kwani ilikuwa lazima utukane wewe tajiri mkopeshaji?Kila jambo mnataka mamlaka ziwasaidie like B.O.T wakat pesa ulienda kopa mwenyewe,sijui polisi wakat ulisimama mwenyewe na kuongea na mtu usijemjua na juice unapokea...nk kichwan humo hamna ubongo wa kupambanua mambo white ni ipi na black ni ipi...
Endeleeni subiria wengine watatue matatizo yenu wakat na wao Wana matatizo Yao.
Hawana kosa hyo ni mbinu ya kibiasharakwa hiyo hawa jamaa hawana kosa au vipi
Hapo wizi uko wapi? Yaani unywe juice ya watu tena inayouzwa halafu ukatae kulipa?Habari wana JF,
Kuna huu wizi sijui niite utapeli ambao binafsi nimeanza kuushuhudia tangu mwaka 2022 kwa maeneo ya Kariakoo na kila mara nikipita eneo hilo nakuta huo wizi unaendelea utapeli wenyewe unafanywa na jamaa wauza juice ya miwa mitaa ya karume mbele ya TBL (Tanzania Breweries Limited)
Wizi unafanyika kama ifuatavyo:
Muuza juice atakuita na kujifanya amekufananisha kisha atakuuliza ''Vipi mzee daah kitambo sana mwanangu, vipi siku hizi wapi?''
Wewe utajibu labda nipo Magomeni siku hizi.
Muuza juice: Anhaa ndiyo maana kule kitaa sikuoni siku hizi.
Wewe: Wapi? Kule kitunda au?
Basi hapo ndo utakuwa umeyavagaa jamaa atajifanya kukujua sana atakuuliza kuhusu story za vipi wale jamaa wanaopiga matizi uwanjani pale bado wapo?
Actually hakuna sehemu ambayo haina uwanja wa mpira so yote kwa yote jamaa atakuwa amekuteka akili kwa kujifanya anakujua sema ni vile tu umemsahau
Kinachofuatia jamaa atakumiminia juice " karibu juice kaka".
Ukimaliza kunywa tu hiyo juice jamaa anakubadilikia na kuanza kukudai hela ya Juice.
ukishindwa kulipa atakukaba, atakupiga hata kukuumiza.
Wahanga wakubwa wa haya matukio ni wale wa kuja lakini hata kama born town unaweza kujikuta umeingia mkenge vile vile
Kinachonifikirisha ni kuwa Kituo cha polisi Gerezani hakipo mbali na hapo Karume na pia maeneo ya China Plaza, hawa jamaa hawajanusa taarifa za huu ushenzi kweli? Au kuna mgawo, maana hawa jamaa wanafanya hii michezo kuanzia asubuhi hadi jioni tangu 2022 nimewaona hadi leo 2024 wapo.
Picha mojawapo ya mhuhusika wa hiyo michezo ni hiyo hapo huyo muuza juice na hapo alikuwa anamuingiza mkenge jamaa.
Huo wizi uko wapi hapo? Unywe juice ya watu tena sehemu ya biashara halafu usilipe?Habari wana JF,
Kuna huu wizi sijui niite utapeli ambao binafsi nimeanza kuushuhudia tangu mwaka 2022 kwa maeneo ya Kariakoo na kila mara nikipita eneo hilo nakuta huo wizi unaendelea utapeli wenyewe unafanywa na jamaa wauza juice ya miwa mitaa ya karume mbele ya TBL (Tanzania Breweries Limited)
Wizi unafanyika kama ifuatavyo:
Muuza juice atakuita na kujifanya amekufananisha kisha atakuuliza ''Vipi mzee daah kitambo sana mwanangu, vipi siku hizi wapi?''
Wewe utajibu labda nipo Magomeni siku hizi.
Muuza juice: Anhaa ndiyo maana kule kitaa sikuoni siku hizi.
Wewe: Wapi? Kule kitunda au?
Basi hapo ndo utakuwa umeyavagaa jamaa atajifanya kukujua sana atakuuliza kuhusu story za vipi wale jamaa wanaopiga matizi uwanjani pale bado wapo?
Actually hakuna sehemu ambayo haina uwanja wa mpira so yote kwa yote jamaa atakuwa amekuteka akili kwa kujifanya anakujua sema ni vile tu umemsahau
Kinachofuatia jamaa atakumiminia juice " karibu juice kaka".
Ukimaliza kunywa tu hiyo juice jamaa anakubadilikia na kuanza kukudai hela ya Juice.
ukishindwa kulipa atakukaba, atakupiga hata kukuumiza.
Wahanga wakubwa wa haya matukio ni wale wa kuja lakini hata kama born town unaweza kujikuta umeingia mkenge vile vile
Kinachonifikirisha ni kuwa Kituo cha polisi Gerezani hakipo mbali na hapo Karume na pia maeneo ya China Plaza, hawa jamaa hawajanusa taarifa za huu ushenzi kweli? Au kuna mgawo, maana hawa jamaa wanafanya hii michezo kuanzia asubuhi hadi jioni tangu 2022 nimewaona hadi leo 2024 wapo.
