Jeshi la Polisi lawashikiria wanachama BAWACHA walokuwa wanafanya mazoezi ya viungo (jogging)

Jeshi la Polisi lawashikiria wanachama BAWACHA walokuwa wanafanya mazoezi ya viungo (jogging)

safi sana, ni vyema washughulikiwe ipasavyo, amani ya nchi sio ya kuchezewa.
vipo vya kuchezea, unaweza kuchezea; kitambi chako, kidevu chako lkn kamwe usijaribu kuchezea Amani ya nchi utashughulikiwa bila huruma.
waswahili husema;
"mtoto wa nyoka ni nyoka"
tayari walisha fundishwa vitendo viovu na viongozi wao, kama kiongozi wao anatuhumiwa kwa vitendo vya kihalifu sembuse wafuasi wake.
Haya yote ni matokeo ya Mwenyekiti muhalifu/Gaidi.
wafuasi wa Mbowe sio wa kuwaamini hata kidogo, hawa watu ni washari, watukutu, wahuni, wahalifu,majambazi, wauza madawa n.k, yaani kuna mchanganyiko wa kila uovu.
yaani ni Genge la wahuni.
Pole. Povu nyingi sana umetoa. Ndiyo mwisho wako wa kufikiri? Naona zile lecture za Mzee Polepole hazijawasaidia bado
 
Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam kupitia kwa Kamanda wake, ACP Jumanne Murilo limekiri kuwashikilia wanachama wa BAWACHA waliokuwa wanafanya mazoezi ya viungo(jogging)
Jumanne tena , huyu Jumanne, Mahita jr, na Kingai wanaichukia sana CHADEMA .
Wametuua na kutupoteza sana, wametuteka na kututesa sana. Wamempiga Lissu risasi na tukapigwa risasi sana kwenye kampeni za uchaguzi.
 
safi sana, ni vyema washughulikiwe ipasavyo, amani ya nchi sio ya kuchezewa.
vipo vya kuchezea, unaweza kuchezea; kitambi chako, kidevu chako lkn kamwe usijaribu kuchezea Amani ya nchi utashughulikiwa bila huruma.
waswahili husema;
"mtoto wa nyoka ni nyoka"
tayari walisha fundishwa vitendo viovu na viongozi wao, kama kiongozi wao anatuhumiwa kwa vitendo vya kihalifu sembuse wafuasi wake.
Haya yote ni matokeo ya Mwenyekiti muhalifu/Gaidi.
Wamefanya nini???
 
safi sana, ni vyema washughulikiwe ipasavyo, amani ya nchi sio ya kuchezewa.
vipo vya kuchezea, unaweza kuchezea; kitambi chako, kidevu chako lkn kamwe usijaribu kuchezea Amani ya nchi utashughulikiwa bila huruma.
waswahili husema;
"mtoto wa nyoka ni nyoka"
tayari walisha fundishwa vitendo viovu na viongozi wao, kama kiongozi wao anatuhumiwa kwa vitendo vya kihalifu sembuse wafuasi wake.
Haya yote ni matokeo ya Mwenyekiti muhalifu/Gaidi.
Hata matako yako yanachezewa tu au vp
 
Wwe akili YAKO ipo sawa kweli?
safi sana, ni vyema washughulikiwe ipasavyo, amani ya nchi sio ya kuchezewa.
vipo vya kuchezea, unaweza kuchezea; kitambi chako, kidevu chako lkn kamwe usijaribu kuchezea Amani ya nchi utashughulikiwa bila huruma.
waswahili husema;
"mtoto wa nyoka ni nyoka"
tayari walisha fundishwa vitendo viovu na viongozi wao, kama kiongozi wao anatuhumiwa kwa vitendo vya kihalifu sembuse wafuasi wake.
Haya yote ni matokeo ya Mwenyekiti muhalifu/Gaidi.
 
Aliyeshika remote control ya PT anabadili channel balaa..wala hajali wenzie anaoangalia nao TV..
 
Tatizo la kuajiriwa kwa kutumia vyeti vya watu wengine. Yaani RPC kabisa ana ongea kama mtu alie toka kwenye vilabu vya pombe za kienyeji
Utafikiri ametoka msalani haja tawadha.....ana ugando...m.a.t....upuuzi
 
Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam kupitia kwa Kamanda wake, ACP Jumanne Murilo limekiri kuwashikilia wanachama wa BAWACHA waliokuwa wanafanya mazoezi ya viungo(jogging) na mwanahabari Harlod Shemsanga wa MGAWE TV.
"Walikuwa na viashiria venye kupelekea uvunjifu wa amani"

"Nimepokea taarifa ya watu waliokamatwa, walikuwa na viashiria vyenye kupelekea uvunjifu wa amani kwa kutengeneza hisia zenye mitizamo ya kisiasa kupitia kivuli cha mazoezi" amesema ACP Jumanne Murilo, Kamanda wa Polisi Kanda Maalum DSM akizungumzia kukamatwa kwa wanachama wa BAWACHA
🤣🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Hii nchi ni kama wanaishi enzi za mawe
 
Sasa kama wajeda wanafinywa mbupu mpaka wanaita mamaaa nafwaa policcm ni nouma
Kwamba.

"mama weeee.. nakufa huku polisi wataniua jamani eeh!"Alisikika mjeda mmoja akiangua kilio katika moja ya vituo vya polisi TZ[emoji1][emoji1].


Anyway! Ifike pahala mejeshi yetu yaache kutekeleza amri pasi na 'kureason'.Polisi kuweni na utu.
 
Jogging sio kuvunja amani ila kwa wafuasi wa Mbowe kulingana na rekodi zao hawa watu sio wa kuwaamini hata kidogo, wanatumia jogging kama mwamvuli wa kujifichia kumbe wanataka kutekeleza uhalifu...
Unaamini ulichoandika au unasukumwa na mapenzi ya chama?. Umeandika kana kwamba mbowe ameisha hukumiwa. Ikitokea akashinda kesi hiyo aibu mtaificha wapi? Fikiria kabla ya ku-comment
 
Back
Top Bottom