Umeona eeh??! Wanazunguka sana Mbuyu hawa polisi.MTUHUMIA NAMBA MOJA NI AFANDE WA KIKE ALIYEWATUMA, HUYO HAWEZI KUKIMBIA MKAMATENI NA YEYE ACHENI DOUBLE STANDARDs.
Wanakamata vidagaa wanamuacha afande mwenzao aliyewatuma.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeona eeh??! Wanazunguka sana Mbuyu hawa polisi.MTUHUMIA NAMBA MOJA NI AFANDE WA KIKE ALIYEWATUMA, HUYO HAWEZI KUKIMBIA MKAMATENI NA YEYE ACHENI DOUBLE STANDARDs.
Aliyewatuma ni mwanamke,na katika majina yaliyotajwa hapo hakuna la kike,hivyo ni wazi kuwa hajamatwaJina lake unalifahamu ? Umejuaje hajatajwa?
Serikali haiamini uchawiUnaweza kuta wapo kwa kalumanzira wanapata medicine.
Ila wanainchi wake wanaamini hivyo ndio maana vibao vya waganga wa kienyeji vimejaa kwenye nguzo za umeme.Serikali haiamini uchawi
Na idadi ya wanaume waliodaiwa kufanya kitendo hicho si ilisemekana ni watano mbona hapo wametajwa wanne tu na hakuna maelezo kuhusu huyo wa tano?Aliyewatuma ni mwanamke,na katika majina yaliyotajwa hapo hakuna la kike,hivyo ni wazi kuwa hajamatwa
Polisi hawahawa!?? Wawakamate wasiwaonyeshe .... hawahawa.., !?? .... Mshapigwa hapo....Hili jeshi la polisi sio poa kwa kukamata watu! Ww jifanye tu invincible utajikuta kituo cha polisi hutaamini.
Halafu inaonekana wale wendawazimu wamepanda mtumbwi wa vibwengo hadi majina yao yametajwa sio kawaida hapa naona watu wakila 50+ years in prison
Wajinga huwa hawaishi dunianiIla wanainchi wake wanaamini hivyo ndio maana vibao vya waganga wa kienyeji vimejaa kwenye nguzo za umeme.
Bila Kiki hutoboiMbona tangu majuzi walisema wamewakamata?
Kila siku wamewakamata, au nao police wanatafuta kiki?
wapwa wameteleza hao na mob psychology imewaponza,hivi nyakati hz zakwenda kufanya unyama kama ule,pole kwa wazazi wao kwani vijana wao wamewatukanisha badala ya kuwa kiigizo chema kwa jamii!Lema na Mushi kwenye ukatili mkubwa ule.
Hapana shangazi zangu mlikosea.
Wekeni picha
Leo siku ya 3 kila siku mada hiyo hiyo.Bila Kiki hutoboi