Jeshi la Polisi latoa tamko baada ya mashabiki wa Simba kuvunja viti Uwanja wa Taifa
Wakuu,

View attachment 3177667

Leo Desemba 15, 2024 majira ya saa 11:50 jioni katika Uwanja wa Benjamin William Mkapa Temeke Dar es salaam kwenye mchezo wa mpira wa miguu wa kimataifa wa kombe la Shirikisho Afrika kati ya timu ya Simba ya Tanzania na CS SFAXIEN ya Tunisia kulitokea fujo iliyosababishwa na mashabiki wa Timu ya CS SFAXIEN kutoridhika na maamuzi ya refa wa mchezo huo kuchezesha mechi hiyo kwa zaidi ya dakika saba ambazo aliziongeza kama dakika za nyongeza jambo lililo pelekea timu ya Simba kupata goli la pili na la ushindi.


Kwa Mujibu wa Taarifa ya Kamanda wa Polisi Kanda maalum ya Dar es Salaam SACP Jumanne Muliro, Wachezaji wa ndani ya uwanja na "benchi" la ufundi la timu ya CS SFAXIEN walikasirika, wakamfuata mwamuzi wa mchezo na kuanza kufanya vitendo vya kumshambulia.

Katika fujo hizo shabiki mmoja wa timu ya CS SFAXIEN aliumia na kupatiwa huduma ya kwanza na kuruhusiwa, huku viti vya rangi ya blue 156 na Orange 100 viling'olewa na mashabiki hao.

"Jeshi la Polisi litashirikiana na mamlaka zingine za kisheria na soka kuona hatua za kuchukua dhidi ya vitendo hivyo ambavyo havikubaliki"
Makolo ndo zao kuvunja viti
Majinga sana haya majamaaa
 
Wakuu,

View attachment 3177667

Leo Desemba 15, 2024 majira ya saa 11:50 jioni katika Uwanja wa Benjamin William Mkapa Temeke Dar es salaam kwenye mchezo wa mpira wa miguu wa kimataifa wa kombe la Shirikisho Afrika kati ya timu ya Simba ya Tanzania na CS SFAXIEN ya Tunisia kulitokea fujo iliyosababishwa na mashabiki wa Timu ya CS SFAXIEN kutoridhika na maamuzi ya refa wa mchezo huo kuchezesha mechi hiyo kwa zaidi ya dakika saba ambazo aliziongeza kama dakika za nyongeza jambo lililo pelekea timu ya Simba kupata goli la pili na la ushindi.


Kwa Mujibu wa Taarifa ya Kamanda wa Polisi Kanda maalum ya Dar es Salaam SACP Jumanne Muliro, Wachezaji wa ndani ya uwanja na "benchi" la ufundi la timu ya CS SFAXIEN walikasirika, wakamfuata mwamuzi wa mchezo na kuanza kufanya vitendo vya kumshambulia.

Katika fujo hizo shabiki mmoja wa timu ya CS SFAXIEN aliumia na kupatiwa huduma ya kwanza na kuruhusiwa, huku viti vya rangi ya blue 156 na Orange 100 viling'olewa na mashabiki hao.

"Jeshi la Polisi litashirikiana na mamlaka zingine za kisheria na soka kuona hatua za kuchukua dhidi ya vitendo hivyo ambavyo havikubaliki"
Kwamba unajitoa ufahamu hujailewa hiyo statement ya polisi kuwa inazungumza kina nani waliotoa viti?
 
Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam limeripoti fujo zilizotokea tarehe 15 Desemba, 2024, katika Uwanja wa Benjamin Mkapa wakati wa mechi ya Kombe la Shirikisho Afrika kati ya Simba SC na CS Sfaxien.

Mashabiki wa CS Sfaxien walikasirishwa na mwamuzi kuongeza dakika saba, hali iliyopelekea Simba kufunga goli la pili na kushinda. Wachezaji wa CS Sfaxien na benchi lao walimshambulia mwamuzi, huku mashabiki wao wakiharibu viti 256.
View attachment 3177617
Huo ni uongo.

Waliong'oa viti ni mashabiki wa Simba na wakawarushia maafisa na wachezaji wa Sfaxien kama kisasi kwa fujo walizofanya Sfaxien.

Video hizi hapa


View: https://youtu.be/zCCoWFJGScU


View: https://www.youtube.com/watch?v=pbCWbl3c4zc
 
Nimeona wameandika kitaalamu sana na kwa akili ambazo sijui mwandishi ni wa namna gani. Nampongeza kwa kuwa ameonesha usmart wa hali ya juu sana. Tuendelee kujifunza. Je hili Prof. Kabudi anahusika?
Screenshot_2024-12-16-02-35-46-703_com.instagram.android~2.jpg
 
Simba wajaribu viti kwa sababu gani?. Soma vizuri barua hiyo
 
Muliro mwenyewe ni kolo na ameandika barua bila kuwananga makolo wenzie.
 
Wakuu,

View attachment 3177667

Leo Desemba 15, 2024 majira ya saa 11:50 jioni katika Uwanja wa Benjamin William Mkapa Temeke Dar es salaam kwenye mchezo wa mpira wa miguu wa kimataifa wa kombe la Shirikisho Afrika kati ya timu ya Simba ya Tanzania na CS SFAXIEN ya Tunisia kulitokea fujo iliyosababishwa na mashabiki wa Timu ya CS SFAXIEN kutoridhika na maamuzi ya refa wa mchezo huo kuchezesha mechi hiyo kwa zaidi ya dakika saba ambazo aliziongeza kama dakika za nyongeza jambo lililo pelekea timu ya Simba kupata goli la pili na la ushindi.


Kwa Mujibu wa Taarifa ya Kamanda wa Polisi Kanda maalum ya Dar es Salaam SACP Jumanne Muliro, Wachezaji wa ndani ya uwanja na "benchi" la ufundi la timu ya CS SFAXIEN walikasirika, wakamfuata mwamuzi wa mchezo na kuanza kufanya vitendo vya kumshambulia.

Katika fujo hizo shabiki mmoja wa timu ya CS SFAXIEN aliumia na kupatiwa huduma ya kwanza na kuruhusiwa, huku viti vya rangi ya blue 156 na Orange 100 viling'olewa na mashabiki hao.

"Jeshi la Polisi litashirikiana na mamlaka zingine za kisheria na soka kuona hatua za kuchukua dhidi ya vitendo hivyo ambavyo havikubaliki"
Kwa maoni yangu, michezo inasimamiwa na mamlaka ya michezo, na si polisi kwa sababu si wasemaji wa mamlaka haya. Mamlaka ya michezo ndiyo inayopaswa kutoa tamko, na si polisi. Labda kama nitaelimishwa katika hili.
 
Vyura tengezeni na nyie report yenu tuisome ili tubalance story.
 
Wote tumeona Video kibao tu zinazoonyesha Tukio lote lilivyokua...!

Waarabu wanaanzisha vurugu, wanang'oa Viti kuwarushia Mashabiki wa Simba ..!

Nao Mashabiki wa Simba wasivyo na Akili, nao Wanang'oa Viti kuwarushia Waarabu...! Wanang'oa Viti kwenye kwenye Uwanja wao wenyewe, Uwanja ambao umetoka kufanyiwa Marekebisho juzi tu.....!

Serikali kupitia Wizara ya Michezo na TFF, iwapige fine Simba na walipe gharama zote za uharibifu.
 
Back
Top Bottom