Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam limeripoti fujo zilizotokea tarehe 15 Desemba, 2024, katika Uwanja wa Benjamin Mkapa wakati wa mechi ya Kombe la Shirikisho Afrika kati ya Simba SC na CS Sfaxien.
Mashabiki wa CS Sfaxien walikasirishwa na mwamuzi kuongeza dakika saba, hali iliyopelekea Simba kufunga goli la pili na kushinda. Wachezaji wa CS Sfaxien na benchi lao walimshambulia mwamuzi, huku mashabiki wao wakiharibu viti 256.
Mashabiki wa CS Sfaxien walikasirishwa na mwamuzi kuongeza dakika saba, hali iliyopelekea Simba kufunga goli la pili na kushinda. Wachezaji wa CS Sfaxien na benchi lao walimshambulia mwamuzi, huku mashabiki wao wakiharibu viti 256.