Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Muliro Jumanne Muliro anazungumza na Vyombo vya Habari.
Watuhumiwa hao, pamoja na wengine ambao bado wanashikiliwa kwa tuhuma hizo, wanahojiwa kwa kina, ikiwa ni pamoja na kumjeruhi mtumishi mwingine aliyefahamika kwa jina la Adriano Fredrick.
Watuhumiwa hawa ambao bado wanashikiliwa na Wanahojiwa kwa kina wakati wanawashambulia maafisa hao waliharibu pia gari la Serikali la TRA, gari namba STL 9922 aina ya Toyota Land Cruiser
======
Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es salaam linawashikilia watuhumiwa wanne 1. Deogratius Paul Masawe miaka 49 kuli , mkazi wa Tegeta kwa ndevu 2. Idd Bakari miaka 30, kuli mkazi Tegeta kwa ndevu.3.Omar Issa miaka 47 ,myao, mpiga debe mkazi wa Tegeta Dawasco 4.Rashid Mtonga myao , miaka 29 kazi ya bodaboda , mkazi wa Bunju.
Wanatuhumiwa kufanya mauaji ya mtumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania aitwaye Amani Kamguna Simbayao pia kumjeruhi Adriano Fredrick wa TRA. Watuhumiwa hao na wengine ambao bado wanahojiwa kwa kina walikamatwa baada ya kuwashambulia maafisa hao wa TRA wakati wakitekeleza majukumu yao ya kisheria. waliliharibu pia gari namba STL 9923 aina Toyota Land Cruiser Hardtop nyeupe mali ya Mamlaka ya Mapato Tanzania.
Tukio hilo lilitokea tarehe 05 Desemba, 2024 majira ya saa 03 :00 usiku Tegeta kwa Ndevu Kinondoni baada ya Maafisa hao wa Mamlaka ya Mapato Tanzania kukamata gari namba T 529 DHZ aina ya BMW rangi nyeupe lililodaiwa kuwa na makosa ya kikodi
Jeshi la Polisi Kanda maaalum ya Dar es Salaam linawaonya vikali na halitavumilia watu ambao wanataka kujenga tabia ya kuwashambulia watumishi wa Serikali wakati wakitekeleza majukumu yao licha ya kuwa wanakuwa wamefuata taratibu zote za kisheria.Jeshi halitasita kuchukua hatua kali za haraka na za kisheria dhidi ya wahusika kwa kuwafikisha kwenye mamlaka zingine za haki.
Imetolewa na;
Muliro J. Muliro -SACP
Kamanda Kanda Maalum ya Polisi
Dar es Salaam
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaaam linawashikilia wanaotuhumiwa wanne, Deogratius Paul Massawe (40), Bakari Idd Bakari (30), wote ni kuli wa Tegeta kwa Ndevu, Omary Issa mpigadebe wa Tegeta DAWASCO na Rashid Mtonga (29) kazi yake ni Bodaboda kwa mauaji ya mtumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Amani Simbayao.Watuhumiwa hao, pamoja na wengine ambao bado wanashikiliwa kwa tuhuma hizo, wanahojiwa kwa kina, ikiwa ni pamoja na kumjeruhi mtumishi mwingine aliyefahamika kwa jina la Adriano Fredrick.
Watuhumiwa hawa ambao bado wanashikiliwa na Wanahojiwa kwa kina wakati wanawashambulia maafisa hao waliharibu pia gari la Serikali la TRA, gari namba STL 9922 aina ya Toyota Land Cruiser
======
Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es salaam linawashikilia watuhumiwa wanne 1. Deogratius Paul Masawe miaka 49 kuli , mkazi wa Tegeta kwa ndevu 2. Idd Bakari miaka 30, kuli mkazi Tegeta kwa ndevu.3.Omar Issa miaka 47 ,myao, mpiga debe mkazi wa Tegeta Dawasco 4.Rashid Mtonga myao , miaka 29 kazi ya bodaboda , mkazi wa Bunju.
Wanatuhumiwa kufanya mauaji ya mtumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania aitwaye Amani Kamguna Simbayao pia kumjeruhi Adriano Fredrick wa TRA. Watuhumiwa hao na wengine ambao bado wanahojiwa kwa kina walikamatwa baada ya kuwashambulia maafisa hao wa TRA wakati wakitekeleza majukumu yao ya kisheria. waliliharibu pia gari namba STL 9923 aina Toyota Land Cruiser Hardtop nyeupe mali ya Mamlaka ya Mapato Tanzania.
Tukio hilo lilitokea tarehe 05 Desemba, 2024 majira ya saa 03 :00 usiku Tegeta kwa Ndevu Kinondoni baada ya Maafisa hao wa Mamlaka ya Mapato Tanzania kukamata gari namba T 529 DHZ aina ya BMW rangi nyeupe lililodaiwa kuwa na makosa ya kikodi
Jeshi la Polisi Kanda maaalum ya Dar es Salaam linawaonya vikali na halitavumilia watu ambao wanataka kujenga tabia ya kuwashambulia watumishi wa Serikali wakati wakitekeleza majukumu yao licha ya kuwa wanakuwa wamefuata taratibu zote za kisheria.Jeshi halitasita kuchukua hatua kali za haraka na za kisheria dhidi ya wahusika kwa kuwafikisha kwenye mamlaka zingine za haki.
Imetolewa na;
Muliro J. Muliro -SACP
Kamanda Kanda Maalum ya Polisi
Dar es Salaam