Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na tatizo watu huwa wakiandamana hujui wanataka niniNchi imeoza kila muovu anajificha kwenye CCM
Kwanini Mkuu?!Ni uongo na utapeli tupu
Haya mambo sijui Kwa nini yamekuwa hivi,Bora wafirane wakubwa sio Kwa Watoto kama hivi 👇👇Una akili kumbe
Hawa polisi siwaamini hata kidogo sababu ya record zao mbovuKwanini Mkuu?!
Form four ulipata D ngapi na F ngapi?!!Hii kari. CHADEMA na Rais wa TLS walituaminisha kuwa huyu alilawitiwa na kina Napena Makonda kule Gongo.la Mboto kumbe wala si Yombo Dovya. Kwa nini nao wasikamatwe kwa kusambaza chuki za kisiasa?
= wahalifuHii barua ndefu kuhusu ukanataji ni ya tatu ngoja tusubiri ingine maana waharifu wengine huwa tunaona wakiwa chini ya ulinzi hawa wengine mmeleta maelezo ya kutosha ngoja tuendelee kusubiri episode ya nne kuhusu ukamataji..
Hii jamii imeozaHaya mambo sijui Kwa nini yamekuwa hivi,Bora wafirane wakubwa sio Kwa Watoto kama hivi 👇👇
Kama wangekurupuka siku ile ya tukio tungesema huenda mambo ni yale yale ya KUBAMBIKIA lakini all in all tuiachie MAHAKAMA kama ikiwapata na HATIA au kuwaachia HURU ndio tuongee...Hawa polisi siwaamini hata kidogo sababu ya record zao mbovu
Swal lako gumu nani wakulijibu? Maanake huna Imani na mamlaka ya Uchunguzi. 🤣🤣 Safi umeanza kunusa harufu ya Chenga ya akili taratibu.Kwenye hiyo taarifa kuna mahali wameandika "Aidha uchunguzi umeibani tukio hilo limefanyika eneo la swaswa katika jiji la dodoma mwezi mei 2024"
Niulize, Wakuu hili tukio lilifanyika dodoma mwezi mei 2024?
Hao waliotusanua kuhusu hilo tukio nao wamekamatwa.ETI NI YA MEI 2024
Jina lake unalifahamu ? Umejuaje hajatajwa?Huyo afande aliyewatuma mbona hajatajwa.
Hao wahuni waliombaka huyo Binti walimuamuru amwombe afande msamaha
Inawezekana tukio lilifanyika mwezi may,ila video clips zikavuja mwezi huu. It's possible.Kwenye hiyo taarifa kuna mahali wameandika "Aidha uchunguzi umeibani tukio hilo limefanyika eneo la swaswa katika jiji la dodoma mwezi mei 2024"
Niulize, Wakuu hili tukio lilifanyika dodoma mwezi mei 2024?