Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Heshimu jeshi lako, ndilo linakulinda na kufanya uishi kwa amaniHii ndiyo Taarifa waliyoisambaza usiku huu , sasa ni dhahiri Jeshi la polisi linapaswa kuvunjwa na kuunda upya ama IGP afukuzwe kazi
View attachment 1911792
USA pamoja na Ugaidi wa kweli uliofanyika Kabul bado wanaendelea na kazi waliyoianza , ndio iwe suala la Hamza ?
Huna hojaHeshimu jeshi lako, ndilo linakulinda na kufanya uishi kwa amani
Chicken head. Weledi tupa kule, hapa siasa tuHii ndiyo Taarifa waliyoisambaza usiku huu , sasa ni dhahiri Jeshi la polisi linapaswa kuvunjwa na kuunda upya ama IGP afukuzwe kazi
View attachment 1911792
USA pamoja na Ugaidi wa kweli uliofanyika Kabul bado wanaendelea na kazi waliyoianza , ndio iwe suala la Hamza ?
Hoja zipo kwenye barua, kongamano fanyieni mitandaoniHuna hoja
Wananchi siku hizi wako vizuri sana Kumbe na Barua mliandika?? huu ni ushahidi muhimu sana. Ngoja tusubiri mwezi uishe hali ikiwa shwari matishio yakiwa yamepungua tutaona watasemaje.Hii ndiyo Taarifa waliyoisambaza usiku huu , sasa ni dhahiri Jeshi la polisi linapaswa kuvunjwa na kuunda upya ama IGP afukuzwe kazi
View attachment 1911792
USA pamoja na Ugaidi wa kweli uliofanyika Kabul bado wanaendelea na kazi waliyoianza , ndio iwe suala la Hamza ?
hivi kudai katiba mpya ni jambo baya? maana sielewi hii mambo inayofanyika na hili jeshiHii ndiyo Taarifa waliyoisambaza usiku huu , sasa ni dhahiri Jeshi la polisi linapaswa kuvunjwa na kuunda upya ama IGP afukuzwe kazi
View attachment 1911792
USA pamoja na Ugaidi wa kweli uliofanyika Kabul bado wanaendelea na kazi waliyoianza , ndio iwe suala la Hamza ?
Wala rushwa na vibaka waliorasimishwa ndio wanatufanya tuishi kwa amani? Acha utani dogo.Heshimu jeshi lako, ndilo linakulinda na kufanya uishi kwa amani
Hakuna matishioWananchi siku hizi wako vizuri sana Kumbe na Barua mliandika?? huu ni ushahidi muhimu sana. Ngoja tusubiri mwezi uishe hali ikiwa shwari matishio yakiwa yamepungua tutaona watasemaje.
Tutaendelea kuomba nafasi kadri iwezekanavyo.
Hii ndiyo Taarifa waliyoisambaza usiku huu , sasa ni dhahiri Jeshi la polisi linapaswa kuvunjwa na kuunda upya ama IGP afukuzwe kazi
View attachment 1911792
USA pamoja na Ugaidi wa kweli uliofanyika Kabul bado wanaendelea na kazi waliyoianza , ndio iwe suala la Hamza ?
Dawa yao ni hii tuuWala rushwa na vibaka waliorasimishwa ndio wanatufanya tuishi kwa amani? Acha utani dogo.
Kumfuata Simba na kumshika kende zake sio ushujaa na kufunga mlango kwa komeo usiku sio uoga bali kujilinda. Lema kawaepuka wauaji wake wasiojulikana kwa kuondoka na huo sio woga ila kujilindaLema, anasema uoga ni dhambi ya milele wakati yeye kakimbia yuko uhamishoni na watoto wake na mkewe daah.