Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Unaweza kukuta Mwamba alifanya makusudi Watu waanze kumjadili body guard wake 😂😂😂Nongwa ilianzia hapaView attachment 2688792
Nongwa....Jeshi la polisi liko sahihi.....
Haiwezekani mlinzi binafsi akavaa vazi hili hapa....View attachment 2688798
Bandari bandari.Jeshi la Polisi Tanzania limepiga marufuku uvaaji wa nguo zinazofanana na majeshi ya ulinzi na usalama kwa watu binafsi.
Atakayekiuka atachukuliwa hatua kali za kisheria kwa kufikishwa mahakamani mara moja. View attachment 2688790
Hivi inawezekana tukaifufua ile kesi tena akaozee ndani huyu. Rais Samia ulifanya kosa kubwa sana kumuachia huyu JPM alikuwa anawajuwa hawa tabia zao, hawabadiliki.Nongwa ilianzia hapaView attachment 2688792
Bandari, bandari Hakuna namna kitaeleweka tu.Hivi inawezekana tukaifufua ile kesi tena akaozee ndani huyu. Rais Samia ulifanya kosa kubwa sana kumuachia huyu JPM alikuwa anawajuwa hawa tabia zao, hawabadiliki.
😛Bandari, bandari Hakuna namna kitaeleweka tu.
Wasomi sasa ni wengi kuanzia la saba hadi vyuo vikuu.
Ule ujinga na ujima umeisha bongo sasa
Hii yote ni walinzi wa mboweJeshi la Polisi Tanzania limepiga marufuku uvaaji wa nguo zinazofanana na majeshi ya ulinzi na usalama kwa watu binafsi.
Atakayekiuka atachukuliwa hatua kali za kisheria kwa kufikishwa mahakamani mara moja. View attachment 2688790
YesMbowe anatisha
Jeshi la polisi liko sahihi.....
Haiwezekani mlinzi binafsi akavaa vazi hili hapa....View attachment 2688798
Huu ndio utapeli,utavyaaje sare za taasisi nyingine,kwa nini usibuni sare zako,zisizofanana na taasisi nyingine.Jeshi la polisi liko sahihi.....
Haiwezekani mlinzi binafsi akavaa vazi hili hapa....View attachment 2688798
Anzisha uzi wako,hii haihusiani hapa.Bandari bandari.
Pigeni Pia marufuku kundi au watu kuuza au kutoa Rasilimali Za nchi,msiishie tu kwenye mavazi.
Matapeli hawa,utavyaaje sare zisizokuhusu.Yes
Mlinzi wake zile nguo alizovaa Jana zimeshawavuruga tena