Picha mojawapo ya mhuhusika wa hiyo michezo ni hiyo hapo huyo muuza juice na hapo alikuwa anamuingiza mkenge jamaa.
Slogan yetu ni ile ile, hakuna cha bure. Ukiishi kwenye slogan hiyo basi utakuwa salama.Habari wana JF,
Kuna huu wizi sijui niite utapeli ambao binafsi nimeanza kuushuhudia tangu mwaka 2022 kwa maeneo ya Kariakoo na kila mara nikipita eneo hilo nakuta huo wizi unaendelea utapeli wenyewe unafanywa na jamaa wauza juice ya miwa mitaa ya karume mbele ya TBL (Tanzania Breweries Limited)
Wizi unafanyika kama ifuatavyo:
Muuza juice atakuita na kujifanya amekufananisha kisha atakuuliza ''Vipi mzee daah kitambo sana mwanangu, vipi siku hizi wapi?''
Wewe utajibu labda nipo Magomeni siku hizi.
Muuza juice: Anhaa ndiyo maana kule kitaa sikuoni siku hizi.
Wewe: Wapi? Kule kitunda au?
Basi hapo ndo utakuwa umeyavagaa jamaa atajifanya kukujua sana atakuuliza kuhusu story za vipi wale jamaa wanaopiga matizi uwanjani pale bado wapo?
Actually hakuna sehemu ambayo haina uwanja wa mpira so yote kwa yote jamaa atakuwa amekuteka akili kwa kujifanya anakujua sema ni vile tu umemsahau
Kinachofuatia jamaa atakumiminia juice " karibu juice kaka".
Ukimaliza kunywa tu hiyo juice jamaa anakubadilikia na kuanza kukudai hela ya Juice.
ukishindwa kulipa atakukaba, atakupiga hata kukuumiza.
Wahanga wakubwa wa haya matukio ni wale wa kuja lakini hata kama born town unaweza kujikuta umeingia mkenge vile vile
Kinachonifikirisha ni kuwa Kituo cha polisi Gerezani hakipo mbali na hapo Karume na pia maeneo ya China Plaza, hawa jamaa hawajanusa taarifa za huu ushenzi kweli? Au kuna mgawo, maana hawa jamaa wanafanya hii michezo kuanzia asubuhi hadi jioni tangu 2022 nimewaona hadi leo 2024 wapo.
Picha mojawapo ya mhuhusika wa hiyo michezo ni hiyo hapo huyo muuza juice na hapo alikuwa anamuingiza mkenge jamaa.
Sasa unakulaje kitu hauna uwezo wa kukinunua kwa hela yako..?ndo umebakiwa na nauli tu sasa😂
Kuwa makini boro next time utabakwa baada ya kulewa hiyo juice.Habari wana JF,
Kuna huu wizi sijui niite utapeli ambao binafsi nimeanza kuushuhudia tangu mwaka 2022 kwa maeneo ya Kariakoo na kila mara nikipita eneo hilo nakuta huo wizi unaendelea utapeli wenyewe unafanywa na jamaa wauza juice ya miwa mitaa ya karume mbele ya TBL (Tanzania Breweries Limited)
Wizi unafanyika kama ifuatavyo:
Muuza juice atakuita na kujifanya amekufananisha kisha atakuuliza ''Vipi mzee daah kitambo sana mwanangu, vipi siku hizi wapi?''
Wewe utajibu labda nipo Magomeni siku hizi.
Muuza juice: Anhaa ndiyo maana kule kitaa sikuoni siku hizi.
Wewe: Wapi? Kule kitunda au?
Basi hapo ndo utakuwa umeyavagaa jamaa atajifanya kukujua sana atakuuliza kuhusu story za vipi wale jamaa wanaopiga matizi uwanjani pale bado wapo?
Actually hakuna sehemu ambayo haina uwanja wa mpira so yote kwa yote jamaa atakuwa amekuteka akili kwa kujifanya anakujua sema ni vile tu umemsahau
Kinachofuatia jamaa atakumiminia juice " karibu juice kaka".
Ukimaliza kunywa tu hiyo juice jamaa anakubadilikia na kuanza kukudai hela ya Juice.
ukishindwa kulipa atakukaba, atakupiga hata kukuumiza.
Wahanga wakubwa wa haya matukio ni wale wa kuja lakini hata kama born town unaweza kujikuta umeingia mkenge vile vile
Kinachonifikirisha ni kuwa Kituo cha polisi Gerezani hakipo mbali na hapo Karume na pia maeneo ya China Plaza, hawa jamaa hawajanusa taarifa za huu ushenzi kweli? Au kuna mgawo, maana hawa jamaa wanafanya hii michezo kuanzia asubuhi hadi jioni tangu 2022 nimewaona hadi leo 2024 wapo.
Picha mojawapo ya mhuhusika wa hiyo michezo ni hiyo hapo huyo muuza juice na hapo alikuwa anamuingiza mkenge jamaa.
