri hazitengi hizo pesa. Sasa kwanini mnaahidi vitu msivyotekeleza.

Nasema hvi Lissu akichambua ilani yenu hampati kura za vijana na wakulima. Na nitashauri agenda kuu iwe Ajira kwa vijana na Kuinua kilimo ili maendeleo yashuke kwa watz walio wengi.

Nasema hivi CCM kaburi lenu ni ahadi hewa kwa Vijana (70% ya waTz na wapiga kura) na Wakulima 70% ya labor force!! Tukutane oktoba
Nafikiri mantiki ya kuweka irrigation schemes haujaipata vizuri. Ni maeneo ambayo upatikanaji wa mvua ni wa kusuasua ndiyo yanahitaji kwa sana hizi schemes. Au maeneo ambayo yanalima mazao kama mpunga. Na hapa Tanzania zipo nyingi tu.

Kondoa mkoani Dodoma. Kilimanjaro zipo nyingi tu na mkoa kama Mbeya ni mmoja wa mfano wa mikoa ambayo ina schemes za umwagiliaji. Kwa hiyo sio kila eneo ziwekwe hata kama mvua inapatikana ya kutosha kuzalisha chakula.

Kuhusu ajira hili ni suala mtambuka wewe unaliangalia kwa upande mmoja wa sarafu na Octoba utadondokea pua.

Maana hata kwenye sekta ya madini maeneo mengi wachimbaji wadogo wameruhusiwa kuchimba na ajira nyingi zimedhalishwa tofauti na huko nyuma.

Pia kilimo mpaka sasa kinaajiri 77% na Asdp imeleta tija kubwa kwa wakulima.
 
Nafikiri mantiki ya kuweka irrigation schemes haujaipata vizuri. Ni maeneo ambayo upatikanaji wa mvua ni wa kusuasua ndiyo yanahitaji kwa sana hizi schemes. Au maeneo ambayo yanalima mazao kama mpunga.

Na hapa Tanzania zipo nyingi tu. Kondoa mkoani Dodoma. Kilimanjaro zipo nyingi tu na mkoa kama Mbeya ni mmoja wa mfano wa mikoa ambayo ina schemes za umwagiliaji. Kwa hiyo sio kila eneo ziwekwe hata kama mvua inapatikana ya kutosha kuzalisha chakula.

Kuhusu ajira hili ni suala mtambuka wewe unaliangalia kwa upande mmoja wa sarafu na Octoba utadondokea pua. Maana hata kwenye sekta ya madini maeneo mengi wachimbaji wadogo wameruhusiwa kuchimba na ajira nyingi zimedhalishwa tofauti na huko nyuma. Pia kilimo mpaka sasa kinaajiri 77% na Asdp imeleta tija kubwa kwa wakulima.
Wapi nimesema iwekwe kila sehemu. Nimenukuu ilani kwamba hekta million 1 ssa hayo maeneo machache ambapo irrigation scheme zipo zinafika hizo size?

Pia ilani imesema wakulima wote waache kutegemea mvua ikimaanisha watumie umwagiliaji ili production isiwe uncertain. Pia kilimo cha kisasa sio tu umwagiliaji bali hata kuacha kilimo cha jembe je hiko mmetekeleza? Mmeongeza thamani ya mazao kwa wakulima? Mmewahi kutoa export subsidy kwa hta korosho au mliishia tu kupora export levy?

Huko mkipata hta mbunge mmoja basi Ntaamini kweli hawajitambui
 
Wapi nimesema iwekwe kila sehemu. Nimenukuu ilani kwamba hekta million 1 ssa hayo maeneo machache ambapo irrigation scheme zipo zinafika hizo size?

Pia ilani imesema wakulima wote waache kutegemea mvua ikimaanisha watumie umwagiliaji ili production isiwe uncertain. Pia kilimo cha kisasa sio tu umwagiliaji bali hata kuacha kilimo cha jembe je hiko mmetekeleza? Mmeongeza thamani ya mazao kwa wakulima? Mmewahi kutoa export subsidy kwa hta korosho au mliishia tu kupora export levy?

Huko mkipata hta mbunge mmoja basi Ntaamini kweli hawajitambui
Mbunge mmoja? Nafikiri fanya utafiti ujue kuna irrigation schemes ngapi na zimecover eneo la ukubwa gani? Pia tafuta data za WB uone zilivyoleta tija kwenye kilimo hapa Tanzania.

Tanzani ni nchi ambayo inakuwa kiuchumi kusema kwa mara moja kila mkulima atatumia tractor inawezekana? Na hata kusambaza hizo schemes lazima utekelezaji uwe wa mara moja? Maendeleo ni hatua hayaji kwa mara moja.

Hiyo export levy ilipelekwa hazina kwa manufaa ya hao hao watu wa huko. Kwa nini wasichague wabunge wa Ccm!
 
Back
Top Bottom