Jeshi la Polisi lawashikiria wanachama BAWACHA walokuwa wanafanya mazoezi ya viungo (jogging)

Jeshi la Polisi lawashikiria wanachama BAWACHA walokuwa wanafanya mazoezi ya viungo (jogging)

Jogging ni kuvunja amani?
Jogging sio kuvunja amani ila kwa wafuasi wa Mbowe kulingana na rekodi zao hawa watu sio wa kuwaamini hata kidogo, wanatumia jogging kama mwamvuli wa kujifichia kumbe wanataka kutekeleza uhalifu.
kama mwenyekiti wao aliweza kutumia chama kupanga mipango miovu dhidi ya nchi sembuse wafuasi wake.
hao ni majambazi, wahuni, wauza madawa yaani ni Genge la kihalifu.
Vyombo vyetu vya ulinzi na usalama tunawaomba wawe makini sana na hawa watu, hawaitakii nchi hii amani, tamaa yao na furaha yao ni kuona amani inatoweka, hawa jamaa lazima waangaliwe kwa ukaribu sana.
pia kila mpenda amani awe macho na hili genge na ikibidi tutoe taarifa.
 
Jeshi la Polisi Wilaya ya Kipolisi Kawe limemkamata mwanahabari Harlod Shemsanga wa MGAWE TV, pamoja na wanchama wa BAWACHA wakidaiwa kufanya mazoezi ya viungo(jogging) bila kibali.
Harlod alipojaribu kujitetea kuwa alikuwa katika majukumu yake bado polisi waliendelea kumshikilia https://t.co/MKuCnHmi4Z
View attachment 1960095

Kwa vile umetumwa, njiwa rudisha salamu:

IMG_20210930_170832_807.jpg
 
safi sana, ni vyema washughulikiwe ipasavyo, amani ya nchi sio ya kuchezewa.
vipo vya kuchezea, unaweza kuchezea; kitambi chako, kidevu chako lkn kamwe usijaribu kuchezea Amani ya nchi utashughulikiwa bila huruma.
waswahili husema;
"mtoto wa nyoka ni nyoka"
tayari walisha fundishwa vitendo viovu na viongozi wao, kama kiongozi wao anatuhumiwa kwa vitendo vya kihalifu sembuse wafuasi wake.
Haya yote ni matokeo ya Mwenyekiti muhalifu/Gaidi.
wafuasi wa Mbowe sio wa kuwaamini hata kidogo, hawa watu ni washari, watukutu, wahuni, wahalifu,majambazi, wauza madawa n.k, yaani kuna mchanganyiko wa kila uovu.
yaani ni Genge la wahuni.
Umeenda Kanisani leo?
 
safi sana, ni vyema washughulikiwe ipasavyo, amani ya nchi sio ya kuchezewa.
vipo vya kuchezea, unaweza kuchezea; kitambi chako, kidevu chako lkn kamwe usijaribu kuchezea Amani ya nchi utashughulikiwa bila huruma.
waswahili husema;
"mtoto wa nyoka ni nyoka"
tayari walisha fundishwa vitendo viovu na viongozi wao, kama kiongozi wao anatuhumiwa kwa vitendo vya kihalifu sembuse wafuasi wake.
Haya yote ni matokeo ya Mwenyekiti muhalifu/Gaidi.
wafuasi wa Mbowe sio wa kuwaamini hata kidogo, hawa watu ni washari, watukutu, wahuni, wahalifu,majambazi, wauza madawa n.k, yaani kuna mchanganyiko wa kila uovu.
yaani ni Genge la wahuni.
Umeenda Kanisani leo
 
safi sana, ni vyema washughulikiwe ipasavyo, amani ya nchi sio ya kuchezewa.
vipo vya kuchezea, unaweza kuchezea; kitambi chako, kidevu chako lkn kamwe usijaribu kuchezea Amani ya nchi utashughulikiwa bila huruma.
waswahili husema;
"mtoto wa nyoka ni nyoka"
tayari walisha fundishwa vitendo viovu na viongozi wao, kama kiongozi wao anatuhumiwa kwa vitendo vya kihalifu sembuse wafuasi wake.
Haya yote ni matokeo ya Mwenyekiti muhalifu/Gaidi.
wafuasi wa Mbowe sio wa kuwaamini hata kidogo, hawa watu ni washari, watukutu, wahuni, wahalifu,majambazi, wauza madawa n.k, yaani kuna mchanganyiko wa kila uovu.
yaani ni Genge la wahuni.
Sawa mkuu,kuna siku furaha yako kwa mateso ya wengine itageuka kuwa huzuni!
Ishi maisha yako kwa kumtakia kila mtu kheri,hutaumia!
Nways,Tanzania ni yetu sote!
 
Jogging sio kuvunja amani ila kwa wafuasi wa Mbowe kulingana na rekodi zao hawa watu sio wa kuwaamini hata kidogo, wanatumia jogging kama mwamvuli wa kujifichia kumbe wanataka kutekeleza uhalifu.
kama mwenyekiti wao aliweza kutumia chama kupanga mipango miovu dhidi ya nchi sembuse wafuasi wake.
hao ni majambazi, wahuni, wauza madawa yaani ni Genge la kihalifu.
Vyombo vyetu vya ulinzi na usalama tunawaomba wawe makini sana na hawa watu, hawaitakii nchi hii amani, tamaa yao na furaha yao ni kuona amani inatoweka, hawa jamaa lazima waangaliwe kwa ukaribu sana.
pia kila mpenda amani awe macho na hili genge na ikibidi tutoe taarifa.
Walishawahi kufanya uhalifu wapi?
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Jogging ni kuvunja amani?

acha ujinga, si kakimbie nani kakuzuia?

nyie kima ndio maana JPM hakuwa na muda wa kuongea na nyie...

haya kimbia sasa!! umezuiwa maana yake wewe ni weak, hauna chako, hauna nguvu, hauna unaloweza kufanya zaidi ya kuandika tu humu
 
Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam kupitia kwa Kamanda wake, ACP Jumanne Murilo limekiri kuwashikilia wanachama wa BAWACHA waliokuwa wanafanya mazoezi ya viungo(jogging) na mwanahabari Harlod Shemsanga wa MGAWE TV.
"Walikuwa na viashiria venye kupelekea uvunjifu wa amani"

"Nimepokea taarifa ya watu waliokamatwa, walikuwa na viashiria vyenye kupelekea uvunjifu wa amani kwa kutengeneza hisia zenye mitizamo ya kisiasa kupitia kivuli cha mazoezi" amesema ACP Jumanne Murilo, Kamanda wa Polisi Kanda Maalum DSM akizungumzia kukamatwa kwa wanachama wa BAWACHA
Ndiyo maana ajira zao zimetakiwa div 4 & 0 . Ahahahaaa
 
Jeshi la Polisi Wilaya ya Kipolisi Kawe limemkamata mwanahabari Harlod Shemsanga wa MGAWE TV, pamoja na wanchama wa BAWACHA wakidaiwa kufanya mazoezi ya viungo(jogging) bila kibali.
Harlod alipojaribu kujitetea kuwa alikuwa katika majukumu yake bado polisi waliendelea kumshikilia https://t.co/MKuCnHmi4Z
View attachment 1960095
Baada ya misukosuko ya PGO huenda mazoezi ya ukamataji unaozingatia pgo umeanza,ila wasiogope hats vivuli vyao.
 
Back
Top Bottom