Yaani ukitaja neno Chadema tayari ni kiashiria cha kuvunja amani. Lakini vishiria vya kina Hamza intelijensia haisomi.Viashiria Vya ugaidi au?! Sijaelewa bado..
Sema$/= no nouma.Sasa kama wajeda wanafinywa mbupu mpaka wanaita mamaaa nafwaa policcm ni nouma
Tatizo la kuajiriwa kwa kutumia vyeti vya watu wengine. Yaani RPC kabisa ana ongea kama mtu alie toka kwenye vilabu vya pombe za kienyejiPolisi wetu uelewa wao upo hivo msiwalaumu jamani.
virungu tu hahahasafi sana, ni vyema washughulikiwe ipasavyo, amani ya nchi sio ya kuchezewa.
waswahili husema;
"mtoto wa nyoka ni nyoka"
tayari walisha fundishwa vitendo viovu na viongozi wao, kama kiongozi wao anatuhumiwa kwa vitendo vya kihalifu sembuse wafuasi wake.
Au walikuwa wanataka kuchoma moto barakoa sorry barabara, halafu neno viashiria ni maalumu ka Chadema maana halitumiki kwa wanaccm.Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam kupitia kwa Kamanda wake, ACP Jumanne Murilo limekiri kuwashikilia wanachama wa BAWACHA..
Kwann mvae tishet zenye uchochezi!?Jeshi la Polisi Wilaya ya Kipolisi Kawe limemkamata mwanahabari Harlod Shemsanga wa MGAWE TV, pamoja na wanchama wa BAWACHA wakidaiwa kufanya mazoezi ya viungo(jogging) bila kibali.
Harlod alipojaribu kujitetea kuwa alikuwa katika majukumu yake bado polisi waliendelea kumshikilia https://t.co/MKuCnHmi4Z
View attachment 1960095
Jogging ni kuvunja amani?safi sana, ni vyema washughulikiwe ipasavyo, amani ya nchi sio ya kuchezewa.
vipo vya kuchezea, unaweza kuchezea; kitambi chako, kidevu chako lkn kamwe usijaribu kuchezea Amani ya nchi utashughulikiwa bila huruma.
waswahili husema;
"mtoto wa nyoka ni nyoka"
tayari walisha fundishwa vitendo viovu na viongozi wao, kama kiongozi wao anatuhumiwa kwa vitendo vya kihalifu sembuse wafuasi wake.
Haya yote ni matokeo ya Mwenyekiti muhalifu/Gaidi.
Ahaaa, acha uonevu.Kwann mvae tishet zenye uchochezi!?