Jeshi la Polisi lawashikiria wanachama BAWACHA walokuwa wanafanya mazoezi ya viungo (jogging)

Jeshi la Polisi lawashikiria wanachama BAWACHA walokuwa wanafanya mazoezi ya viungo (jogging)

safi sana, ni vyema washughulikiwe ipasavyo, amani ya nchi sio ya kuchezewa.
vipo vya kuchezea, unaweza kuchezea; kitambi chako, kidevu chako lkn kamwe usijaribu kuchezea Amani ya nchi utashughulikiwa bila huruma.
waswahili husema;
"mtoto wa nyoka ni nyoka"
tayari walisha fundishwa vitendo viovu na viongozi wao, kama kiongozi wao anatuhumiwa kwa vitendo vya kihalifu sembuse wafuasi wake.
Haya yote ni matokeo ya Mwenyekiti muhalifu/Gaidi.
wafuasi wa Mbowe sio wa kuwaamini hata kidogo, hawa watu ni washari, watukutu, wahuni, wahalifu,majambazi, wauza madawa n.k, yaani kuna mchanganyiko wa kila uovu.
yaani ni Genge la wahuni.
Siku moja waweza na wewe kutamani wanajf wakutetee nchi hii haina mwenyewe ni wakati tu
 
Tokea Kibatala amemdhalilisha Kingai mahakamani,polisi wameamua kula sahani moja na Chadema.
 
Ni ufinyu wa akili...
Na mawazo mgando vikiongozwa na kujipendekeza
 
Ulitaka wavae suti? Unaogopa maneno kwenye fulani wakati wewe mwenyewe ukikimbia unaimba " mchakamchaka CHINJA". Hauoni hapo unahimiza watu wachinjwe?

Amandla...
Kwan wakati naimba hizo kuchinjana zilikuwepo nyakati izo !?
 
Hii ngoma Polisi wa CCM wanajiona wako juu ila kiuhalisia wanachezeshwa ngoma wasioijua
 
Ulitaka wavae suti? Unaogopa maneno kwenye fulani wakati wewe mwenyewe ukikimbia unaimba " mchakamchaka CHINJA". Hauoni hapo unahimiza watu wachinjwe?

Amandla...
Sina maneno ya kwenye kanga ,ngozi yangu inatosha kujigamba
 
Ulitaka wavae suti? Unaogopa maneno kwenye fulani wakati wewe mwenyewe ukikimbia unaimba " mchakamchaka CHINJA". Hauoni hapo unahimiza watu wachinjwe?

Amandla...
Endleeni kuvaa kanga kam mashauz vikoba fc
 
Jogging sio kuvunja amani ila kwa wafuasi wa Mbowe kulingana na rekodi zao hawa watu sio wa kuwaamini hata kidogo, wanatumia jogging kama mwamvuli wa kujifichia kumbe wanataka kutekeleza uhalifu.
kama mwenyekiti wao aliweza kutumia chama kupanga mipango miovu dhidi ya nchi sembuse wafuasi wake.
hao ni majambazi, wahuni, wauza madawa yaani ni Genge la kihalifu.
Vyombo vyetu vya ulinzi na usalama tunawaomba wawe makini sana na hawa watu, hawaitakii nchi hii amani, tamaa yao na furaha yao ni kuona amani inatoweka, hawa jamaa lazima waangaliwe kwa ukaribu sana.
pia kila mpenda amani awe macho na hili genge na ikibidi tutoe taarifa.
mwanangu umetiririka kama vile kingai akikwema maswali ya pgo! Tenden haki bhana nchi yetu sote
 
Nadhani polisi wao na agenda ya siri.
Wanataka kumvurugia Mh. Rais. Yaani vitu wanavyo fanya ni aibu sana. Mh. Rais anatakiwa kuwa makini sana na Siro. Kuna kitu sio bure.
 
Sawa mkuu,kuna siku furaha yako kwa mateso ya wengine itageuka kuwa huzuni!
Ishi maisha yako kwa kumtakia kila mtu kheri,hutaumia!
Nways,Tanzania ni yetu sote!
Hata kwa Magu ulikuwa mpole kama hivi?
 
safi sana, ni vyema washughulikiwe ipasavyo, amani ya nchi sio ya kuchezewa.
vipo vya kuchezea, unaweza kuchezea; kitambi chako, kidevu chako lkn kamwe usijaribu kuchezea Amani ya nchi utashughulikiwa bila huruma.
waswahili husema;
"mtoto wa nyoka ni nyoka"
tayari walisha fundishwa vitendo viovu na viongozi wao, kama kiongozi wao anatuhumiwa kwa vitendo vya kihalifu sembuse wafuasi wake.
Haya yote ni matokeo ya Mwenyekiti muhalifu/Gaidi.
wafuasi wa Mbowe sio wa kuwaamini hata kidogo, hawa watu ni washari, watukutu, wahuni, wahalifu,majambazi, wauza madawa n.k, yaani kuna mchanganyiko wa kila uovu.
yaani ni Genge la wahuni.
Hebu kisome ulichokiandika Mkuu kirudie tena huenda una pombe kichwani hujielewi..
 
Back
Top Bottom