Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
Huko minara ikakata moto😆Yaani ukitaja neno Chadema tayari ni kiashiria cha kuvunja amani. Lakini vishiria vya kina Hamza intelijensia haisomi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko minara ikakata moto😆Yaani ukitaja neno Chadema tayari ni kiashiria cha kuvunja amani. Lakini vishiria vya kina Hamza intelijensia haisomi.
Pole. Povu nyingi sana umetoa. Ndiyo mwisho wako wa kufikiri? Naona zile lecture za Mzee Polepole hazijawasaidia badosafi sana, ni vyema washughulikiwe ipasavyo, amani ya nchi sio ya kuchezewa.
vipo vya kuchezea, unaweza kuchezea; kitambi chako, kidevu chako lkn kamwe usijaribu kuchezea Amani ya nchi utashughulikiwa bila huruma.
waswahili husema;
"mtoto wa nyoka ni nyoka"
tayari walisha fundishwa vitendo viovu na viongozi wao, kama kiongozi wao anatuhumiwa kwa vitendo vya kihalifu sembuse wafuasi wake.
Haya yote ni matokeo ya Mwenyekiti muhalifu/Gaidi.
wafuasi wa Mbowe sio wa kuwaamini hata kidogo, hawa watu ni washari, watukutu, wahuni, wahalifu,majambazi, wauza madawa n.k, yaani kuna mchanganyiko wa kila uovu.
yaani ni Genge la wahuni.
Jumanne tena , huyu Jumanne, Mahita jr, na Kingai wanaichukia sana CHADEMA .Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam kupitia kwa Kamanda wake, ACP Jumanne Murilo limekiri kuwashikilia wanachama wa BAWACHA waliokuwa wanafanya mazoezi ya viungo(jogging)
Wamefanya nini???safi sana, ni vyema washughulikiwe ipasavyo, amani ya nchi sio ya kuchezewa.
vipo vya kuchezea, unaweza kuchezea; kitambi chako, kidevu chako lkn kamwe usijaribu kuchezea Amani ya nchi utashughulikiwa bila huruma.
waswahili husema;
"mtoto wa nyoka ni nyoka"
tayari walisha fundishwa vitendo viovu na viongozi wao, kama kiongozi wao anatuhumiwa kwa vitendo vya kihalifu sembuse wafuasi wake.
Haya yote ni matokeo ya Mwenyekiti muhalifu/Gaidi.
Hata matako yako yanachezewa tu au vpsafi sana, ni vyema washughulikiwe ipasavyo, amani ya nchi sio ya kuchezewa.
vipo vya kuchezea, unaweza kuchezea; kitambi chako, kidevu chako lkn kamwe usijaribu kuchezea Amani ya nchi utashughulikiwa bila huruma.
waswahili husema;
"mtoto wa nyoka ni nyoka"
tayari walisha fundishwa vitendo viovu na viongozi wao, kama kiongozi wao anatuhumiwa kwa vitendo vya kihalifu sembuse wafuasi wake.
Haya yote ni matokeo ya Mwenyekiti muhalifu/Gaidi.
safi sana, ni vyema washughulikiwe ipasavyo, amani ya nchi sio ya kuchezewa.
vipo vya kuchezea, unaweza kuchezea; kitambi chako, kidevu chako lkn kamwe usijaribu kuchezea Amani ya nchi utashughulikiwa bila huruma.
waswahili husema;
"mtoto wa nyoka ni nyoka"
tayari walisha fundishwa vitendo viovu na viongozi wao, kama kiongozi wao anatuhumiwa kwa vitendo vya kihalifu sembuse wafuasi wake.
Haya yote ni matokeo ya Mwenyekiti muhalifu/Gaidi.
Utafikiri ametoka msalani haja tawadha.....ana ugando...m.a.t....upuuziTatizo la kuajiriwa kwa kutumia vyeti vya watu wengine. Yaani RPC kabisa ana ongea kama mtu alie toka kwenye vilabu vya pombe za kienyeji
Wanateuliwa watangazaji (sio waandishi wa habari), ma pisi Kali, walionunuliwa kwa Bei mbaya toka Chadema but NEVER from policcm.Wanataka teuzi
Ila wapate kwanza wazee wa PGO kinga &co.Wanataka teuzi
🤣🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Hii nchi ni kama wanaishi enzi za maweJeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam kupitia kwa Kamanda wake, ACP Jumanne Murilo limekiri kuwashikilia wanachama wa BAWACHA waliokuwa wanafanya mazoezi ya viungo(jogging) na mwanahabari Harlod Shemsanga wa MGAWE TV.
"Walikuwa na viashiria venye kupelekea uvunjifu wa amani"
"Nimepokea taarifa ya watu waliokamatwa, walikuwa na viashiria vyenye kupelekea uvunjifu wa amani kwa kutengeneza hisia zenye mitizamo ya kisiasa kupitia kivuli cha mazoezi" amesema ACP Jumanne Murilo, Kamanda wa Polisi Kanda Maalum DSM akizungumzia kukamatwa kwa wanachama wa BAWACHA
Hiyo ni area ya mzee wa PGO msisahau.🤣🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Hii nchi ni kama wanaishi enzi za mawe
Huyo kibatala wanamuogopa sanaWapelekeni mahakamani basi mkutane na kitu kinaitwa PGO kutoka kwa Kibatala.
Kwamba.Sasa kama wajeda wanafinywa mbupu mpaka wanaita mamaaa nafwaa policcm ni nouma
Hadi wameshikwa na kite wakiona vivuli vyao wenyewe imesha kuwa shida.Huyo kibatala wanamuogopa sana
Vp kuna shida?Hata kwa Magu ulikuwa mpole kama hivi?
Unaamini ulichoandika au unasukumwa na mapenzi ya chama?. Umeandika kana kwamba mbowe ameisha hukumiwa. Ikitokea akashinda kesi hiyo aibu mtaificha wapi? Fikiria kabla ya ku-commentJogging sio kuvunja amani ila kwa wafuasi wa Mbowe kulingana na rekodi zao hawa watu sio wa kuwaamini hata kidogo, wanatumia jogging kama mwamvuli wa kujifichia kumbe wanataka kutekeleza uhalifu...