Ki memo kilienda tu usidhani kashinda,
Baada ya kushindwa kuthibitisha tuhuma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ki memo kilienda tu usidhani kashinda,
Vipi yale mawani kama ya mafundi wa kuchomea welding Bavicha huwa mnaagiza wapi?Mbowe anatisha
Basi kengeza anajiona hapo anaulinzi. Ningekuwa polisi huyu kengeza alipaswa awe lupango na tena amshukuru Dkt Samia, lilipaswa lihukumiwe kunyongwa gaidi kubwaJeshi la polisi liko sahihi.....
Haiwezekani mlinzi binafsi akavaa vazi hili hapa....View attachment 2688798
Sasa hapa mbna haijafananaNongwa ilianzia hapaView attachment 2688792
Linafanana na jeshi gani hapa nchini?Jeshi la polisi liko sahihi.....
Haiwezekani mlinzi binafsi akavaa vazi hili hapa....View attachment 2688798
UKAWAHuyo mlinzi kavaa nguo za jeshi la nchi Gani?
Hahah, nilijua tu kuna tamko litafuata siku si nyingiNongwa ilianzia hapaView attachment 2688792
Umeliona gwanda la Mbowe lakini linavyofanana na la watoa taarifa.Jeshi la polisi liko sahihi.....
Haiwezekani mlinzi binafsi akavaa vazi hili hapa....View attachment 2688798
Acha upumbavu, tatizo hapo ni nini?,kwani jwtz hawajui au kutambua combat yao?,Tanzania ni police state kesho mtaambiwa kulala wote by 18:00hrsJeshi la polisi liko sahihi.....
Haiwezekani mlinzi binafsi akavaa vazi hili hapa....View attachment 2688798
Katili mkubwa na bila shaka umetoka kwenye familia katili, hivi umeshawahi kuambiwa I love you kwenye maisha yako?Hivi inawezekana tukaifufua ile kesi tena akaozee ndani huyu. Rais Samia ulifanya kosa kubwa sana kumuachia huyu JPM alikuwa anawajuwa hawa tabia zao, hawabadiliki.
Hivi jeshi la polisi au lolote lile linatamburika kwa rangi ya mavazi au nembo(emblem/insignia)?Jeshi la polisi liko sahihi.....
Haiwezekani mlinzi binafsi akavaa vazi hili hapa....View attachment 2688798
Sasa si watoe elimu Kwa raia badala ya kuwatisha?Sina uhakika na Hilo, lakini nadhani sababu ni za kiusalama zaidi. Majambawazi au wahuni wengine wanaweza kuyatumia vibaya mazavi hayo kwa urahisi ukizingatia watu wengi hawana uwelewa mpana kuhusu mavazi hayo.
Wengi hawajui kua hizi hazitumiki hapa, hizi zinazotumika hapa zinatumika maeneo gani, jinsi zinavyovaliwa, unadhifu wa mvaaji n.k
Kama tatizo hulioni basi wewe mwenyewe ni tatizo [emoji1787]Acha upumbavu, tatizo hapo ni nini?,kwani jwtz hawajui au kutambua combat yao?,Tanzania ni police state kesho mtaambiwa kulala wote by 18:00hrs
Watoa taarifa wana magwanda yapi ?!!![emoji15][emoji1787][emoji1787]Umeliona gwanda la Mbowe lakini linavyofanana na la watoa taarifa.
Huoni bakabaka hizo....Linafanana na jeshi gani hapa nchini?
[emoji1787][emoji1787]Basi kengeza anajiona hapo anaulinzi. Ningekuwa polisi huyu kengeza alipaswa awe lupango na tena amshukuru Dkt Samia, lilipaswa lihukumiwe kunyongwa gaidi kubwa
Huwajui "makirikiri"?!![emoji1787][emoji1787]Sasa hapa mbna haijafanana
Pigeni marufuku kikokotoo., kinaua wastaafuJeshi la Polisi Tanzania limepiga marufuku uvaaji wa nguo zinazofanana na majeshi ya ulinzi na usalama kwa watu binafsi.
Atakayekiuka atachukuliwa hatua kali za kisheria kwa kufikishwa mahakamani mara moja. View attachment 2688790