Umeyavagaa Mwenyewe, mjini hapa sio Kila unalo liona lazima ulilete hapa JF, ishu imekaa ki-"Facebook" ndio maana unatolewa Mapovu.. [emoji23][emoji23]sasa mbona mnanishambulia utafikiri mi ndo nimekunywa hiyo Juice wakuu[emoji23][emoji23][emoji23]mki nimeandika kwa sababu nimeshuhudia wengi wakitapeliwa na pengine wengi wao wanaweza kuwa wageni wa jiji pia hii ni alert kwa wengine wasiingie mkenge
sasa naona watu mmenimaindi
haya karibuni juice na nyie basi[emoji23][emoji23]
wasukuma tunaonewa sana nchi hiiUmeyavagaa Mwenyewe, mjini hapa sio Kila unalo liona lazima ulilete hapa JF, ishu imekaa ki-"Facebook" ndio maana unatolewa Mapovu.. [emoji23][emoji23]
Hiyo tabia ya kula ovyo hovyo mitaani emeitoa wapi?
Yaani unishobokee sikujui unipe juice niipokee?
Punguza njaa mambo mengine ni ujinga tu
leo kila mtu humu halagi njiani,basi haina noma,fresh.Hiyo tabia ya kula ovyo hovyo mitaani emeitoa wapi?
Yaani unishobokee sikujui unipe juice niipokee?
Punguza njaa mambo mengine ni ujinga tu!
Inategemea unakula vya kuhongwahongwa njiani au vya kujinunulia!leo kila mtu humu halagi njiani,basi haina noma,fresh.
Hili limewahi kunipata,ila kwa kuwa si mlaji hovyo jamaa tuliachana kwa amani tu,hata juice yake chafu sikunywa;Habari wana JF, kuna huu wizi sijui niite utapeli ambao binafsi nimeanza kuushuhudia tangu mwaka 2022 kwa maeneo ya Kariakoo na kila mara nikipita eneo hilo nakuta huo wizi unaendelea utapeli wenyewe unafanywa na jamaa wauza juice ya miwa mitaa ya karume mbele ya TBL(Tanzania Breweries Limited)
Wizi unafanyika kama ifuatavyo
Muuza juice atakuita na kujifanya amekufananisha kisha atakuuliza ''Vipi mzee daah kitambo sana mwanangu, vipi siku hizi wapi?''
Wewe utajibu labda nipo Magomeni siku hizi
Muuza juice: Anhaa ndo maana kule kitaa sikuoni siku hizi
wewe: Wapi?Kule kitunda au?
Basi hapo ndo utakuwa umeyavagaa jamaa atajifanya kukujua sana atakuuliza kuhusu story za vipi wale jamaa wanaopiga matizi uwanjani pale bado wapo?
Actually hakuna sehemu ambayo haina uwanja wa mpira so yote kwa yote jamaa atakuwa amekuteka akili kwa kujifanya anakujua sema ni vile tu umemsahau
Kinachofuatia jamaa atakumiminia juice " karibu juice kaka"
Ukimaliza kunywa tu hiyo juice jamaa anakubadilikia na kuanza kukudai hela ya Juice
ukishindwa kulipa atakukaba, atakupiga hata kukuumiza.
Wahanga wakubwa wa haya matukio ni wale wa kuja lakini hata kama born town unaweza kujikuta umeingia mkenge vile vile
Kinachonifikirisha ni kuwa Kituo cha polisi Gerezani hakipo mbali na hapo Karume na pia maeneo ya China Plaza, hawa jamaa hawajanusa taarifa za huu ushenzi kweli?au kuna mgao, maana hawa jamaa wanafanya hii michezo kuanzia asubuhi hadi jioni tangu 2022 nimewaona hadi leo 2024 wapo.
Picha mojawapo ya mhuhusika wa hiyo michezo ni hiyo hapo huyo muuza juice na hapo alikuwa anamuingiza mkenge jamaa.
View attachment 2925320View attachment 2925321
Kwa jinsi unga ulivyo adimu( pongezi kama tume ya kuzuia madawa) then wakuwekee unga kumbe umebakiza nauli ya kigogo mburahati... Wanakuwekea piriton kupunguza gharama za uendeahaji wa utapeli wao.Unasimamishwaje na mtu usiyemjua, usiyejua nia yake na kuongea naye kwa muda wote huo?
Kibaya zaidi, unakunywa vipi juisi yake kirahisi hivyo? Akikuwekea dawa za kukulevya na kukufanya kitu kibaya je?
Dawa za kulevya si lazima ziwe unga.Kwa jinsi unga ulivyo adimu( pongezi kama tume ya kuzuia madawa) then wakuwekee unga kumbe umebakiza nauli ya kigogo mburahati... Wanakuwekea piriton kupunguza gharama za uendeahaji wa utapeli wao.
Matepeli kiboko ni wale wanaonusa kuwa umetoka kuchukua mzigo wa kustaafu maeneo ya mlimani city.
Na ukanywa juisi ya kupewaEneo hatari kama kariakoo unaweza kufananishwa na mtu ukamsikiliza kweli achilia mbali kunywa kitu ukiwekewa sumu.
Upewe juis njiani unywe?leo kila mtu humu halagi njiani,basi haina noma,fresh.