Ataenda "KUFUNGWA LOCK UP MOJA" na "WAGONJWA WA COVID-19". Hii serikali ya jiwe ni ya kinyama sana.
Ni haki kabisa alijiona yeye ni malaika, akawaambia watu fulani "WATAISHI KAMA MASHETANI", sasa damu zilizomwagika kwa mikono yake mungu kamgeuza yeye ndio "ANAISHI KAMA SHETANI" (Anaishi kwa kujificha, hana rafiki, muongo kupindukia, kila miradi anayofanya inakwama, kila anachokigusa kwa mikono yake kinaharibika na kinalaanika, dunia inamchukia kama shetani, taifa linamchukia, nchi za SADC na EAC wanamuona kama shetani/adui mkubwa kuliko umasikini).
Mungu endelea kumnyoosha mpaka mke na watoto wake wamchukie, apate na maambukizi ya Covid-19 ili ajue watu wanavyoteseka.