Jeshi la Polisi lapiga marufuku watu kuvaa nguo zinazofanana na Majeshi ya Ulinzi na Usalama

Jeshi la Polisi lapiga marufuku watu kuvaa nguo zinazofanana na Majeshi ya Ulinzi na Usalama

Jeshi la Polisi Tanzania limepiga marufuku uvaaji wa nguo zinazofanana na majeshi ya ulinzi na usalama kwa watu binafsi.

Atakayekiuka atachukuliwa hatua kali za kisheria kwa kufikishwa mahakamani mara moja. View attachment 2688790
Haya mavazi ya mabaka kama nyoka hayafai kwa raia. Polisi achaneni ni hizi makitu, Lindeni raslimali za nchi kwanza
 
Nina kimpama changu flani chakichina nilinunua Kwa chinga kitaa flani 😎😎😎kinaunyama flani ivi,,,wakuu vikipigwa marafuuuki mnisitue
 
Si umesema vazi linafanana na jeshi la UAE na sio majeshi yetu, kwanini polisi wahangaike na mavazi yanayofanana na jeshi la nchi nyingine?
Sina uhakika na Hilo, lakini nadhani sababu ni za kiusalama zaidi. Majambawazi au wahuni wengine wanaweza kuyatumia vibaya mazavi hayo kwa urahisi ukizingatia watu wengi hawana uwelewa mpana kuhusu mavazi hayo.
Wengi hawajui kua hizi hazitumiki hapa, hizi zinazotumika hapa zinatumika maeneo gani, jinsi zinavyovaliwa, unadhifu wa mvaaji n.k
 
Back
Top Bottom