Raila anaongoza maandamano, wananchi wanafuata,Duniani ni Tanzania pekee inayosubiri eti viongozi watatu wa chama waandamane kwa niaba yao! Huu ni ujuha, wananchi buandamana baada ya kuchukizwa na jambo bila kujali vyama.
Alipowaambia stop wameacha, usijitoe ufahamu, ktk everything lazima leader awepo.