Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
Wanafanya mazoezi ya kukamata kwa kutumia pgo.Kamanda Asiyechoka Ajira zao wanatakiwa div 4 & 0 usishangae
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanafanya mazoezi ya kukamata kwa kutumia pgo.Kamanda Asiyechoka Ajira zao wanatakiwa div 4 & 0 usishangae
Lazima chenga mingi mingiKamanda Asiyechoka Ajira zao wanatakiwa div 4 & 0 usishangae
Siku moja waweza na wewe kutamani wanajf wakutetee nchi hii haina mwenyewe ni wakati tusafi sana, ni vyema washughulikiwe ipasavyo, amani ya nchi sio ya kuchezewa.
vipo vya kuchezea, unaweza kuchezea; kitambi chako, kidevu chako lkn kamwe usijaribu kuchezea Amani ya nchi utashughulikiwa bila huruma.
waswahili husema;
"mtoto wa nyoka ni nyoka"
tayari walisha fundishwa vitendo viovu na viongozi wao, kama kiongozi wao anatuhumiwa kwa vitendo vya kihalifu sembuse wafuasi wake.
Haya yote ni matokeo ya Mwenyekiti muhalifu/Gaidi.
wafuasi wa Mbowe sio wa kuwaamini hata kidogo, hawa watu ni washari, watukutu, wahuni, wahalifu,majambazi, wauza madawa n.k, yaani kuna mchanganyiko wa kila uovu.
yaani ni Genge la wahuni.
Yeye anashida gani,anayo ziro yake na uhakika wa ajira. Kwanini asiongee upupu.Siku moja waweza na wewe kutamani wanajf wakutetee nchi hii haina mwenyewe ni wakati tu
Haja dhalilishwa,sema baada ya kujidhalilisha,pamoja na wenzie.Tokea Kibatala amemdhalilisha Kingai mahakamani,polisi wameamua kula sahani moja na Chadema.
Ulitaka wavae suti? Unaogopa maneno kwenye fulani wakati wewe mwenyewe ukikimbia unaimba " mchakamchaka CHINJA". Hauoni hapo unahimiza watu wachinjwe?Kwann mvae tishet zenye uchochezi!?
Kwan wakati naimba hizo kuchinjana zilikuwepo nyakati izo !?Ulitaka wavae suti? Unaogopa maneno kwenye fulani wakati wewe mwenyewe ukikimbia unaimba " mchakamchaka CHINJA". Hauoni hapo unahimiza watu wachinjwe?
Amandla...
Sina maneno ya kwenye kanga ,ngozi yangu inatosha kujigambaUlitaka wavae suti? Unaogopa maneno kwenye fulani wakati wewe mwenyewe ukikimbia unaimba " mchakamchaka CHINJA". Hauoni hapo unahimiza watu wachinjwe?
Amandla...
Wanaume mnaandka tishet kam mashostiHii ngoma Polisi wa CCM wanajiona wako juu ila kiuhalisia wanachezeshwa ngoma wasioijua
Endleeni kuvaa kanga kam mashauz vikoba fcUlitaka wavae suti? Unaogopa maneno kwenye fulani wakati wewe mwenyewe ukikimbia unaimba " mchakamchaka CHINJA". Hauoni hapo unahimiza watu wachinjwe?
Amandla...
mwanangu umetiririka kama vile kingai akikwema maswali ya pgo! Tenden haki bhana nchi yetu soteJogging sio kuvunja amani ila kwa wafuasi wa Mbowe kulingana na rekodi zao hawa watu sio wa kuwaamini hata kidogo, wanatumia jogging kama mwamvuli wa kujifichia kumbe wanataka kutekeleza uhalifu.
kama mwenyekiti wao aliweza kutumia chama kupanga mipango miovu dhidi ya nchi sembuse wafuasi wake.
hao ni majambazi, wahuni, wauza madawa yaani ni Genge la kihalifu.
Vyombo vyetu vya ulinzi na usalama tunawaomba wawe makini sana na hawa watu, hawaitakii nchi hii amani, tamaa yao na furaha yao ni kuona amani inatoweka, hawa jamaa lazima waangaliwe kwa ukaribu sana.
pia kila mpenda amani awe macho na hili genge na ikibidi tutoe taarifa.
Hata kwa Magu ulikuwa mpole kama hivi?Sawa mkuu,kuna siku furaha yako kwa mateso ya wengine itageuka kuwa huzuni!
Ishi maisha yako kwa kumtakia kila mtu kheri,hutaumia!
Nways,Tanzania ni yetu sote!
Hebu kisome ulichokiandika Mkuu kirudie tena huenda una pombe kichwani hujielewi..safi sana, ni vyema washughulikiwe ipasavyo, amani ya nchi sio ya kuchezewa.
vipo vya kuchezea, unaweza kuchezea; kitambi chako, kidevu chako lkn kamwe usijaribu kuchezea Amani ya nchi utashughulikiwa bila huruma.
waswahili husema;
"mtoto wa nyoka ni nyoka"
tayari walisha fundishwa vitendo viovu na viongozi wao, kama kiongozi wao anatuhumiwa kwa vitendo vya kihalifu sembuse wafuasi wake.
Haya yote ni matokeo ya Mwenyekiti muhalifu/Gaidi.
wafuasi wa Mbowe sio wa kuwaamini hata kidogo, hawa watu ni washari, watukutu, wahuni, wahalifu,majambazi, wauza madawa n.k, yaani kuna mchanganyiko wa kila uovu.
yaani ni Genge la wahuni.
Endleeni kuvaa kanga kam mashauz vikoba fc