Cha bure kaburini ndugu lipa tuHabari wana JF,
Kuna huu wizi sijui niite utapeli ambao binafsi nimeanza kuushuhudia tangu mwaka 2022 kwa maeneo ya Kariakoo na kila mara nikipita eneo hilo nakuta huo wizi unaendelea utapeli wenyewe unafanywa na jamaa wauza juice ya miwa mitaa ya karume mbele ya TBL (Tanzania Breweries Limited)
Wizi unafanyika kama ifuatavyo:
Muuza juice atakuita na kujifanya amekufananisha kisha atakuuliza ''Vipi mzee daah kitambo sana mwanangu, vipi siku hizi wapi?''
Wewe utajibu labda nipo Magomeni siku hizi.
Muuza juice: Anhaa ndiyo maana kule kitaa sikuoni siku hizi.
Wewe: Wapi? Kule kitunda au?
Basi hapo ndo utakuwa umeyavagaa jamaa atajifanya kukujua sana atakuuliza kuhusu story za vipi wale jamaa wanaopiga matizi uwanjani pale bado wapo?
Actually hakuna sehemu ambayo haina uwanja wa mpira so yote kwa yote jamaa atakuwa amekuteka akili kwa kujifanya anakujua sema ni vile tu umemsahau
Kinachofuatia jamaa atakumiminia juice " karibu juice kaka".
Ukimaliza kunywa tu hiyo juice jamaa anakubadilikia na kuanza kukudai hela ya Juice.
ukishindwa kulipa atakukaba, atakupiga hata kukuumiza.
Wahanga wakubwa wa haya matukio ni wale wa kuja lakini hata kama born town unaweza kujikuta umeingia mkenge vile vile
Kinachonifikirisha ni kuwa Kituo cha polisi Gerezani hakipo mbali na hapo Karume na pia maeneo ya China Plaza, hawa jamaa hawajanusa taarifa za huu ushenzi kweli? Au kuna mgawo, maana hawa jamaa wanafanya hii michezo kuanzia asubuhi hadi jioni tangu 2022 nimewaona hadi leo 2024 wapo.
Picha mojawapo ya mhuhusika wa hiyo michezo ni hiyo hapo huyo muuza juice na hapo alikuwa anamuingiza mkenge jamaa.
Malezi mabovu sana.Sasa unakulaje kitu hauna uwezo wa kukinunua kwa hela yako..?
Nyie wenzetu hamkuwa mnachapwa kula kwenye nyumba za watu mkiwa wadogo..?
We umeandika Nini?Habari wana JF,
Kuna huu wizi sijui niite utapeli ambao binafsi nimeanza kuushuhudia tangu mwaka 2022 kwa maeneo ya Kariakoo na kila mara nikipita eneo hilo nakuta huo wizi unaendelea utapeli wenyewe unafanywa na jamaa wauza juice ya miwa mitaa ya karume mbele ya TBL (Tanzania Breweries Limited)
Wizi unafanyika kama ifuatavyo:
Muuza juice atakuita na kujifanya amekufananisha kisha atakuuliza ''Vipi mzee daah kitambo sana mwanangu, vipi siku hizi wapi?''
Wewe utajibu labda nipo Magomeni siku hizi.
Muuza juice: Anhaa ndiyo maana kule kitaa sikuoni siku hizi.
Wewe: Wapi? Kule kitunda au?
Basi hapo ndo utakuwa umeyavagaa jamaa atajifanya kukujua sana atakuuliza kuhusu story za vipi wale jamaa wanaopiga matizi uwanjani pale bado wapo?
Actually hakuna sehemu ambayo haina uwanja wa mpira so yote kwa yote jamaa atakuwa amekuteka akili kwa kujifanya anakujua sema ni vile tu umemsahau
Kinachofuatia jamaa atakumiminia juice " karibu juice kaka".
Ukimaliza kunywa tu hiyo juice jamaa anakubadilikia na kuanza kukudai hela ya Juice.
ukishindwa kulipa atakukaba, atakupiga hata kukuumiza.
Wahanga wakubwa wa haya matukio ni wale wa kuja lakini hata kama born town unaweza kujikuta umeingia mkenge vile vile
Kinachonifikirisha ni kuwa Kituo cha polisi Gerezani hakipo mbali na hapo Karume na pia maeneo ya China Plaza, hawa jamaa hawajanusa taarifa za huu ushenzi kweli? Au kuna mgawo, maana hawa jamaa wanafanya hii michezo kuanzia asubuhi hadi jioni tangu 2022 nimewaona hadi leo 2024 wapo.
Picha mojawapo ya mhuhusika wa hiyo michezo ni hiyo hapo huyo muuza juice na hapo alikuwa anamuingiza mkenge jamaa.
Au wewe ndio muuza juice masma si kwa kukasirika huko.shobo zako ukalaumu polisi kwani ukipewa juice lazima unywe hujafunzwa kusema asante? njaa zitawafanya vibaya..... punguza ushamba
punguza shoboAu wewe ndio muuza juice masma si kwa kukasirika huko.
Nawe acha shobo dogo.punguza shobo