Jeshi la Polisi lazuia kongamano la wananchi la katiba lililokuwa lifanyike Dar es Salaam

Jeshi la Polisi lazuia kongamano la wananchi la katiba lililokuwa lifanyike Dar es Salaam

Heshimu jeshi lako, ndilo linakulinda na kufanya uishi kwa amani
Kwani Uvunjifu wa Amani hauwezi kutokea huko katika Tamasha kubwa la Yanga SC hiyo Kesho?

Kuna Watu ni Wapumbavu hadi mnaboa. Sababu hii ya Police ni ya Kitoto na nashangaa mnaitetea.

Uzee wa IGP Sirro umeanza sasa kuathiri hadi Ubongo wake na ameshaanza kuliharibu Jeshi.

Ningewaona Police wana Akili kama wangelisitisha pia na Tamasha hilo la Yanga SC linalofanyika Kesho.

Yaani unazuia Kongamano la Watu 1,000 na unaliachia Tukio la Watu 60,000. Kwanini msiitwe Wapumbavu?
 
Kama kawaida yake Polisi ya Simon Sirro imeamua kupambana na haki za kikatiba za wananchi za kujadili mustakbali wa nchi yao. Sijui Sirro anapata faida gani kwenye ubabe huu na uonevu huu dhidi ya wananchi.

 
Kama kawaida yake Polisi ya Simon Sirro imeamua kupambana na haki za kikatiba za wananchi za kujadili mustakbali wa nchi yao. Sijui Sirro anapata faida gani kwenye ubabe huu na uonevu huu dhidi ya wananchi.


Ndicho wanachokiweza, akija Hamza wanasanda.
Kunakosa gani watu kujadili maswali yao ya kitaifa. Hili jamaa huko liendapo linaenda kuwa lichawi.
Yaani Polisi wanajivika jukumu la kudhibiti mawazo ya watu na mijadala ya watu kuhusu mustakabali wa Taifa lao???
 
Kama kawaida yake Polisi ya Simon Sirro imeamua kupambana na haki za kikatiba za wananchi za kujadili mustakbali wa nchi yao. Sijui Sirro anapata faida gani kwenye ubabe huu na uonevu huu dhidi ya wananchi.


Wafaidika wa matendo hata ya Polisi wapo Magogoni na Lumumba.Haiwezekani Mkuu anashupalia kuzuia Wananchi kukutana kinyume na Job description yake,waliomweka hapo wala hawaoni anawaharibia in long run.
Guilty are afraid.
 
Hii ndiyo Taarifa waliyoisambaza usiku huu , sasa ni dhahiri Jeshi la polisi linapaswa kuvunjwa na kuunda upya ama IGP afukuzwe kazi

View attachment 1911792

USA pamoja na Ugaidi wa kweli uliofanyika Kabul bado wanaendelea na kazi waliyoianza , ndio iwe suala la Hamza ?
Halafu hawa wenye vikongamano,wakati wa JPM walikuwa wanashinda uvunguni mwa vitanda vyao ,wakiwajampia wanawake zao.Sasa wameona yupo mama ,wanaleta vikongamano uchwara.
 
Hii ndiyo Taarifa waliyoisambaza usiku huu , sasa ni dhahiri Jeshi la polisi linapaswa kuvunjwa na kuunda upya ama IGP afukuzwe kazi

View attachment 1911792

USA pamoja na Ugaidi wa kweli uliofanyika Kabul bado wanaendelea na kazi waliyoianza , ndio iwe suala la Hamza ?
Bila jeshi la polisi usingeweza hata kuandika andiko lako hili...tambua this country is protected
 
Nchi nyingine wafadhili ni bora wakafuata mfano wa Denmark kuliko kusaidia nchi yenye viongozi wa aina hii.
 
Police na ccm wanalindana wote awataki katiba mpya itawabana kuwaonea wananchi
 
Lema, anasema uoga ni dhambi ya milele wakati yeye kakimbia yuko uhamishoni na watoto wake na mkewe daah.
Sasa akifa lema au lisu nani ataliamsha,hata Yesu alikimbia akarudi kuwakomboa
 
8860003675.jpg
 
Kuna utofauti kati ya jeshi la polisi na takataka za Pugu Dampo.
Kama kuna mtu anabisha basi aje atoe ulinganifu wa vitu hivyo viwili.
 
Kwani Uvunjifu wa Amani hauwezi kutokea huko katika Tamasha kubwa la Yanga SC hiyo Kesho?

Kuna Watu ni Wapumbavu hadi mnaboa. Sababu hii ya Police ni ya Kitoto na nashangaa mnaitetea.

Uzee wa IGP Sirro umeanza sasa kuathiri hadi Ubongo wake na ameshaanza kuliharibu Jeshi.

Ningewaona Police wana Akili kama wangelisitisha pia na Tamasha hilo la Yanga SC linalofanyika Kesho.

Yaani unazuia Kongamano la Watu 1,000 na unaliachia Tukio la Watu 60,000. Kwanini msiitwe Wapumbavu?
'Viongozi vipofu, wenye kuchuja mbu na kumeza ngamia'. Mathayo 23:24
 
Hii ndiyo Taarifa waliyoisambaza usiku huu, sasa ni dhahiri Jeshi la polisi linapaswa kuvunjwa na kuunda upya ama IGP afukuzwe kazi.

View attachment 1911792

USA pamoja na Ugaidi wa kweli uliofanyika Kabul bado wanaendelea na kazi waliyoianza , ndio iwe suala la Hamza ?
Kongamano lipo palepale ama mmekubaliana na katazo la polisi?
 
Back
Top Bottom