Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,041
- 13,907
Sasa nani kakuambia wewe ni slave?I'm not a slave , Jpm must go
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa nani kakuambia wewe ni slave?I'm not a slave , Jpm must go
Sasa nani kakuambia wewe ni slave?
Haya kamwambie Ras simba akurudishie ada.Mugufuli must go
The assassination of Mawazo proved that this is nonesens , rule.
Tume inaundwa kwa sheria, watunga sheria wameshavunja bunge sasa hiyo tume huru unaidai wapi na ipatikane lini. Mmeacha miaka yoye minne ipite bila kuwa na mchakato wa tume huru halafu mnajitia wajuaji kudai tume huru sasa hivi. Practically hicho kitu hakiwezekani kutokea kabla ya uchaguzi ujao wa Oktoba 2020. Kama ni ushauri basi jipangeni kupata hiyo mnayoita tume huru kwa ajili ya uchaguzi wa 2025.
My Government is very worse , so Police order is against over our constitution. On 07 /07 #Nyeupe must be take place
Mkuu Wewe naye ni mzigo pamoja na chadema yako,must be take place ulimaanisha nini?
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Please I don't understand Swahili can you write ur rubbish by using My mother tongue English language.
Owomkyalo bwana, you claim English is your native language but I can see your English in great trouble. But great to support independent electoral committee, we are together.
Tutaandamana mtake msitake#HABARI Kamanda wa Kanda Maalumu ya Kipolisi jijini Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa ametoa onyo kwa wanaojiandaa kufanya maandamano siku ya tarehe saba kwa lengo la Kudai Tume huru ya Uchaguzi.
Si ungeandika Kiswahili tu? Au hata Kiswahili pia ni cha hivyo hivyo? Nilipoona lugha iliyotumika, sikuwa hata na tamaa ya kuchambua hoja iliyokuwa ikijengwa.My Government is very worse , so Police order is against over our constitution. On 07 /07 #Nyeupe must be take place
Tume ipo huru watanzania na dunia nzima wanajua. Huko kupiga white ni ujifurahisha na kupoteza muda.Nimeandaa nyeupe kuanzia kiatu, suruali mpaka shati. Na wife naye atapiga dera jeupe hiyo kesho. Bila tume huru ya uchaguzi, hakuna uchaguzi chini ya hiyo tume ya kihuni.
Ukweli ni kwamba mwaka huu upinzani umejua unaenda kushindwa. Maana hamna hoja yoyote ya msingi itayowabeba. Hili la tume huru ni kisingizio tu. Mwaka 2015 mbona hakumleta hiki kisingizio?Unachekesha ile mbaya, watunga sheria haiwataki tume huru vya uchaguzi maana haiwabebi, hivyo walikuwa wanapiga chenga makusudi. Inabidi ufahamu kuwa madai halali hayana muda. Isitoshe kulikuwa na katiba pendekezwa iliyokuwa inasubiri kupigiwa kura, lakini rais huyu aliigomea ili aendeshe nchi kwa katiba yenye mapungufu. Na humo ndani ya katiba pendekezwa kuna jinsi ya kuunda tume huru ya uchaguzi. Hivyo wakujilaumu ni wale waliogoma kutekeleza wajibu wao. Madai ya tume huru yake palepale, kisingizio cha muda hakina nafasi.
Unaweza usiunge mkono maandamano ila sio kwa akili za ubinafsi hivi. Unapoumizwa kudai mabadiliko fulani ni kwa ajili ya faida ya wengine so hta ukiumia basi ukiimgia gharama it was for greater course.Sasa maandamano ya nini kipindi hiki cha #covid19.Na ukivunjika mguu gharama ni juu yako!
Bora mpigwe marufuku tu!
U
Ukweli ni kwamba mwaka huu upinzani umejua unaenda kushindwa. Maana hamna hoja yoyote ya msingi itayowabeba. Hili la tume huru ni kisingizio tu. Mwaka 2015 mbona hakumleta hiki kisingizio?
Pick the coherent one.
Sijatoa kauli za kibinafsi nimetoa tahadhari tu.Unaweza usiunge mkono maandamano ila sio kwa akili za ubinafsi hivi. Unapoumizwa kudai mabadiliko fulani ni kwa ajili ya faida ya wengine so hta ukiumia basi ukiimgia gharama it was for greater course.
Kma kila mtu akijiangalia ananufaikaje basi sidhani hta Nyerere angerisk maisha yake kuharakisha uhuru. Tuache hizi kauli za ubinafsi.