shamimuodd
JF-Expert Member
- Jan 28, 2019
- 1,188
- 2,113
Picha zipo wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakipandishwa kizimbani ndio tutaamini
View: https://twitter.com/tanpol/status/1821901754998677534?t=Kmb3Ni-3QrbFhsc6YJLhqA&s=19
Kuna utaratibu wa kijeshi wa kufuatwa. Tulia kilakitu kitawekwa wazi baada ya ofisi ya mkuu wa kambi CO kwenda kwa CoS na kuombewa vibali wahusika kukamilika na kukabidhiwa kwa jeshi la polisiMTUHUMIA NAMBA MOJA NI AFANDE WA KIKE ALIYEWATUMA, HUYO HAWEZI KUKIMBIA MKAMATENI NA YEYE ACHENI DOUBLE STANDARDs.
Wakipandishwa kizimbani ndio tutaamini
View: https://twitter.com/tanpol/status/1821901754998677534?t=Kmb3Ni-3QrbFhsc6YJLhqA&s=19
Ni hivi jeshi la polisi la Tanzania liko vizur sana kwa upelelezi ,yaan ukiona jambo halijafanyika labda ujue hawajaamua tuHili jeshi la polisi sio poa kwa kukamata watu! Ww jifanye tu invincible utajikuta kituo cha polisi hutaamini.
Halafu inaonekana wale wendawazimu wamepanda mtumbwi wa vibwengo hadi majina yao yametajwa sio kawaida hapa naona watu wakila 50+ years in prison
![]()
Kuna utaratibu wa kijeshi wa kufuatwa. Tulia kilakitu kitawekwa wazi baada ya ofisi ya mkuu wa kambi CO kwenda kwa CoS na kuombewa vibali wahusika kukamilika na kukabidhiwa kwa jeshi la polisi kwa utaratibu wa kisheria uraiani kufuatwa.MTUHUMIA NAMBA MOJA NI AFANDE WA KIKE ALIYEWATUMA, HUYO HAWEZI KUKIMBIA MKAMATENI NA YEYE ACHENI DOUBLE STANDARDs.
Wakipandishwa kizimbani ndio tutaamini
View: https://twitter.com/tanpol/status/1821901754998677534?t=Kmb3Ni-3QrbFhsc6YJLhqA&s=19
Lakini kama ni kweli basi GOOD JOB! ubakaji umezidi.Jeshi limejaa uongo uongo tupu
Ni uongo na utapeli tupuLakini kama ni kweli basi GOOD JOB! ubakaji umezidi.
Tatizo wote ni UVCCMKwanini kusiwe na fast track kwa watuhumiwa hawa
Hii ni kesi inayowahusu hao na ni bora wangepelekwa mahakamani haraka na kufungwa tu
Mtihani kweliTatizo wote ni UVCCM
Nchi imeoza kila muovu anajificha kwenye CCMMtihani kweli
ETI NI YA MEI 2024Jeshi la polisi limethibitisha kuwakamata na kuwashkilia vijana waliofanya ukatili Kwa kubaka na kumsodimise Binti anaesadikika kutokea yombo
Jeshi Hilo pia limethibitisha kumshikilia Binti huyo Kwa mustakabali mwema wa maisha yake na kuonya watu wanapenda kumtafuta yeye ama ndugu zake ili wamhoji