Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 5,710
- 8,579
Kamanda kawaumbua apo ,uonevu wangu uko WAP!?Ahaaa, acha uonevu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamanda kawaumbua apo ,uonevu wangu uko WAP!?Ahaaa, acha uonevu.
Wew ni kamanda wa hivyo ,kwann mnaleta siasa!?Ahaaa, acha uonevu.
Jogging sio kuvunja amani ila kwa wafuasi wa Mbowe kulingana na rekodi zao hawa watu sio wa kuwaamini hata kidogo, wanatumia jogging kama mwamvuli wa kujifichia kumbe wanataka kutekeleza uhalifu.Jogging ni kuvunja amani?
Jeshi la Polisi Wilaya ya Kipolisi Kawe limemkamata mwanahabari Harlod Shemsanga wa MGAWE TV, pamoja na wanchama wa BAWACHA wakidaiwa kufanya mazoezi ya viungo(jogging) bila kibali.
Harlod alipojaribu kujitetea kuwa alikuwa katika majukumu yake bado polisi waliendelea kumshikilia https://t.co/MKuCnHmi4Z
View attachment 1960095
Umeenda Kanisani leo?safi sana, ni vyema washughulikiwe ipasavyo, amani ya nchi sio ya kuchezewa.
vipo vya kuchezea, unaweza kuchezea; kitambi chako, kidevu chako lkn kamwe usijaribu kuchezea Amani ya nchi utashughulikiwa bila huruma.
waswahili husema;
"mtoto wa nyoka ni nyoka"
tayari walisha fundishwa vitendo viovu na viongozi wao, kama kiongozi wao anatuhumiwa kwa vitendo vya kihalifu sembuse wafuasi wake.
Haya yote ni matokeo ya Mwenyekiti muhalifu/Gaidi.
wafuasi wa Mbowe sio wa kuwaamini hata kidogo, hawa watu ni washari, watukutu, wahuni, wahalifu,majambazi, wauza madawa n.k, yaani kuna mchanganyiko wa kila uovu.
yaani ni Genge la wahuni.
Umeenda Kanisani leosafi sana, ni vyema washughulikiwe ipasavyo, amani ya nchi sio ya kuchezewa.
vipo vya kuchezea, unaweza kuchezea; kitambi chako, kidevu chako lkn kamwe usijaribu kuchezea Amani ya nchi utashughulikiwa bila huruma.
waswahili husema;
"mtoto wa nyoka ni nyoka"
tayari walisha fundishwa vitendo viovu na viongozi wao, kama kiongozi wao anatuhumiwa kwa vitendo vya kihalifu sembuse wafuasi wake.
Haya yote ni matokeo ya Mwenyekiti muhalifu/Gaidi.
wafuasi wa Mbowe sio wa kuwaamini hata kidogo, hawa watu ni washari, watukutu, wahuni, wahalifu,majambazi, wauza madawa n.k, yaani kuna mchanganyiko wa kila uovu.
yaani ni Genge la wahuni.
Sawa mkuu,kuna siku furaha yako kwa mateso ya wengine itageuka kuwa huzuni!safi sana, ni vyema washughulikiwe ipasavyo, amani ya nchi sio ya kuchezewa.
vipo vya kuchezea, unaweza kuchezea; kitambi chako, kidevu chako lkn kamwe usijaribu kuchezea Amani ya nchi utashughulikiwa bila huruma.
waswahili husema;
"mtoto wa nyoka ni nyoka"
tayari walisha fundishwa vitendo viovu na viongozi wao, kama kiongozi wao anatuhumiwa kwa vitendo vya kihalifu sembuse wafuasi wake.
Haya yote ni matokeo ya Mwenyekiti muhalifu/Gaidi.
wafuasi wa Mbowe sio wa kuwaamini hata kidogo, hawa watu ni washari, watukutu, wahuni, wahalifu,majambazi, wauza madawa n.k, yaani kuna mchanganyiko wa kila uovu.
yaani ni Genge la wahuni.
Hii sijaipata, itakua imenipitaSasa kama wajeda wanafinywa mbupu mpaka wanaita mamaaa nafwaa policcm ni nouma
Walishawahi kufanya uhalifu wapi?Jogging sio kuvunja amani ila kwa wafuasi wa Mbowe kulingana na rekodi zao hawa watu sio wa kuwaamini hata kidogo, wanatumia jogging kama mwamvuli wa kujifichia kumbe wanataka kutekeleza uhalifu.
kama mwenyekiti wao aliweza kutumia chama kupanga mipango miovu dhidi ya nchi sembuse wafuasi wake.
hao ni majambazi, wahuni, wauza madawa yaani ni Genge la kihalifu.
Vyombo vyetu vya ulinzi na usalama tunawaomba wawe makini sana na hawa watu, hawaitakii nchi hii amani, tamaa yao na furaha yao ni kuona amani inatoweka, hawa jamaa lazima waangaliwe kwa ukaribu sana.
pia kila mpenda amani awe macho na hili genge na ikibidi tutoe taarifa.
Wanataka teuziPolisi nao ifikie wakati waache mambo ya kitoto.
Jogging ni kuvunja amani?
sio uhalifu, sema ugaidiWalishawahi kufanya uhalifu wapi?
Ndiyo maana ajira zao zimetakiwa div 4 & 0 . AhahahaaaJeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam kupitia kwa Kamanda wake, ACP Jumanne Murilo limekiri kuwashikilia wanachama wa BAWACHA waliokuwa wanafanya mazoezi ya viungo(jogging) na mwanahabari Harlod Shemsanga wa MGAWE TV.
"Walikuwa na viashiria venye kupelekea uvunjifu wa amani"
"Nimepokea taarifa ya watu waliokamatwa, walikuwa na viashiria vyenye kupelekea uvunjifu wa amani kwa kutengeneza hisia zenye mitizamo ya kisiasa kupitia kivuli cha mazoezi" amesema ACP Jumanne Murilo, Kamanda wa Polisi Kanda Maalum DSM akizungumzia kukamatwa kwa wanachama wa BAWACHA
Ndio,walishawahi kufanya huo ugaidi wapi?Kama imefikia hapo,kwanini basi isiwe rasmi CDM ikafutiwa usajili ili iujulikane moja!sio uhalifu, sema ugaidi
Baada ya misukosuko ya PGO huenda mazoezi ya ukamataji unaozingatia pgo umeanza,ila wasiogope hats vivuli vyao.Jeshi la Polisi Wilaya ya Kipolisi Kawe limemkamata mwanahabari Harlod Shemsanga wa MGAWE TV, pamoja na wanchama wa BAWACHA wakidaiwa kufanya mazoezi ya viungo(jogging) bila kibali.
Harlod alipojaribu kujitetea kuwa alikuwa katika majukumu yake bado polisi waliendelea kumshikilia https://t.co/MKuCnHmi4Z
View attachment 1960095
Misukule katika ubora,halisisio uhalifu, sema ugaidi
Kamanda Asiyechoka Ajira zao wanatakiwa div 4 & 0 usishangaeJeshi la Polisi Wilaya ya Kipolisi Kawe limemkamata mwanahabari Harlod Shemsanga wa MGAWE TV, pamoja na wanchama wa BAWACHA wakidaiwa kufanya mazoezi ya viungo(jogging) bila kibali.
Harlod alipojaribu kujitetea kuwa alikuwa katika majukumu yake bado polisi waliendelea kumshikilia https://t.co/MKuCnHmi4Z
View attachment 1960095