Jeshi la Polisi latoa barua za onyo kwa Kampuni za Mabasi ya mikoani yanayokimbia kupita kiasi ruhusiwa

Jeshi la Polisi latoa barua za onyo kwa Kampuni za Mabasi ya mikoani yanayokimbia kupita kiasi ruhusiwa

Waache mambo ya Kizamani chuma zipepee watu wawahi kufika,,zamani Dar >Moshi ilikuwa Saa tano Bufallo lishafika ila sasa hivi eti Bus la kwanza saa tisa hata kiuchumi hiyo sio sawa...Mbeya Dar chuma ilikuw inaingia ubungo saa Nane mchana watu wanawahi mambo mengine,,,
Serikali iache mikwara wawaambie CCM waboreshe miundo mbinu iwe kama URAYA waweke Treni za mwendo kasi ziunganishe mikoa yote mikubwa na DAR pia viwanja vya ndege vya kutosha ili wanaotaka kuwahi wawahi na Treni za umeme au ndege,,wanaotaka kutalii wapande mabasi,,na ikiwezekana Ruti ya mabasi usiku iruhusiwe haiwezekani tulazimishwe eti usiju nchi nzima ni muda wa kulala,,,juzi kati kilimanjaro Exp alianzisha safari za Arusha>Dar na DAR>ARUSHA chuma inatoka saa mbili usiku alianza na gari moja ila watu wakawa wengi akaongeza zikawa gari nne ajabu serikali inayosema Kazi iendelee wakafungia na kuwakataza kufanya ile safari


Wacheni Vyuma vitembee wanaotaka kwensa taratibu watapanda basi za tratibu zinajulikana wanaotaka kuwa chakula nyumbani watapanda za mwendo wa umeme

Sent using Jamii Forums mobile app
Nakuunga mkono mkuu
 
Jeshi la Polisi nchini limetoa barua za Onyo kwa Kampuni za Mabasi ya mikoani ambazo madereva.wake wanakimbiza sana Mabasi.

Wasipojirekebisha watafutiwa kabisa leseni zao

Chanzo: ITV

Hizo barua za onyonakala iko wapi​

 
Mimi nadhani onyo liwe kwa wale wanaohubiri kwenye mabasi, hawa wengine hawahitaji onyo ni kiasi cha utendaji tu kwa sasa.
 
Jeshi la Polisi nchini limetoa barua za Onyo kwa Kampuni za Mabasi ya mikoani ambazo madereva.wake wanakimbiza sana Mabasi.

Wasipojirekebisha watafutiwa kabisa leseni zao

Chanzo: ITV
madereva wamemaki mahala ambapo traffic hawakai hapo ndipo wanakanyaga hadi mshale unaelekea nyekundu.Labda kama kuna uwezekano traffic wabadili location wakati fulani na wapunguze kupokea rushwa.Mana dereva anawezakuwa amekamatwa kwa spid na wanamalizana kimyakimya.
 
Back
Top Bottom